Wakuu hili liko wazi, Mabwanyenye wengi ndicho kiwango wanacholipa baada ya kuwahenyea .
Hivi kwa hiki kiwango unatoboa vp, japo inawezekana ukipata ufahamu!
Njooni, wataalamu wa bajeti
Salaam,
Nimenunua simu kwa njia ya mtandao (huawei p8 lite)
Imenifikia tyr lakini laini hazisomi, wataalamu shida ni nn
Labda sikua makini kwenye kuangalia (mtandao ni KIKUU)
Salaam
Wakuu mimi ni mwangalizi wa jumba la ndugu yangu, yeye yuko Texas-Huoston.
Jumba ni kubwa sana na lipo maeneo ya watu wenye uwezo, ila ndani nipo mwenyewe
Kwa nje ya geti kuna sehemu kubwa ya kufungua bzness na movement zpo kiasi
Je, naweza weka kitu gani hapo..... mtaji ni 200k tu...
Walaamu,
Wakuu, tunazidiana kwa kila namna
Tupia wazo lolote ambalo laiti mtu akiligundua kuanzia kiuchumi,kimwili kiroho.....n.k ataacha kulalamika kwa namna yoyote
Toeni ya moyoni, japo msitegemee kueleweka kwa wote
Nawasilisha!
Itifaki imezingatiwa,
Wakuu, binafsi chanzo cha kutumia id-enter passcode ni shemeji/wifi/mtoto/mjukuu wenu, simu niliijaza pass words mpaka akitaka kufungua app yoyote inamdai aingize codes,
Baada ya kukuta na camera ya simu inamuhitaji code, alishindwa kujifotoa na kunipa jina zuri kama hili...
Wasalaam
Wakuu, kila mmoja hapa anashuhudia mtaani kulivyo kugumu , hasa kwa wasaka tonge kama mm
Sasabasi, ajitokeze mwana mwenye dili ngumu ili tushiriki wote hiyo ‘National cake ‘. Niko tayari
Wasiotakiwa hapa ni wafuatao;
Wale wa fanya kazi halali
Mlioko kwenye system , hamtakiwi kabisa...
Salaam,
Wakuu, husika hapo juu, kuna wakati huwa najiuliza sana juu ya uwezo wao lakini sipati jibu.
Je, kuna elimu wanayo labda mimi naikosa?
Wakuu mnaoelewa chochote kuhusu hii elimu, naomba ujuzi.
Asanteni sana
Habari, rejea kichwa cha habari.
Jinsia: Me
Umri: 28 yrs old
Mafunzo: JKT
Uzoefu wa kulinda: 3yrs
Vituo nivyolinda: Julius Nyerere hydropower project (JNHPP),some of TRA offices &some of petrol stations
Elimu: Kidato cha 6, chuo but #dropuot, pia ninacho cheti cha clearing &forwarding kutoka...
Habar wakuu!
Natafuta kazi ya ulinzi
umri; 28yrs old
Elimu; kidato cha 6, chuo but #dropout kwa sababu za kifedha lakn sio ishu
Mafunzo; JKT, Op; makao makuu Dodoma
Uzoefu; 3yrs of experience
Napatikana; Kimara-DSM
uwezo wa kutumia silaha; rungu,Smg,pump action s/machine gun
#niko...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.