Habari.
Nahitaji shule ya sekondari ya O level ya wasichana au mchanganyiko inayomilikiwa na masisita yenye malezi na mazingira mazuri tofauti na st.Monica na Precious blood. Kama mwanao anasoma hiyo shule itakuwa vizuri zaidi.
Asanteni.
Wanajamvi habari.
Ninaomba kufahamu kama kuna tution center kwa wanaorudia mitihani ya kidato cha sita ya masomo ya sanaa maeneo ya Mromboo au Intel.Nikipata mawasiliano itakuwa vizuri sana.
Mwenye uelewa wa kozi tajwa hapo juu naomba anipe ufafanuzi.
Hii kozi inahusiana na nini?
Ili uweze kusoma hii kozi unatakiwa usome mchepuo upi?
Ukisoma hii kozi unafanya kazi gani na wapi?
Je unaweza kujiajiri kupitia hii kozi?
Karibuni kwa ufafanuzi.
Wanajamvi nawasalimia kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Kichwa Cha habari chahusika.
Ninahitaji kuanzisha mradi wa kutotolesha mayai na kuuza vifaranga. Aliyewahi kufanya hii biashara aje anieleze Nini kinahitajika ili niweze kuanzisha huu mradi, soko likoje, faida na changamoto za...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.