Search results

  1. N

    Je, wakati umefika kwa nchi yetu kutunga sheria inayoruhusu utoaji salama wa Mimba?

    Nimelazimika kuleta Uzi huu, kutokana na kuona ongezeko kubwa la watoto wa mitaani, yatima, watoto wanaoishi kwenye mazingira magumu, machokoraa, "panya road" na kadhalika. Ukichungiza matatizo yote hayo, mwanzo wake ni kutokana na mimba zisizotarajiwa. Kwa vyovyote vile mtoto akiletwa duniani...
  2. N

    Ninayetaka kumuoa ana mchepuko mwingine

    Nimekuelewa Kwa herufi kubwa Mkuu
  3. N

    Ninayetaka kumuoa ana mchepuko mwingine

    Habari zenu? Kuna single mama mmoja binti wa miaka 25, nimekuwa naye kwenye mahusiano Kwa karibu mwaka mmoja na sasa hivi ana ujauzito wangu wa miezi 5. Ila ana mtoto wa miaka mitano aliyezaa na mwanaume mwingine. Huyo mwanaume walishaachana kitambo tangu mtoto akiwa ana mwaka na jamaa huwa...
  4. N

    Msaada: Nimuoe huyu binti au nisikilize ushauri wa Wazazi wangu?

    Ni kweli mm NDIYE mwenye maamuzi lakini BILA baraka za wazazi pia, haitakuwa ndoa yenye afya. Hata Kwa Sheria za ndoa Ili ndoa iwe halali lazima wazazi waridhie.
  5. N

    Msaada: Nimuoe huyu binti au nisikilize ushauri wa Wazazi wangu?

    Ishu sio kuzaa au kutokuzaa Mkuu, unaweza ukaja ambaye ni fresh hajazaa ila akawa anapasha kipori na ex wake. Nafikiri point ya msingi ni namna ya kudhibiti mawasiliano kati yake na na baba mtoto wake
  6. N

    Msaada: Nimuoe huyu binti au nisikilize ushauri wa Wazazi wangu?

    Habari zenu Wana JamiiForums?. Mimi nimekuwa kwenye mahusiano na dada mmoja Kwa miezi kumi sasa. Dada huyo ni mama WA MTOTO mmoja WA miaka mitano, jamaa aliyezaa naye walisha achana siku nyingi, na Kwa SASA ana familia yake, ila wanalea tu mtoto. Sasa Kwa BAHATI MBAYA au NZURI huyo dada ana...
Back
Top Bottom