mwanadodoma
Member
- Mar 12, 2024
- 38
- 53
Uligongwa 5G mbuzimawe weweNyie matakataka muna timu mbovu sana sema hii ligi munaeza beba mambanga nyie
Uligongwa 5G mbuzimawe weweNyie matakataka muna timu mbovu sana sema hii ligi munaeza beba mambanga nyie
Jesus akiondoka ni maamuzi ya bodi zaidi kuliko ya ArtetaHathaminiki sasa, tayari kuna muda unaona kabisa uso wake unakosa furaha haswa akitolewa.
Ollashoga mama la mamaNyie matakataka muna timu mbovu sana sema hii ligi munaeza beba mambanga nyie
Nikimtizama akiwa benchi naona anakosa furaha, hajioni kama yeye ni mchezaji wa benchi, haoni kama yule anayeanza kamzidi. Kuna wachezaji wakianza nawe uko benchi wala husononeki, unachoombea ni timu ipate matokeo mapema/waumie au kuchoka ndio upate nafasi, na wakati mwingine wakiumia na matokeo bado hata wewe wa benchi unasononeka(unapagawa)Jesus akiondoka ni maamuzi ya bodi zaidi kuliko ya Arteta
Kwa forwards zetu za sasa hakuna ambaye 100% anamnyima namba Jesus. Fair deal ingekua kupokezana.Nikimtizama akiwa benchi naona anakosa furaha, hajioni kama yeye ni mchezaji wa benchi, haoni kama yule anayeanza kamzidi. Kuna wachezaji wakianza nawe uko benchi wala husononeki, unachoombea ni timu ipate matokeo mapema/waumie au kuchoka ndio upate nafasi, na wakati mwingine wakiumia na matokeo bado hata wewe wa benchi unasononeka(unapagawa)
Imani na uvumilivu alivyopewa kai, angepewa jesus, huenda tungekuwa hatua kadhaa mbele, jesus ni mtu saana linapokuja namba 9, anakupa vingi mnooKwa forwards zetu za sasa hakuna ambaye 100% anamnyima namba Jesus. Fair deal ingekua kupokezana.
Mchango wa Kai umekuja kwa kuaminiwa mara kwa mara mpaka confidence imepanda na ana bahati jamaa hapati injuries sana. Jesus ukimuamini games mbili ya 2 anapata injury anakaa nje game 4 mpaka 6.
Lakini kusema kwamba Arteta ana hamu jamaa aondoke hapana. Bado Jesus ana uwezo wa kucheza namba ya Odegaard, Saka, Martinelli na 9
Halafu haya mambo ya magazeti sio ya kuamini kwa asilimia mia...auzwe Jesus aachwe Nketiqh...sidhani...hii itakuwa kama ishu ya Partey na Malgalhaes kipindi kile magazeti yanqchochea anaondoka...ila wakabaki....mchezaji ambaye utanambia anaondoka nikaamini kwa asilimia mia ni Ramsdale maana hata attitude yake inaonesha ila sio hao wengine...magazeti ya England umbea mwingiKwa forwards zetu za sasa hakuna ambaye 100% anamnyima namba Jesus. Fair deal ingekua kupokezana.
Mchango wa Kai umekuja kwa kuaminiwa mara kwa mara mpaka confidence imepanda na ana bahati jamaa hapati injuries sana. Jesus ukimuamini games mbili ya 2 anapata injury anakaa nje game 4 mpaka 6.
Lakini kusema kwamba Arteta ana hamu jamaa aondoke hapana. Bado Jesus ana uwezo wa kucheza namba ya Odegaard, Saka, Martinelli na 9
Hilo pia tatizo jingine la magazeti ya UK.Halafu haya mambo ya magazeti sio ya kuamini kwa asilimia mia...auzwe Jesus aachwe Nketiqh...sidhani...hii itakuwa kama ishu ya Partey na Malgalhaes kipindi kile magazeti yanqchochea anaondoka...ila wakabaki....mchezaji ambaye utanambia anaondoka nikaamini kwa asilimia mia ni Ramsdale maana hata attitude yake inaonesha ila sio hao wengine...magazeti ya England umbea mwingi
Hilo pia tatizo jingine la magazeti ya UK.
Kwa umri wa Jesus naona bado kuna kitu anaweza kuoffer. Kama Jorginho anaongezewa mkataba ila ikawa ngumu kwa Jesus naamini ishu itakua ni injuries zaidi kuliko uwezo
Imani na uvumilivu alivyopewa kai, angepewa jesus, huenda tungekuwa hatua kadhaa mbele, jesus ni mtu saana linapokuja namba 9, anakupa vingi mnoo
... Mchango wa Kai umekuja kwa kuaminiwa mara kwa mara mpaka confidence imepanda na ana bahati jamaa hapati injuries sana. Jesus ukimuamini games mbili ya 2 anapata injury anakaa nje game 4 mpaka 6..
De gea alisema pale man u kuna ka laana fulani, huyu sancho hawezi kuitwa mchezaji mbovu kwa kiwango kile.Idadi ya dribbles za Sancho jana ni nyingi kuliko za Anthony za msimu mzima.
Huo ndio mpango wetu ila sasa sisi nao tuko vizuri kwenye sekta ya uzinguaji kinoma. Unaweza kushangaa tukapoteza mechi ijayoMnadanganyana sana humu yaani spurs amkazie City ili nyie kenge mchukue ubingw????🤣🤣🤣🤣🤣
Pale ni hovyoDe gea alisema pale man u kuna ka laana fulani, huyu sancho hawezi kuitwa mchezaji mbovu kwa kiwango kile.
Nyumbu ni kama Simba tu kila mchezaji ni mbovu,ila wakienda kwentmye timu nyingine zenye muundo wa kila kitu wanauwasha moto sanaDe gea alisema pale man u kuna ka laana fulani, huyu sancho hawezi kuitwa mchezaji mbovu kwa kiwango kile.
Leo kenge mnapigwa ngap?Nyie matakataka muna timu mbovu sana sema hii ligi munaeza beba mambanga nyie
Njoo wewe mkuu....uje kinyumenyume tukuferembe *****Nawashauri mechi ya Bournemouth msiingize timu uwanjani
Hii ndiyo mechi ngumu tuliyobakiza. Tukishinda tu hii, kombe mkononi.Nawashauri mechi ya Bournemouth msiingize timu uwanjani