Nataka nichukue nipeleke mkoani
karibu sanaaNataka nichukue nipeleke mkoani
Maduka yanahama na biashara zinaongezeka wakati zingine zinafungwa mkuu.Machimbo yakishatajwa humu mpaka ramani kupitia Uzi mmoja hivi unaitwa wafanyabiashara was mikoani mnaochukua mizigo kkoo,halafu hayo maviatu yanabanduka
Pale Msimbazi B mbona kuna maduka mengi sanaMaduka yanahama na biashara zinaongezeka wakati zingine zinafungwa mkuu.
Wa mikoani tunaogopa kupigwa mkuu!Karibuni ndugu zangu....
Usiogope mkuu karibu sanaaa.Wa mikoani tunaogopa kupigwa mkuu!
bei gani mkuu hicho..?Usiogope mkuu karibu sanaaa.
Updated:
Chimbo la hereni,bangili za Bei rahisi
Chimbo la saa
Chimbo la mikanda
Chimbo la vitenge na wax,java
Chimbo la t-shirt za fom six na shule ya msingi za kuprint
Chimbo la vyombo
Chimbo la chupi na boxer
Chimbo la miwani
N.k karibuni Sana
View attachment 1411380View attachment 1411381
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa nini usiogope!Usiogope mkuu karibu sanaaa.
Updated:
Chimbo la hereni,bangili za Bei rahisi
Chimbo la saa
Chimbo la mikanda
Chimbo la vitenge na wax,java
Chimbo la t-shirt za fom six na shule ya msingi za kuprint
Chimbo la vyombo
Chimbo la chupi na boxer
Chimbo la miwani
N.k karibuni Sana
View attachment 1411380View attachment 1411381
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu nataka chimbo la vitenge wax kwa Bei rafiki mno ya whole sale kuanzie pic kumi! Ni-PM tafadhaliUsiogope mkuu karibu sanaaa.
Updated:
Chimbo la hereni,bangili za Bei rahisi
Chimbo la saa
Chimbo la mikanda
Chimbo la vitenge na wax,java
Chimbo la t-shirt za fom six na shule ya msingi za kuprint
Chimbo la vyombo
Chimbo la chupi na boxer
Chimbo la miwani
N.k karibuni Sana
View attachment 1411380View attachment 1411381
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu hii huduma bado inapatikana? naomba namba zako pm tafadhaliWakuu habar, kama kuna kijana anataka kufanya biashara ya viatu vya kike vya spesho,basi namkaribisha sana kwenye tasnia hii,niauzoefu wa kutosha, Najua changamoto zake, aina gani ya viatu vinavyopendwa mtaani, namna gani mzigo unavyopatikana kariakoo, ambapo machinga wote ndio wanapochukulia, kwa bei nafuu, na namna gani wanavyochukua huo mzigo, huko kwenye machimbo bei no rahisi sana,ila ukija kichwa kichwa utakutana na wajanja watakuuzia jumla wakati wao wameuziwa jumla, kwa mtaji wa shilingi 50000 hadi laki unaweza kuanza hii biashara, unaweza kutumia njia mbili kukuza mtaji wako hasa njia ya kukopesha japo inachangamoto zake,pia njia ya kutembeza mtaani na kuwauzia wakinamama,mim nipo kwenye hiyo biashara mda kidogo .kwa msaada wa kukupeleka kwenye machimbo, kuuongoza kununua mzigo,kukupa mbinu za biashara, kukupa aina za bidhaa sokoni zinazoitajika, na ushauri wa aina tofauti tofauti, nitajitolea mda wangu kwa gharama ya 5000 tu, kwa maana nitaacha shughuri zangu kwa ajili yako. Kama upo tayar, nitafute kwa namba hii 0757 994417, au watsap namba 0687873592.
Angalizo: huduma hii kwa wakazi wa dar na mikoa ya karibu, wakazi wa mokoani kama utakuwa na imani unaweza nitumia pesa kisha ukaniambia aina ya viatu unavyotaka kisha nitakutumia kwa njia ya basi, kwa gharama zako za usafiri.kwangu uaminifu ni 100%. Narudia tena hii biashara niko naifanya nawala sio nazungumza hewani. Bei za viatu ni kuanzia 3000,3500,4000,4500,5000,5500,6000..,nitajalibu hapa kutuma picha za bei za viatu vya jumla huko kariakoo,nikishindwa nichek watsap nitakutumia.asanteni
Pia chimbo la chupi,kanga stationary,viatu vya watoto,simple za kike n.k. pia ukitaka ushauri na namna gani ya kufanya hii biashara ya viatu vya kike, karibu sana,
Updated: pia ukitaka nikufanyie utafiti juu ya bidhaa Fulani kwa inauzwa bei gani hapa kariako ukilinganisha na huko unapoishi, karibu sana utachangia pia gharama ya usafiri tu kwenda kwenye machimbo na picha nitakutumia.asanteView attachment 1131625View attachment 1131626View attachment 1131627View attachment 1131628View attachment 1131629View attachment 1131630