pretty Easy privacy (p≡p or pEp) is a pluggable data encryption and verification system, which provides automatic cryptographic key management through a set of libraries (providing p≡p adapters for application developers' used programming languages and development environments) for written digital communications. Its main goal is to turn the default in written digital communications towards end-to-end encryption for all users in the easiest way possible and on all channels they use already today, including e-mails, SMS, or other types of messages.
It exists as a plugin for Microsoft Outlook and Mozilla Thunderbird and also as a mobile app for Android and iOS. p≡p also works under Microsoft Windows, Unix-like and, Mac OS X operating systems. Its cryptographic functionality is handled by an open-source p≡p engine relying on already existing cryptographic implementations in software like GnuPG, a modified version of netpgp (used only in iOS), and (as of p≡p v2.0) GNUnet.
In its default configuration, p≡p does not rely on a web of trust or any form of centralized trust infrastructure, but instead lets users verify each other's authenticity by comparing cryptographic fingerprints in the form of natural language strings, which the p≡p developers have chosen to call "trustwords".
pretty Easy privacy was first released in 2016. All source code of software already released, that is of p≡p engine, adapters, apps and addons (including Microsoft Outlook) are free and open-source software.
In March 2021 it was revealed that the company behind pEp paid for fake reviews for their apps.
Tuchel anachopitia ni Adhabu kutoka kwa Mizimu ya Mababu wa Sadio Mane na Mizimu ya Kiafrika.
Huwez ukaamua ugomvi ule wa SANE na MANE kwa dharau Vile,..
Muulize Klopp alimdharau MANE hakufuzu UEFA yupo huko anapigania kombe na Team kama MACCABI HAIFA
Pep Alimdharau YAYA TOURE kahangaika na...
Kwa wenye experience wa hizi dawa za PEP naomba kuuliza kwa nini nikinywa hizi dawa nakuwa napatwa na homa na najisikia kuchoka sana naomba mnijuze hii ni kawaida au?
Si kwa nia mbaya maana nilisema hivi huko nyuma wakati anaondoka madevu simba
na leo narudia tena kama matola bado yuko simba mtabadili kila aina ya kocha na hamtafanikiwa ...kama mlimpeleka shule aje kuwa kocha mkuu mtavuna mlichopanda
naomba muweke hili kwenye kumbukumbu yaan akija yoyote...
Habari Wana Jamii Health. Siku Ya Jana Nimejikata Na Wembe Wakati Nikijaribu Kuutupa Ili Usije Dhuru Mtu. Hapa Karibu Kuna Watu Wameathirika, nimejawa na Uwoga Napataje PEP?
Masaa Yanayoyoma Kuelekea 72 Hii Ni Saa Ya 36. Nipo Dar Es Salaam. Upatikanaji Wake Ukoje
Kocha wa Manchester City, Pep Guardiola ametoa kicheko hicho alipoulizwa swali wakati akizungumza na Waandishi wa Habari kuhusu kiwango cha wapinzani wao, Manchester United jinsi walivyoanza msimu wa 2023-24.
Baada ya kucheka, Guardiola akasema “Hawakuanza kama walivyotarajia ni kama ilivyo kwa...
The Manchester City boss has been suffering with severe back pain for some time lately, and flew out to Barcelona for emergency surgery performed by Dr Mireia Illueca.
The surgery was a success, and Pep will now recover and rehabilitate in Barcelona.
In his absence, assistant manager Juanma...
Ninapenda kurudisha huu mjadala hapa kwa manufaa ya wengi kuliko kuongelea private ambapo wengine hawapati uelewa halisi.
PEP tunajua ni dawa ya kutumia pale unapo hisi umaweza kuwa umakutana na mtu anaye weza kukuambukiza vizuri za HIV, kuna maswali nilikua naomba kupata maelezo .
Je PEP...
Kumekuwa na hizi dawa za kupunguza wezekano wa kuambukizwa virusi vya HIV, ambazo ni PREP na PEP, je zinafanya kazi kwa asilimia ngapi?
Na mbona kwenye vituo vya afya wanatoa hizi PEP lakni ni dawa hizo hizo za ARVS, je ni sahihi kwa kufanya hivyo? Na je, kama umekutana na mtu mwenye...
Kauli hiyo inafuatia Winga kutoka Algeria, Riyad Mahrez kujiunga na Al-Ahli ambapo Pep ameeleza kuwa uwekezaji wa Matajiri hao wa Mafuta unaolenga kujenga Ligi ya kipekee huko Uarabuni unaleta changamoto mpya na ngumu katika Soka la Ulaya.
Pep amesema "Saudi Arabia imebadilisha soko, wakati...
Kwanini alimtoa Halland jana wakati alihitaji goli moja kuvunja rekodi ya Messi?
Au Pep ni mshabiki wa messi ambaye anajaribu kuzuia rekodi zake zisivujwe? Jamaa kwa kweli anazingua sana. Jamaa amekeua akimpunguzia sana Haland mabao. Kwa haraka hata goli 10 za ziada angelikua nazo kwa sasa...
Oya eeh jana mambo km vile hayakuenda vizuri. Nlikua nasafisha rungu kwa izi dada poa asee si nkashtuka ndomu imetoka na kubaki ndani ya k bila mi kujua, bizee naendelea na kazi.
Sasa nina wasiwasi ule mda ilivovuka nilikua na direct contact na fluid zake asee. Em nisaidieni kupata dawa za PEP...
Mnamo Oktoba Julian Alvarez alipohojiwa na waandishi wa habari, alisema:
"Wachezaji wa Ureno na Rodri walikuwa wakizungumza kuhusu nani angeweza kushinda Kombe la Dunia. Walikuwa wakisema Ureno, Ufaransa, na mataifa mengine ya Ulaya. Kisha Pep [Guardiola] akasema, 'unajua nani ana nafasi nzuri...
Kwasasa mpira umebadilika sana tofauti na enzi za kina Ferguson, Arsene Wenger n.k miaka ya 2000s.
Moja ya watu walioleta mapinduzi ya soka ni Pep Guardiolaz, huyu ana wanafunzi wake wengi sana aliokaa nao na wanaoiga uchezaji wake, kina Xavi Hernandez, Mikel Arteta, Erik Ten hag, n.k
Moja ya...
Kumekuwa na shutuma nyingi sana zikimuhusisha kocha huyu bora kabisa kuwahi kotokea ulimwenguni na ubaguzi dhidi ya watu weusi na karibuni alihusishwa na Yaya Toure, je lina ukweli hili ama shida tu ya kisaikolojia ya sisi watu weusi?
Ahlan wa sahlan
Wakati ulimwengu ukifurahia kuwaona wachezaji magwiji wawili walioitikisa dunia ,namaanisha Mreno Sir Cristiano Ronaldo na Sir Lionel Messi, tunasahau kuwa hakuna kocha aliyewahi kufundisha mpira wa burudani na wa ushindi kama Mhispania Sir Pep Guardiola.
Sir Guardiola hapewi...
Habari wakuu
Katika kujipima kutumia bioline nimejikuta nimejichoma sindano niliyokuwa nimemchoma mtu mwenye HIV
Sasa nilikuwa mbali kidogo na eneo la kituo cha afya kwahiyo kesho yake ikanibidi niende kituo cha afya mida ya saa nane nikawaelezea wakanipa dawa ya pep imeandikwa LTD m...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.