"Bwatue" is a song by Phil Ochs, a U.S. singer-songwriter best known for the protest songs he wrote in the 1960s. He co-wrote the song with two African musicians named Dijiba and Bukasa. "Bwatue" was written and recorded in 1973."Bwatue" was written while Ochs was visiting Kenya. Its lyrics are in Lingala. The title means "canoe"; the lyrics develop the river as a metaphor for life. "Bwatue" was released as a single in Africa by A&M Records. The B-side of the single, "Niko Mchumba Ngombe", also by Ochs, Dijiba, and Bukasa, was written in Swahili. Both songs were recorded by Ochs with the Pan-African Ngembo Rumba Band. The record was a commercial failure."Bwatue" and "Niko Mchumba Ngombe" have been described as early examples of blending Western popular music with world music, and critics note that they predate Paul Simon's Graceland by more than ten years. Still, one critic says the record "should be seen more as a curiosity rather than a serious attempt at exploring a new style". One of Ochs' biographers cynically suggests that Ochs recorded the songs in order to deduct the cost of his trip to Africa from his income tax as a business expense.In the early 1990s, the single was reissued in a limited edition of 1000 by Sparkle Records, ostensibly on behalf of the Phil Ochs Fan Club of Canada. The reissue was unauthorized and is considered a bootleg.The only known review of the single was positive. Reviewing the bootleg release in Dirty Linen, Cliff Furnald wrote that "the band gives a superb look at the Zaire/Kenyan dance style at the time before mass marketing started the diluting downward trend".Because of the single's limited release, "Bwatue" and "Niko Mchumba Ngombe" were extremely rare. Most Ochs fans never heard the songs before they were included in 1997's American Troubadour. "Niko Mchumba Ngombe" was also included in the 2004 collection Cross My Heart: An Introduction to Phil Ochs.
Habarini za usiku wanaJf,
Mchumba wangu alienda Mpanda kipindi cha Corona. Huko mambo yakabadilika ikathibitika pasiposhaka kuwa amenisaliti.
Aliporudi akaenda kwa jamaa mwingine ambapo tena akanisaliti. Nilipokuja kumbana na ushahidi wa picha za majamaa wakiwa naye live bed. Amelia kilio...
Habari za usiku JF.
Mimi nimekuwa kwenye mahusiano na binti miaka mitatu sasa. Tumeamua kwa dhati tuoane, wazazi wake hawataki. Wamefikia kunitishia maisha. Ukweli ni kuwa nampenda sana, nae ananipenda Sana.
Tumeamua kuishi kwa pamoja bila kujali. Maana kisheria tuko salama maana siyo...
Wakuu natumaini mko poa mimi ni kijana nina umri miaka 25 natafuta mwanamke aliye serius awe mchumba na baadaye mungu akijalia ndoa
Mimi nimejiajiri, mrefu wastani, mweusi na ninajitegemea naishi Dar es Salaam, elimu yangu ni Diploma kabila langu mchaga.
Naitaji mwanamke mwenye sifa zifuatazo...
Haijalishi una marafiki wangapi na ni mabest kivipi, ila tu jiandae kisaikolojia kuwa pale unapopata mchumba...na mchumba yule akawa mzuri basi maadui huongezeka sana.
Binafsi ilinitokea kama miaka 2 hadi 3 iliyopita, na nikawa nachati na maadui zangu bila wao kugundua kuwa wanachati na nani...
Kila anayechumbia anakuwa na malengo na mipango yake na sifa alizojiwekea kuwa lazima nioe au nioelewe na mtu mwenye sifa kadhaa!!
Je unaweza kumuacha mtu wako kisa maneno ya wanaosema hata kama amekidhi vigezo vyako?
Mfano wakwambie
Ni mwizi
Ni malaya
Ana mtoto usioe mwenye mtoto
Kwao...
Mimi ni kijana wa kitanzania,nina umri wa miaka 26, ninaishi Mbeya kwa sasa na ni mkristo kwa dini, elimu yangu ni ya chuo(degree), sina kazi bado naangaika na maisha najishughulisha na shughuli zangu binafsi huku nikiangalia ni wapi pa kutokea, nahitaji msichana kati ya miaka 20 - 24, tutaanza...
Habari za asubuhi wakuu, kuna dada nipo naye kwenye group moja la whatsapp la mambo ya dini nimekuwa nikichart nae sana mpaka usiku wa manane nilimuomba awe rafiki yangu akakubali bt lengo langu nilitaka nimsogeze karibu kisha nimtokee kweli tumezoeana sana full kumsifia sifia status zake zote...
Teknolojia imekua, na mambo mengi yanafanyika kutokana na ukuaji huo wa teknolojia ili kurahisisha mambo. Kwa upande wa uhusiano, unaweza kutafuta mchumba popote pale duniani na mkaonana kwa kutumia vifaa vya mawasiliano.
Kumekuwa na wimbi la kutafuta wachumba kimtandao, na wakati mwingine...
Naitwa Iman
Umri miaka 26
Nimejiajiri nb. Mkurugenzi wa Kampuni
Makazi: SHINYANGA
SIFA ZA MSICHANA HUYO
- Awe mkristu
-black beauty
- awe mtiifu
- awe mkweli
-urefu wa kati
-umbo la kati
- watsapp ni 0682375285 piga na tuma text
Samahanini kwa mada yenye ukakasi kiasi! ila ninashangazwa na kufadhaika!
Mchumba anatoa mashuzi mno....yaani mno! akilala kidogo tu tatizo linaanza mpaka anapoamka. unaweza kumuamsha na kuzuga kwa vistori vya hapa na pale kwa matumaini labda tatizo litaisha, lakini mkimaliza maongezi na...
Natafuta rafiki wa kike ambae huenda baadae akawa mke wangu.
Sifa zangu ni:
1. Mtaratibu
2. Mkarimu
3.Mrefu wastani
4.Mwenye ya mungu
5.Mwenye heshima na upendo
6.Umri wangu miaka 23
Awe na sifa angalau kati ya hizi
1.Awe na hofu ya Mungu
2.Mwenye kuvalia kawaida
3.Mkarimu
4.Mwenye...
Habari wana jf, mimi ni kijana wa miaka 32. Nipo kwenye mahusiono ya miaka 5 na binti wa watu mmoja. Nimekuja hapa jf kuomba ushauri kwa wakubwa zangu wenye uzoefu wa hili jambo maana linanitatiza.
Kipindi tuna miaka 3 kwenye mahusiano, mpenzi wangu alipata mimba ila bila kunipa taarifa aliitoa...
Ushauri, mchumba wangu anadai kapoteza Pete ya uchumba, hivi hili jambo, linakaaje yani, limenichanganya mpaka sasa sijaoa, ushauri bha ndugu, nipeni uzoefu hapa,
Mimi ni mwanaume mwenye umri ya miaka 35. Naishi Dar es Salam, ni muajiriwa wa moja ya taasisi ya kiserikali. Natafuta mchumba alie komaa kiakili, hapa namaanisha mwenye muono chanya wa maisha ya familia na hulka za kimaendeleo. Umri min Miaka 18 na max 32.
Akiwa amepata elimu walau kuanzia...
Habari wakubwa zangu na wadogo zangu..Naitaji Mchumba awe na umri wa miaka 19-26,awe anaishi Dar-es-Salaam..awe ana mtoto wala ajawai kuolewa Mengine yote tutaongea private imel yangu Zuherially8@gmailcom...ASANTENI
Ukimtokea mdada wa Kigoma kwamba umempenda na unataka kumuoa basi ataifanya habari hiyo kuwa siri, kwasababu anaogopa kuhujumiwa.
Uhaba huu wa wanaume Kigoma umesababishwa na nini?
Kuna nadharia mbili zinatoa majibu ya swali hili:-
1. Watu wa Kigoma wana asili ya utafutaji sana. Hivyo vijana...
Hello ladies and gentlemen, it is my hope that you're all doing great. As the title says hereinabove, I would like to inform you that I'm now searching for the right one(wife material or my future baby's' mama) ambaye tutaishi pamoja maisha yetu yote mpaka kifo.
Awe na sifa sifuatazo:-
a) Awe...
IGP Saimon Sirro amesema kwamba yeye aliwahi kukimbiwa na msichana aliyekuwa akimpenda kwa dhati ambaye alikuwa Mwanasheria, anaendelea kwa kusema mwanamke huyo ambaye ni mwanasheria alimkimbia kisa tu yeye Sirro ni Mkurya na story alizowahi kuzisikia huyo mwanamke ni kuwa Wakurya wanapiga wake...
Habari ndungu wana JF ,
Karibuni tujadili mada hiyo hapo juu
Ikiwa una mchumba ambae mnapendana kwa dhati lakini lakini hayupo vizuri kiuchumi na amedhamiria kukuoa.
Kutokana na tatizo la kukosa pesa hana uwezo wa kulipa mahari kwenu ili muoane.
Na kwa upande wako wewe kiuchumi upo vizur.i...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.