Wakuu nishazoea kupewa ukubwa wa viwanja haswa vinavyouzwa kwa hatua, mfano 20 kwa 30 sasa mfumo wa sasa ndio nakosa nao uhalisia kabisa
Nilifika ofisi moja ya ardhi nikapatiwa kiwanja ambapo plot zao wameanisha kwa m²
Nakapenda kimoja chenye 565 m². Je ukubwa huu naomba mnipe kwa hatua hata...
Naandika haya kutokana na yanayojiri katika biashara zangu
Niliwahi kufanya biashara Kimara na nilipata maendeleo mazuri kibiashara ila nilihama kwakuwa ndio home boi
Sasa baada ya kuhama nimekuja huku Kusina mwa Tanzania (Mtwara)
Kwa sasa niko na miezi na 8 katika biashara yangu (mobile...
Habari wadu , sasa ni mwaka 2 tangu kushindwa na kumuacha mzazi mwenzangu (mama wa mtoto wangu ) kutokana mienendo yake ambayo kijamii na kidini na kinadamu hakuna binadamu angeweza vumilia (japo hatukufunga ndoA)
Tangu mwez huu umeanza huwa anapenda kuja kwangu na kuniletea mtoto wangu ambako...
Majambazi wamekodi Gari maeneo ya ubungo liwapeleke morogoro,njiani waanza kumchoma visu ili waibe gari,bahati kwa nyuma likatokea Gari kutoa msaada majambazi wakakimbia ila dereva amefarik
(Pcha zmetolewa)
Lazima tuwajulishe watoto wetu Wa Kike Kuwa, Katika Maisha Yao Kuna Nguo Kuu Nne Za Kuvaa.
Nazo ni:
1) Sare ya shule
2) Joho la Graduation
3) Gauni la Harusi
4) Maternity Dress (Nguo ya mjamzito)
Hata hivyo, Mueleze Kuwa Kama Akiruka Ya Kwanza Hatapata Nafasi Ya Kuvaa Ya Pili.
Mueleze Kuwa...
BAADHI YA MASWALI YALIYOULIZWA NA WADAU WA JF
Twende pamoja kwa waliotumia na wanaotumia pikipiki tuu.
Kati ya hizi pikipiki unaipenda sana ipi na kwanini(based katika matumizi binafsi)?
1. Boxer
2. SANLG
3. Feckon
4. TVS King
5. Hero
6. King Lion
7. Houjo
---
---
---
BAADHI YA MAONI...
*Hii taarifa imeanzia ivory coast*
Cashew nut farmers and exporters in Ivory Coast are seeing a slump in sales as Vietnamese exporters try to get out of contracts following a drop in world prices, an official said on Tuesday.
Ivory Coast is the world's top cashew nut producer with output of...
Wadau baada ya kukomaa na kuandika sasa nahitaj msaada wenu kwa MTU yoyote ambae anapicha za eneo hilo na mkodi anitumie,
Nahitaji picha ambazo zitaonyesha mazingr ya ya nje
Mazingr ya wa kazi wanaozunguka maeneo hayo
Na mazingr yario athiriwa na uchimbaji
Note naomba picha hizo uwe ulipga...
Mr. & Mrs na vijana wengine
Naomba ushauri wenu niko njiani kuanza biashara ya biashara ya Tgo pesa na mtaji niliokuwa nao ni (Tsh300000] tuu je nianze na mtaji huu mdogo au niongee kwakuchukua mkopo japo mahitaji ya eneo hili wateja wa aina zote wapo (wa pesa kidogo na kubwa )
Jana nilifanya matembez katika vijiji kadhaa (w) Newala ila sasa nimekuta kuna vijiji watu wanauza viwanja bei rahisi sasa wasi wasi wangu ni
1>viwanja vile havijapimwa so kama nikinunua serikali wakija pima waninyang'anya au.....
2:-Kuna taratibu gan kama nikinunua nifanye ili viwe salama kbsa...
Habar wadau , kila miezi na mwaka unaposegea nahisi kuzongwa na majukumu mengi kazin na kuweka majukumu binafsi ya maisha ila kila kila ninapojaribu kupangalia mambo yangu yote ya ki ofc na majukumu binafsi na kuwana nabanwa na kazi hadi na kuwa nachoka ina pelekea ata ninaporudi kwangu naona...
Ndugu zangu, vijana wa kiume muwe makini sana haya ninayoyasema sio ya kusikika nimeyaona na yamenikuta yapo mimi ndio bilgc father.
Kwanini wasichana wa karne hii hasa wenye kazi (check no ) mnapopata mimba mnawashirikisha wanaume ulikuwa nao wote katika mahusiano wanalea mimba hadi mtoto...
Leo naungana na wengine dunia walioumizwa na wanawake ambao waliwahudumia lakini mwisho wa siku waliachwa bila ya kuona Tone la huruma kutoka kwa wenza wao wa zamani.
Nasema haya kwa huzuni kubwa kwani imenibidi nimuache mwanamke ambae nimezaa nae kwa bahati mbaya na nikawa nawahudumia kama...
Pale unapokuwa faragha na mpenzi wako halafu akataja jina la mshikaji mwingine inamaanisha kuwa umem-do kiwango sawa na huyo jamaa alie mtaja au nini?
Halafu unamuulza anakwambia ni jirani yake amemzoea (ila hata mimi nilishawahi kutajwa jina na mwanamke wa rafiki yangu wakati wako kwa...
Habari wana jf naomba unijuze kwa wale wenye kujua juu ya swala zima LA kipimo cha DNA hasa katk kujua ukweli wa mtoto kwa wale watu wa afya na ambayo tiyara wanataarifa kuhusu kipmo hiki
Swali:kipimo hiki huitaji sampuli Tatu(baba,mama na mtoto)
Au huweza kufanyika kwa kutumia sampuli...
Hivi unapolea mimba na hadi mwanamke anajifungua na kumlea mtoto ila mnapokuja kugombana anakwambia mtoto si wako, hivi hapo mwanamke huwa anamaanisha nini na anahitaji kufanyiwa nini?
Hasa hawa wanawake walioajiriwa. Huwa wanatafuta kulogwa au? Mtu umeachana nae ila anaanza kukwambia tena...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.