Search results

  1. Black Opal

    Umekula nini leo siku ya kwanza ya mwaka mpya 2024?

    Kweli hili joto sio mchezo, unatamani uwe umesaula tu muda wote
  2. Black Opal

    Umekula nini leo siku ya kwanza ya mwaka mpya 2024?

    Angalia usije ukatupa koneksheni Mkuu
  3. Black Opal

    Umekula nini leo siku ya kwanza ya mwaka mpya 2024?

    Punguza makasiriko.... stress zitakuua usifanye masihara
  4. Black Opal

    Umekula nini leo siku ya kwanza ya mwaka mpya 2024?

    Sapta limekubali Mkuu
  5. Black Opal

    Umekula nini leo siku ya kwanza ya mwaka mpya 2024?

    Pole sana Mkuu, kula tango au juice yake uondoe hiyo kitu
  6. Black Opal

    Umekula nini leo siku ya kwanza ya mwaka mpya 2024?

    Karanga mbichi....wa Cuba tumeelewa 😂 😂 😂
  7. Black Opal

    Umekula nini leo siku ya kwanza ya mwaka mpya 2024?

    Umenza makasiriko mapema hivi Mkuu, Utakufa kwa stress kabla mwaka haujasogea kokote
  8. Black Opal

    Umekula nini leo siku ya kwanza ya mwaka mpya 2024?

    Acha wivu Mkuu, lete tuone chako umpiku
  9. Black Opal

    Umekula nini leo siku ya kwanza ya mwaka mpya 2024?

    Acha hizo mkuu, nimekula kitu roho inapenda... afu huku hakuna vibudu kama huko kwengine
  10. Black Opal

    Umekula nini leo siku ya kwanza ya mwaka mpya 2024?

    Afu dagaa wana ubaya gani kwani Mkuu?😂😂😂
  11. Black Opal

    Umekula nini leo siku ya kwanza ya mwaka mpya 2024?

    Wala ndizi bukoba wanaelewa hii combo, uliza wakupe jibu.... ni noma
  12. Black Opal

    Umekula nini leo siku ya kwanza ya mwaka mpya 2024?

    Wazee wa maakuli, leo tunauanza mwaka mwaka mpya, naamini uko mzima wa afya. Tumeuanza mwaka na msosi gani leo? Mimi nimepiga ndizi bukoba na dagaahapa safii, utamu unafika hadi kisogoni.
  13. Black Opal

    Utapika chakula gani Xmas hii?

    Muda huu ukiwa na majirani wa aina hiyo halafu sio wachoyo, unapata chakula cha kutosha hata kiporo cha siku mbili tatu
  14. Black Opal

    Utapika chakula gani Xmas hii?

    😂😂😂 umetisha mzee. Kwanini lakini ule ugali Xmas?
  15. Black Opal

    Utapika chakula gani Xmas hii?

    Wazee wa madikodiko kwema? Xmas hiyo inakuja, umejipanga kutoka na sotojo gani? Kwa upande wangu najua pilau na juice moja matata havitakosa kwenye menu yangu, vingine hivyo vitakuwa vya ziada tu ula ubweche huu lazima ufinywagwe siku hiyo. Vipi kwa upande wako, umejipanga kupika nini Xmas...
  16. Black Opal

    Uzi wa Recipes za Juice: Unafanya nini kuongeza madikodiko kwenye juice ili iwe tamu zaidi?

    Wazee wa maakuli kwema? Naomba tutumie uzi huu kuweka recipes mbalimbali za juice tupate vinywaji amazing kipindi hiki cha sikukuu. Ili kufanya juice yangu iwe bomba huwa nafanya haya katika mchanganyiko ninaotengeza; - Ikiwa matunda ni matamu sana labda umetumia maembe yameiva sana pamoja na...
Back
Top Bottom