Stuxnet
JF-Expert Member
- Feb 12, 2011
- 10,609
- 18,298
Tunaona aibu gani? Uko Tanzania na una kichwa kinafuga nywele tu. Yaani hujui nani aliharibu uchaguzi wa 2020Mkuu, jikingine usionekene...Mwenyekiti anayesemwa hapo ni yupi, umejua? Mwenyekiti wa mtaa, kijiji, chama?
Magufuli alihusika kuchagua wenyeviti wapi?
Mlisema Bwawa ni kosa la Magufuli, mnaendelea kuona aibu!