Umekula nini leo siku ya kwanza ya mwaka mpya 2024?

Black Opal

JF-Expert Member
Jan 22, 2023
201
263
Wazee wa maakuli, leo tunauanza mwaka mwaka mpya, naamini uko mzima wa afya.

Tumeuanza mwaka na msosi gani leo?

Mimi nimepiga ndizi bukoba na dagaahapa safii, utamu unafika hadi kisogoni.

ndizi.jpg
 
Back
Top Bottom