supermarket
JF-Expert Member
- Sep 10, 2016
- 7,453
- 10,941
Chips zege, peps + karanga mbichi
SafiiiiiAsubuhi kiazi kitamu na maji, mchana buffet la Ramada saa hizi beer baridi
Karanga mbichi....wa Cuba tumeelewa 😂 😂 😂Chips zege, pesps + karanga mbichi
dah kupiga picha msosi ninaokula naona kama sio poaAcha wivu Mkuu, lete tuone chako umpiku
Shule zifunguliwe upesi...huu ujinga ni wa facebook sio jf alaaUmenza makasiriko mapema hivi Mkuu, Utakufa kwa stress kabla mwaka haujasogea kokote
kitimoto nusu na ndizi 4Wazee wa maakuli, leo tunauanza mwaka mwaka mpya, naamini uko mzima wa afya.
Tumeuanza mwaka na msosi gani leo?
Mimi nimepiga ndizi bukoba na dagaahapa safii, utamu unafika hadi kisogoni.
Pole sana Mkuu, kula tango au juice yake uondoe hiyo kitumimi mpaka muda huu bado sijaweka kitu tumboni.
sababu iliyonifanya nkashindwa kunywa ni kunywa pombe nyingi wakati nikipokea mwaka, hangover imeng'ang'ania.
OVAAA
Sapta limekubali MkuuView attachment 2859404
Muda huu picnic
Punguza makasiriko.... stress zitakuua usifanye masiharaShule zifunguliwe upesi...huu ujinga ni wa facebook sio jf alaa
Angalia usije ukatupa koneksheni MkuuPombe
pombe
pombe
Angalia usije ukatupa koneksheni Mkuu
Hahaha Umeogopa Vibudu😀😀😀🙂Tunachangamshana Mkuu..Chakula safi hiyo..Joto la mjini hata supu hazipandi😀😀Acha hizo mkuu, nimekula kitu roho inapenda... afu huku hakuna vibudu kama huko kwengine
View attachment 2859404
Muda huu picnic
Kweli hili joto sio mchezo, unatamani uwe umesaula tu muda woteHahaha Umeogopa Vibudu😀😀😀🙂Tunachangamshana Mkuu..Chakula safi hiyo..Joto la mjini hata supu hazipandi😀😀
nmefuata ushauri wako nmekula tikiti zima ndo nkaweza kula chakula, tena nmekula kwa kiwango kile cha siku zotePole sana Mkuu, kula tango au juice yake uondoe hiyo kitu