Search results

  1. Bedui la bongo

    Ushauri wa masomo ya QT

    Habari wakuu wanaJF, nahitaji ushauri kwa wajuzi wa jambo hili Mimi niliishia form 2 nilikatiza shule kutokana ugumu wa maisha ya wazazi wangu hivyo sikubahatika kuendelea na masomo nikaingia kwenye utafutaji wa maisha mtaani sasa nahitaji kujiendeleza kupitia hizi shule za Qt. Msaada wangu...
  2. Bedui la bongo

    Chakula gani unatamani kula kwenye maisha yako?

    Kama kichwa cha habari hapo juu kinavyojieleza, kila mtu duniani muda mwingine hutamani kula kitu ambacho hajawahawi kula kutokana na mazingira yalivyo kwake. Mtu mwingine anatamani kula kitu flani sena inashindikana huenda fedha hana au hamna wataalamu wa hicho chakula anachotaka nchi husika...
  3. Bedui la bongo

    Nimeikuta kwenye mnada Dakawa Morogoro

    Kuna risiti nmeiona hapa morogoro niliponunua mbuzi sasa ilivyoandika ushuru wa mbuzi 1000 halafu baadae imeandikwa goat 1500 jumla elfu 2500 sasa goat nini na mbuzi nini hapo wakuu sijaelewa.
  4. Bedui la bongo

    Faida ya kuwa SINGLE

    Katika sayari hii ya dunia kuna baadhi ya watu wanakwambia mapenzi ndiyo yanayoiendesha dunia, hii ni kwa sababu asilimia kubwa ya watu wengi wametawaliwa na mawazo ya kimapenzi. Pamoja na kuwapo kwa kundi hilo la watu wanaoamini hivyo lakini pia wapo baadhi ya watu huamini ya kwamba mapenzi...
  5. Bedui la bongo

    Masheikh wa Uamsho

    Nimesikia rais magufuli katoa msamaha ila kwenye msamaha huo sijasikia kusamehewa masheikh wetu wa uamsho najua kusema ukweli kwao ndo imekuwa tatizo ila naimani ipo siku mungu ataleta neema yake watatoka
  6. Bedui la bongo

    Nauza king'amuzi cha azam

    Nauza king'amuzi cha azam bei elfu 80000 nipo morogoro bila dish
  7. Bedui la bongo

    Historia ya kaburi la Iringa lililogoma kuhama

    Kaburi la Mzee Martin Kiyeyeu aliyefariki mwaka 1974, kama linavyoonekana katika picha kando ya barabara ya Iringa-Mbeya Uliwahi kusikia maajabu ya Kaburi hili la mtu maarufu katika fani ya waganga wa jadi Almaarufu Kiyeyeu? Kaburi la Kiyeyeu, lipo Njiapanda ya Mlolo pembezoni kabisa mwa...
  8. Bedui la bongo

    Nyoka wa ajabu

    Leo kwenye pitapita zangu mida ya asubuh nipo mtoto wa mjomba tunaelekea shambani ghafla mbele wakati tunatembea tukakutana na nyoka mkubwa mweusi yule mtoto wa mjomba angu alipomuona akamrushia jiwe lilikuwa karibu yake cha ajabu yule nyoka hakukimbia bali akawa anatoa mlio wa ajabu na anazidi...
  9. Bedui la bongo

    Maneno wanayotumia wanawake na maana zao

    Kuna maneno yanaposemwa na mwanamke, huwa na maana tofauti na ile iliyoandikwa kwenye kamusi. Tuyaongelee machache. Dakika tano Kimsingi maneno dakika tano yanatakiwa kumaanisha ‘dakika tano’. Na hutumika mmoja anapomuahidi mwingine kuwa aidha atamuhudumia ndani ya dakika tano, au atafanikisha...
  10. Bedui la bongo

    Mjusi wa tani 50 aliyeko Ujerumani kurudishwa Tanzania

    Arusha. Wizara ya maliasili na utalii kwa kushirikiana na Serikali ya Ujerumani ipo katika mazungumzo ya mwisho kurejesha nchini mabaki ya mjusi mkubwa ambaye kitaalam anaitwa Dinosaur aliyekuwa na uzito wa tani 50 ambaye alichukuliwa nchini miaka zaidi 100 iliyopita. Akizungumza katika hafla...
  11. Bedui la bongo

    Kupanga nyumba za shirika la taifa NHC ukoje?

    Assalaam alaykum Bwana Yesu asifiwe wana JF swala langu kwa wajuzi wa masuala ya kupanga nyumba za shirika la taifa NHC ukoje kwa maana nimejaribu kitembea takribani mikoa 16 tanzania hapa na nmepata bahati ya kutembea maeneo ya mjini ila mikoa yote nayoenda nikikutana na nyumba za NHC nimekuwa...
  12. Bedui la bongo

    IFAHAMU RATIBA YA VIPORO VYA SIMBA

    Klabu ya soka ya Simba inakabiliwa na ratiba ngumu ya michezo yake ya ligi kuu pamoja na ile ya kimatafa ambapo mara baada ya michuano ya Sportpesa Super Cup inayoanza 22/01/2018 hadi 27/01/2019 timu hiyo itaondoka kwenda Misri kwa ajili ya kukipiga na Al Ahly. Mchezo huo unatarajiwa kuchezwa...
  13. Bedui la bongo

    Wananchi waja juu tozo ya Sh50,000 kupata kibali cha kufanya ‘besidei’

    Da es Salaam. Siku chache baada ya kusambaa kwa tangazo lililotolewa na Manispaa ya Temeke kuhusu tozo ili kupata vibali vya sherehe za harusi na kuzaliwa (‘besidei’) kwa kiwango cha Sh50,000, wananchi wamesema jambo hilo linawaongezea mzigo kwa kuwa hali ya uchumi ni ngumu. Mbali na sherehe...
  14. Bedui la bongo

    Faida saba za kutokuwa kwenye mahusiano ya kimapenzi (Kuwa Single)

    Katika sayari hii ya dunia kuna baadhi ya watu wanakwambia mapenzi ndiyo yanayoiendesha dunia, hii ni kwa sababu asilimia kubwa ya watu wengi wametawaliwa na mawazo ya kimapenzi. Pamoja na kuwapo kwa kundi hilo la watu wanaoamini hivyo lakini pia wapo baadhi ya watu huamini ya kwamba mapenzi...
  15. Bedui la bongo

    Aliyekuwa Msaidizi wa Abeid Aman Karume, Salim Rashid: Abeid Aman Karume angekuwa hai leo, pasingekuwa na Muungano

    Chanzo Mzalendo.net ::kuhusu Zanzibar baada ya kupinduliwa kwa serikali huru ya Zanzibar Januari 12, 1964 kwa kuuangalia Muungano ulioundwa baina ya Tanganyika na Zanzibar Aprili 26, mwaka huo huo. Licha ya kuwa hai kwa miaka 55 hakuna asiyetambua kwamba uhai wake una mashaka makubwa. Kusema...
  16. Bedui la bongo

    Mali ya Watanzania inavyowatajirisha Wajerumani

    Tendaguru ni eneo linalopatikana katika Wilaya ya Lindi Vijijini, takriban kilomita 60 kaskazini magharibi mwa mji wa Lindi. Tendaguru au Tendeguru ni neno la Kimwera, likiwa na maana ya kilima. Mwaka 1906 wakati huo Tanganyika ikiwa koloni la Ujerumani, kwenye pitapita zake chini ya mlima...
  17. Bedui la bongo

    Tabia za ajabu na mbovu za Watu wa Bara

    Haya nitakayo yasema kaa mwenyewe ufikiri uone kama ni sawa ama laa 1. Vigodoro visivyo na staha watu wanacheze uchi wanavua nguo mbele ya watoto na watu wanashangilia 2. Singeli, watu wanaimba kwa kutukana wanacheza na mapanga vurugu tupu 3. Khanga moja na vibao kata, mtu anavua nguo...
  18. Bedui la bongo

    Fahamu sababu za wanaume wengi kuwa na mahusiano na wasichana wa ndani

    Miongoni mwa watu ambao wanatakiwa kupewa heshima zote hapa duniani ni wadada wa kazi za nyumbani ( house girl), maana hawa wamekuwa wana msaada mkubwa sana katika familia zilizo nyingi. Wamekuwa wakiwasaidia wenye nyumba katika kutimiza majumu mbalimbali ambapo mimi binafsi naamini kazi hizo...
  19. Bedui la bongo

    Zijue faida za kutumia Limao katika mwili wa mwanadamu

    Faida za limao au ndimu zinajumuisha matumizi kama tiba kwa ajili ya vidonda vya kooni, matatizo katika mmeng’enyo wa chakula, matatizo ya meno, homa, kuvuja damu ndani ya mwili, baridi yabisi, kutibu malengelenge, uzito kupita kiasi, matatizo katika mfumo wa upumuwaji, kipindupindu na shinikizo...
  20. Bedui la bongo

    Athari za kuwa kwenye uhusiano na mwanamke aliyekuzidi umri

    Katika jamii zetu za kiafrika suala la mwanaume kumzidi umri mwanamke katika sekta ya mahusiano limekuwa ni suala la kawaida sana, lakini pindi inavyotokea kinyume chake watu wengi hubaki vinywa wazi huku watu wengi wakishangaa kuona mwanamke mwenye umri mkubwa akiolewa ni mwanaume mwenye umri...
Back
Top Bottom