sido

This is the discography of Sido, a German rapper from Berlin.

View More On Wikipedia.org
  1. jumamwaki

    KERO Soko la SIDO mkoani Mbeya na changamoto zilizopo

    Habari wapendwa. Tukiwa tupo mbioni kumsaidia mh rais samia kwenye kuleta maendeleo kuna baadhi ya mambo ambayo huenda yanasababishwa na viongozi kwa kujua yaani makusudi au kwa kutojua. Nianzie kwenye mambo yafuatayo kwenye jiji letu la mbeya ambayo kwa kweli yanakera sana . #soko la sido ni...
  2. Jamii Opportunities

    Various Posts at SIDO March, 2024

    1. Training Assistant II - 2 Posts DUTIES AND RESPONSIBILITIES i. To conduct on-the-job training, classes, or training sessions to teach and demonstrate principles, techniques, procedures, or methods of designated subjects; ii. To observe and evaluate students’ work to determine progress...
  3. Jamii Opportunities

    Director Of Technology Development And Planning (Re-Advertised) at SIDO February, 2024

    Position: Director Of Technology Development And Planning (Re-Advertised) Duties and Responsibilities (i)Planning, research, technical services, technology development and preparation of strategic plans and economic research papers on relevant issues for the SME sector in collaboration with...
  4. Uhakika Bro

    Mafuta ya kupaka, kindoo hadi pipa zima

    Wakuu, watu wa sido na wajasiriamali salaaam. Nina uhitaji na mafuta ya kupaka ndoo moja kwanza lita kumi hadi lita ishirini kwa ajili ya project. Mambo yakikaa sawa nitaagiza hadi mapipa kwa mapipa.. Mafuta ninayohitaji ni cosmetic grade. Yale mtu anaweza changanya na viinilishe au dawa...
  5. T

    SoC03 Sido iwe kichochezi katika kilimo cha kisasa hapa nchini

    Mapinduzi ya viwanda yalileta mwamko mkubwa sana katika mataifa ya magharibi katika uzalishaji mali na kuudondosha mfumo wa “utumwa” baada ya kutengeneza zana bora za kiutendaji ambazo zilianza kufanya kazi zilizokuwa zikifanywa na watumwa pamoja na wanyama na zikaja kuwapiku kwa kuongeza...
  6. Stephano Mgendanyi

    SIDO Lwossa Kukarabatiwa kwa Shilingi Milioni 293.99

    NAIBU WAZIRI VIWANDA - SIDO LWOSAA KUKARABATIWA KWA SHILINGI MILIONI 293.99 Naibu Waziri wa Uwekezaji, Viwanda na Biashara, Mhe. Exaud Kigahe (Mb) amesema kuwa zaidi ya Shilingi Milioni 293.99 zinahitajika kwa ajili ya kukarabati na kukamilisha jengo la viwanda vidogo vidogo la Lwosaa. Mhe...
  7. Sildenafil Citrate

    Rais Samia ateua Mwenyekiti wa Bodi ya SIDO

    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan, amemteua Mhandisi Musa Ally Nyamsingwa kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Shirika la Kuhudumia Viwanda Vidogo (SIDO). Mhandisi Nyamsingwa ni Mkurugenzi wa Idara ya Barabara Kuu na Usafirishaji, Kampuni ya NORPLAN Tanzania Limited...
Back
Top Bottom