Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Jirani..mechi itakayoamua kama tuna nafasi ya ubingwa ni Tottenham vs City.. wale wadogo zetu wakikaza basi ndoo tunabeba...ila wakizingua ndo itakuwa basi🤠🤠
Kiushabiki, sidhani kama mashabiki wa Totteham wanatamani hata sare tu, nahisi wanatamani hata wafe goli 6, ila sijui kuhusu wachezaji ambao ni proffesional players... matumaini pekee ni kwa Totteham sioni mtu wa kuthubutu hata kutoa sare na city hii, city akiwa analitaka jambo lake ni hatari sana.
 
Nyie matakataka muna timu mbovu sana sema hii ligi munaeza beba mambanga nyie
USHAURI WA BURE KWA MASHABIKI WASIO WA ARSENAL KUHUSU MECHI ZILIZOBAKI.

1. Kusitisha kuangalia mechi zilizobaki za CITY NA ARSENAL

2. Kukusanya dawa zote ndani ya nyumba na kwenda kuzitupa mbali au kuzichoma moto

3. Kukusanya kamba zote, mtandio, kanga na mkanda ndani ya nyumba na kwenda kuvichoma moto.

4. Ondoa vitu venye ncha kali kama kisu na bisisi nyumbani kwako na kwenda kuvitupa mbali.

5. Mwisho usipite kwenye madaraja marefu au karibu na visima virefu.

MWISHO WA MSIMU LOLOTE LINAWEZA KUTOKEA, UTANISHUKURU
 
Jesus akiondoka ni maamuzi ya bodi zaidi kuliko ya Arteta
Nikimtizama akiwa benchi naona anakosa furaha, hajioni kama yeye ni mchezaji wa benchi, haoni kama yule anayeanza kamzidi. Kuna wachezaji wakianza nawe uko benchi wala husononeki, unachoombea ni timu ipate matokeo mapema/waumie au kuchoka ndio upate nafasi, na wakati mwingine wakiumia na matokeo bado hata wewe wa benchi unasononeka(unapagawa)
 
Nikimtizama akiwa benchi naona anakosa furaha, hajioni kama yeye ni mchezaji wa benchi, haoni kama yule anayeanza kamzidi. Kuna wachezaji wakianza nawe uko benchi wala husononeki, unachoombea ni timu ipate matokeo mapema/waumie au kuchoka ndio upate nafasi, na wakati mwingine wakiumia na matokeo bado hata wewe wa benchi unasononeka(unapagawa)
Kwa forwards zetu za sasa hakuna ambaye 100% anamnyima namba Jesus. Fair deal ingekua kupokezana.

Mchango wa Kai umekuja kwa kuaminiwa mara kwa mara mpaka confidence imepanda na ana bahati jamaa hapati injuries sana. Jesus ukimuamini games mbili ya 2 anapata injury anakaa nje game 4 mpaka 6.

Lakini kusema kwamba Arteta ana hamu jamaa aondoke hapana. Bado Jesus ana uwezo wa kucheza namba ya Odegaard, Saka, Martinelli na 9
 
Kwa forwards zetu za sasa hakuna ambaye 100% anamnyima namba Jesus. Fair deal ingekua kupokezana.

Mchango wa Kai umekuja kwa kuaminiwa mara kwa mara mpaka confidence imepanda na ana bahati jamaa hapati injuries sana. Jesus ukimuamini games mbili ya 2 anapata injury anakaa nje game 4 mpaka 6.

Lakini kusema kwamba Arteta ana hamu jamaa aondoke hapana. Bado Jesus ana uwezo wa kucheza namba ya Odegaard, Saka, Martinelli na 9
Imani na uvumilivu alivyopewa kai, angepewa jesus, huenda tungekuwa hatua kadhaa mbele, jesus ni mtu saana linapokuja namba 9, anakupa vingi mnoo
 
Kwa forwards zetu za sasa hakuna ambaye 100% anamnyima namba Jesus. Fair deal ingekua kupokezana.

Mchango wa Kai umekuja kwa kuaminiwa mara kwa mara mpaka confidence imepanda na ana bahati jamaa hapati injuries sana. Jesus ukimuamini games mbili ya 2 anapata injury anakaa nje game 4 mpaka 6.

Lakini kusema kwamba Arteta ana hamu jamaa aondoke hapana. Bado Jesus ana uwezo wa kucheza namba ya Odegaard, Saka, Martinelli na 9
Halafu haya mambo ya magazeti sio ya kuamini kwa asilimia mia...auzwe Jesus aachwe Nketiqh...sidhani...hii itakuwa kama ishu ya Partey na Malgalhaes kipindi kile magazeti yanqchochea anaondoka...ila wakabaki....mchezaji ambaye utanambia anaondoka nikaamini kwa asilimia mia ni Ramsdale maana hata attitude yake inaonesha ila sio hao wengine...magazeti ya England umbea mwingi
 
Back
Top Bottom