ppra

The Protection of Pupil Rights Amendment (PPRA) of 1978, sometimes referred to as the Hatch Amendment, is a law intended to protect the rights of pupils and the parents of pupils in programs funded by the United States Department of Education (ED).

View More On Wikipedia.org
  1. G

    Hongera PPRA kwa mfumo wa NEST

    Huu mfumo ni kiboko na mzuri sana ni shirikishi, wa kisasa, usalama nk. Tangu nimeanza kuutumia napata vifaa na huduma kwa nusu ya bei ya awali. Huu mfumo ukitumia vizuri naamini kabisa matumizi ya serikali yatapungua kwa 50%. PIA SOMA - PPRA pamoja kuweka mfumo sahihi, kagueni michakato ya...
  2. Embe Bichi

    PPRA pamoja kuweka mfumo sahihi, kagueni michakato ya manunuzi inayofanywa na Procurement Unity. Bado urasimu unaendelea

    Habari za asubuhi wanajamvi. Naomba nielekeze malalamiko yangu moja kwa taasisi husika hapo. Kwanza nitangulize pongezi kwenu kwa maboresho ya mfumo wa manunuzi kutoka Tanep`s na kwenda Nest. Mwaka jana wakati mnaendesha semina kuhusu huu mpya mojawapo wa vitu mlivyotuahidi ni kuwa mfumo huu...
  3. Stephano Mgendanyi

    Waziri Jenista Mhagama Awashukuru PPRA kwa Misaada ya Washiriki wa Maafa Hanang'

    WAZIRI Jenista Mhagama AWASHUKURU PPRA KWA MISAADA YA WASHIRIKI WA MAAFA HANANG' Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu ( Sera, Bunge na Uratibu) Mhe. Jenista Mhagama ameupongeza Uongozi wa Chama cha Wafanyakazi wa Mamlaka ya Ununuzi na Udhubuti wa Umma (PPRA) kwa kutambua na kuungana na Serikali...
  4. Mpingamkoloni

    PPRA Kukosa Umakini: Kunahitaji miujiza ili mfumo mpya wa ununuzi NEST, ufanikiwe

    Mfumo wa ununuzi wa TANePS pamoja na changamoto zake, ulikuwa mfumo mwepesi kujisajili na kuutumia. Changamoto zilizoifanya TANePS iondolewe, ni hizo hizo zinaikumba NEST kwa sasa. Mfano ilikuwa inalalamikiwa kwamba mfumo wa TANePs ulipokuwa na hitilafu za kiufundi, ilipaswa kuitafuta kampuni...
  5. voicer

    Sheria mpya ya Manunuzi ya vitu vya "mtumba" bila PPRA ni kupanua ubadhirifu

    8Video Clip ipo Chini"Mwigulu Kama Makamba na Nape! Wanasaka za Uchaguzi (ndoto za Urais)" Jana, 08/09/2023 huko Dodoma Serikali kupitia Bunge lake ilipitisha sheria mpya ya manunuzi ya serikali. Ambapo sasa ni ruksa kwa serikali au taasisi yoyote ile ya Umma nchini inaweza kununua vifaa au...
  6. ommytk

    Hii fursa ppra je ni kweli ya 900 billion kwa vijana

    Wadau kuna vitu kweli watu wengi sijui ni elimu au shida inakuwa watu wanapiga hela kimya kimya nimesikiliza redio moja kuna jambo wanalizungumzia nimepata mshangao mkubwa sana kwamba serikali kumbe ina utaratibu maalum kwa vijana ambao mnaweza kujiunga na kwenda kujisajiri katika halmashauri...
  7. saidoo25

    Waziri Mwigulu asisitiza kubana wapigaji serikalini

    Waziri wa Fedha na Mipango, Mwigulu Nchemba ameitaka Mamlaka ya Udhibiti wa Ununuzi wa Umma (PPRA) kuweka bei elekezi katika huduma na bidhaa inazonunua. "Kwanini nchi nyingine za jirani na mashirika ya kimaitaifa wananunua magari kwa bei nafuu pengine zaidi ya nusu kuliko sisi serikalini"...
  8. anonymousme

    Taasisi za Umma kukwepa kutumia Mfumo wa Kielectronics (TANePS) Katika kufanya manunuzi ya Umma

    Pamoja na tamko la Waziri Mkuu Kusisitiza na Kuonya Taasisi Za UMMA kufanya Manunuzi kwa Kutumia Mfumo wa Mtandao (taneps) kikamilifu ambao una Uwazi Mkubwa. Uwazi huu unawezesha kupatikana kwa Mzabuni Mwenye Sifa, Pamoja na Kupunguza Mazingira ya Ubabaishaji na Rushwa. Pamoja na hayo, bado...
  9. Bemendazole

    Chonde chonde PPRA, waruhusuni TRC kuchagua mkandarasi wa kujenga reli kwa mfumo wa single source for a National interest

    Nimeona kwenye magazeti juu ya mvutano wa PPRA na TRC kuhusu mfumo wa kuchagua mkandarasi wa kujenga reli. Nawaomba PPRA waangalie jambo hili kwa maslahi mapana ya taifa ili kuwawezesha TRC kupata mkandarasi atakaye weza kujenga reli at EUROPEAN standards. Mkiruhusu international competitive...
  10. Analogia Malenga

    TANZIA Afisa Mtendaji Mkuu Wa PPRA afariki dunia

    Mhandisi Leornard S. Kapongo aliyekuwa Afisa Mtendaji Mkuu wa Taasisi ya Kudhibiti Ugavi wa Umma(PPRA) amefariki dunia Alikuwa anapatiwa matibabu katika hospitali ya Agha Khan, amefariki Julai 17 jioni
Back
Top Bottom