The Protection of Pupil Rights Amendment (PPRA) of 1978, sometimes referred to as the Hatch Amendment, is a law intended to protect the rights of pupils and the parents of pupils in programs funded by the United States Department of Education (ED).
Huu mfumo ni kiboko na mzuri sana ni shirikishi, wa kisasa, usalama nk.
Tangu nimeanza kuutumia napata vifaa na huduma kwa nusu ya bei ya awali.
Huu mfumo ukitumia vizuri naamini kabisa matumizi ya serikali yatapungua kwa 50%.
PIA SOMA
- PPRA pamoja kuweka mfumo sahihi, kagueni michakato ya...
Habari za asubuhi wanajamvi. Naomba nielekeze malalamiko yangu moja kwa taasisi husika hapo.
Kwanza nitangulize pongezi kwenu kwa maboresho ya mfumo wa manunuzi kutoka Tanep`s na kwenda Nest. Mwaka jana wakati mnaendesha semina kuhusu huu mpya mojawapo wa vitu mlivyotuahidi ni kuwa mfumo huu...
WAZIRI Jenista Mhagama AWASHUKURU PPRA KWA MISAADA YA WASHIRIKI WA MAAFA HANANG'
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu ( Sera, Bunge na Uratibu) Mhe. Jenista Mhagama ameupongeza Uongozi wa Chama cha Wafanyakazi wa Mamlaka ya Ununuzi na Udhubuti wa Umma (PPRA) kwa kutambua na kuungana na Serikali...
Mfumo wa ununuzi wa TANePS pamoja na changamoto zake, ulikuwa mfumo mwepesi kujisajili na kuutumia. Changamoto zilizoifanya TANePS iondolewe, ni hizo hizo zinaikumba NEST kwa sasa.
Mfano ilikuwa inalalamikiwa kwamba mfumo wa TANePs ulipokuwa na hitilafu za kiufundi, ilipaswa kuitafuta kampuni...
8Video Clip ipo Chini"Mwigulu Kama Makamba na Nape! Wanasaka za Uchaguzi (ndoto za Urais)"
Jana, 08/09/2023 huko Dodoma Serikali kupitia Bunge lake ilipitisha sheria mpya ya manunuzi ya serikali.
Ambapo sasa ni ruksa kwa serikali au taasisi yoyote ile ya Umma nchini inaweza kununua vifaa au...
Wadau kuna vitu kweli watu wengi sijui ni elimu au shida inakuwa watu wanapiga hela kimya kimya nimesikiliza redio moja kuna jambo wanalizungumzia nimepata mshangao mkubwa sana kwamba serikali kumbe ina utaratibu maalum kwa vijana ambao mnaweza kujiunga na kwenda kujisajiri katika halmashauri...
Waziri wa Fedha na Mipango, Mwigulu Nchemba ameitaka Mamlaka ya Udhibiti wa Ununuzi wa Umma (PPRA) kuweka bei elekezi katika huduma na bidhaa inazonunua.
"Kwanini nchi nyingine za jirani na mashirika ya kimaitaifa wananunua magari kwa bei nafuu pengine zaidi ya nusu kuliko sisi serikalini"...
Pamoja na tamko la Waziri Mkuu Kusisitiza na Kuonya Taasisi Za UMMA kufanya Manunuzi kwa Kutumia Mfumo wa Mtandao (taneps) kikamilifu ambao una Uwazi Mkubwa.
Uwazi huu unawezesha kupatikana kwa Mzabuni Mwenye Sifa, Pamoja na Kupunguza Mazingira ya Ubabaishaji na Rushwa. Pamoja na hayo, bado...
Nimeona kwenye magazeti juu ya mvutano wa PPRA na TRC kuhusu mfumo wa kuchagua mkandarasi wa kujenga reli.
Nawaomba PPRA waangalie jambo hili kwa maslahi mapana ya taifa ili kuwawezesha TRC kupata mkandarasi atakaye weza kujenga reli at EUROPEAN standards.
Mkiruhusu international competitive...
Mhandisi Leornard S. Kapongo aliyekuwa Afisa Mtendaji Mkuu wa Taasisi ya Kudhibiti Ugavi wa Umma(PPRA) amefariki dunia
Alikuwa anapatiwa matibabu katika hospitali ya Agha Khan, amefariki Julai 17 jioni
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.