Mwaka 2009, Kibanda wakati ule akiwa mhariri mtendaji wa gazeti la Tanzania Daima alianzisha mfululizo wa makala zenye kichwa kisemacho - Tuendako: Sio Ufisadi, Ni Urais 2015. Katika makala hizo, Kibanda alishambulia sana mtandao uliomwingiza Kikwete madarakani. Makala hizi zilileta mtikisiko...
Tabia ya wanawake kuwa wasagaji au angalau bi-sexual imekuwa ni kubwa sana Tanzania, na wengi wana wake zao au girl friend zao ambao hawajui ukweli huu kwani wanawake wengi wanaogopa kwamba wanaume wao wata waacha mara watakapogundua hilo. Kwa wale wenye uelewa au uzoefu wa suala hili, iwapo ni...
Binafsi nimekuzwa na kulelewa na mzazi mmoja ambaye ni mama, sijawahi pata hata mapenzi ya baba nilipokuwa mwana.
Kulea mtoto binafsi bila msaada wowote ilikua ngumu sana kwa mzazi wangu lakini alijifunga shuka kiunoni na kutosalimu amri ya uvivu.
Kwakweli malezi ya mzazi mmoja pekee yana...
Nimekuwa najiuliza, wanaume tunaposema tunampenda msichana/mwanamke, tuna maana gani hasa? Nimebaini kwamba wanaume tuna maana nyingi sana juu ya hili. Kwa mfano, je ukiambiwa uchague kitu kimoja tu kati ya hivvo hapa chini, halafu mwanamke utakayemchagua utapelekwa nae kwenda kuishi katika...
Wadau,
Tanzania ya leo ni tofauti kabisa na Tanzania ya miaka ya nyuma, hasa kwa Dar-es-salaam. Mwanamke kulala na mwanaume imekuwa ni kitu cha kawaida sana, sio kama zamani. Zamani mwanamke kulala nae sio kazi ndogo. Utaambiwa subiri nikafikirie, jibu wiki ijayoooooo! Pengine tungesema tatizo...
Kina dada, kina kaka, ipi au zipi mnakubaliana nazo na zipi mnakataliana nazo? indicate tu mfano, 'namba 2', n.k
Source = Source: About Lustability
During the months of research which have gone into devising our sexual compatibility test, weve uncovered some pretty extraordinary facts. We...
Ndugu zanguni,
nimekumbwa na kituko kibaya mjini arusha. Nilienda na ndugu yangu Bar jana, tukaagiza chakula. Tulikuwa tumeshakunywa konyagi kidogo. mhudumu kuleta chakula, akatuacha kwa kama dakika tano bila kutuletea maji ya kunawa. Nikaumuita na mazungumzo yakawa kama ifuatavyo:
Mimi: Oyaa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.