Kupanga nyumba za shirika la taifa NHC ukoje?

Bedui la bongo

JF-Expert Member
Aug 24, 2018
297
306
Assalaam alaykum Bwana Yesu asifiwe wana JF swala langu kwa wajuzi wa masuala ya kupanga nyumba za shirika la taifa NHC ukoje kwa maana nimejaribu kitembea takribani mikoa 16 tanzania hapa na nmepata bahati ya kutembea maeneo ya mjini ila mikoa yote nayoenda nikikutana na nyumba za NHC nimekuwa nikikuta WAARABU NA WAHINDI tu sasa naomba kujua hizo nyumba zimejengwa kwa ajili yao wageni tu WATANZANIA wananyumba zao ama wao wanazipata vp mpaka wamejazana WAHINDI NA WAARABU TU kwenye nyumba hizo

Nawasilisha kwa wanaojua utaratibu

Sent using Jamii Forums mobile appiphone
 
Mkuu, hao waarabu na wahindi walio jazana kwenye Nyumba ya NHC ni wamiliki asili wa nyumba hizo. Baada ya kutaifishwa mwaka 1970, wameendelea kuishi kwenye nyumba hizo, huku wakilipa kodi NHC!
 
Yaani mimi mwenyewe hilo najiulizaga sana sisi watu weusi kwenye hizo nyumba sijui kama tupo na kama tupo basi ni wachache sana yaani mpaka huwa naziogopa. Mimi nashauri hizo nyumba wawe wanapangishiwa watu weusi kwa bei ya chini halafu hawa wengine kwa bei kubwa kiasi sababu huwa wanaubaguzi sana hivyo siyo mbaya na sisi tukiwatreate kama siyo wenzetu maana wao ndiyo wanaanzisha ubaguzi.
 
Hata mm bado sijapata jawabu vzr mana nyumba wapo wahindi na waarabu sijui wanazipata vp
Yaani mimi mwenyewe hilo najiulizaga sana sisi watu weusi kwenye hizo nyumba sijui kama tupo na kama tupo basi ni wachache sana yaani mpaka huwa naziogopa. Mimi nashauri hizo nyumba wawe wanapangishiwa watu weusi kwa bei ya chini halafu hawa wengine kwa bei kubwa kiasi sababu huwa wanaubaguzi sana hivyo siyo mbaya na sisi tukiwatreate kama siyo wenzetu maana wao ndiyo wanaanzisha ubaguzi.

Sent using Jamii Forums mobile appiphone
 
Sawa mkuu sasa mbona hizo nyumba wanakodi hao wahind watanzania wachache ni wananyimwa au utaratibu uko vp mpaka wao wawe wengi?
Sent using Jamii Forums mobile appiphone

Mkuu, wahindi ndio waliojenga zile nyumba, na baada ya kutaifishwa, hawakufukuzwa mle. Ndio maana wanaendelea kuishi mle hadi leo, kizazi baada ya kizazi. Lakini unaweza kutembelea ofisi za NHC na kuulizia nyumba isiyo na wapangaji. Kuna waiting list na ujuane na watu wanaofanya maamuzi! Ni ngumu, na ndio maana tunaishi tu Tandale, ili maisha yaendelee!
 
Hahaa sawa mkuu shukran hizo nyumba huwa nazitaman ila nikiona waarabu na wahindi roho inauma na nakata tamaa
Mkuu, wahindi ndio waliojenga zile nyumba, na baada ya kutaifishwa, hawakufukuzwa mle. Ndio maana wanaendelea kuishi mle hadi leo, kizazi baada ya kizazi. Lakini unaweza kutembelea ofisi za NHC na kuulizia nyumba isiyo na wapangaji. Kuna waiting list na ujuane na watu wanaofanya maamuzi! Ni ngumu, na ndio maana tunaishi tu Tandale, ili maisha yaendelee!

Sent using Jamii Forums mobile appiphone
 
Back
Top Bottom