Wadau nipeni uzoefu na ujanja wa kukwepa chuma ulete

sawe4u

JF-Expert Member
Sep 11, 2016
973
572
Naandika haya kutokana na yanayojiri katika biashara zangu

Niliwahi kufanya biashara Kimara na nilipata maendeleo mazuri kibiashara ila nilihama kwakuwa ndio home boi

Sasa baada ya kuhama nimekuja huku Kusina mwa Tanzania (Mtwara)
Kwa sasa niko na miezi na 8 katika biashara yangu (mobile money) ila sikuwa naamini kuhusu chuma ulete ila kwa sasa huku kunifanya niamin kwakuwa kila baada ya 1 au wiki nakutana na upotevu wa ela nyingi hadi biashara inashuka kabisa

Wadau nipeni uzoefu na ujanja wa kukwepa chuma ulete kamisheni ni nzuri ila mtaji unakufa kwahiyo ni kazi bure ....
 
Niliwahi kufanya biashara maeneo ya tiptop ya duka la jumla nikawa napata faida nzuri tu, ila baadae yaanza mauza uza ya pesa kupotea bila kuonekana... Nikaanza kuamini kuna chuma ulete, mzee mmoja akaniambia niwe naweka mkaa kwenye droo ya hela ila holaaa, nikaanza kuaminishwa nalogwa ila baada ya kautafiti kangu nikabaini mdogo wangu mtoto wa mama mdogo ndio alikua ananiibia maana dogo alianza kua mcharo anatoa miofa kama hana akili nzuri
Nikafumba macho nikamlaza kituo cha police kama siku mbili akaongea kila kitu, ashukuru Mungu mama yangu ni mama yake mkubwa ndio alimuombea msamaha la sivyo dogo ningemtia adabu police
Sometimes hakuna cha chuma ulete wala nini, uchawi ni wewe mwenyewe kutokua makini na biashara yako though sometimes uchawi upo
 
Njia wanayo tumia kukuibia ndiyo njia hiyo hiyo unayotakiwa kutumia ili kudhibiti
 
Naandika haya kutokana na yanayojiri katika biashara zangu
Niliwah fanya biashara kimara na nilipata maendeleo mazur kabiashara ila nilihama kwakuw ndio home boi
Sasa baada ya kuhama nmekuja huku kucn mwa Tz (Mtwara)
Kwa sasa nko na miezi na 8 katika biashara yangu (mobile money) ila ckuw naamin kuhusu chuma ulete ila kwa sasa huku kunifanya niamin kwakuw kila baada ya 1 au wiki nakutana na upotevu wa ela nyingi hadi biashara inashuka kbsa

Wadau nipen uzoez na ujanja wakukwepa chuma ulete kamishen nzuri ila mtaji unakufa kwahyo ni kaz bure ....
Hakuna cha chuma ulete wala nini.
Ni matumizi na matanuzi yako yasiyo na mpango.
Hizo fedha hebu ziingize benki au mpesa halafu tuambie kama wamezifuata huko huko.
 
Baaah bwana weweee usiamini ushirikina chunguza chanzo cha upotevu wa pesa zako chaaaaa.
mkuu kama hayajakukuta haya mambo huwezi elewa!!tuachie sisi wahanga wa haya mambo tupeane ushauri!!daaaa hakuna mtu aliyekuwa mbishi kama mimi ila yaliyonikuta sitasahau maishani!ili bidi nimtoe mfanyakazi ili niuze mimi nione na kila pesa niliyokuwa naipokea nilikuwa naitandaza sakafuni na kuifunika na kokoto ili isipeperuke nione zinapoteaje,baada ya kufunga biashara nikaanza kuzikusanya karibu chumba kizima nilikuwa nimezitaawanya!!my God nakuta 90,000!!hakuna
 
mkuu kama hayajakukuta haya mambo huwezi elewa!!tuachie sisi wahanga wa haya mambo tupeane ushauri!!daaaa hakuna mtu aliyekuwa mbishi kama mimi ila yaliyonikuta sitasahau maishani!ili bidi nimtoe mfanyakazi ili niuze mimi nione na kila pesa niliyokuwa naipokea nilikuwa naitandaza sakafuni na kuifunika na kokoto ili isipeperuke nione zinapoteaje,baada ya kufunga biashara nikaanza kuzikusanya karibu chumba kizima nilikuwa nimezitaawanya!!my God nakuta 90,000!!hakuna
Duuh ilikuwa balaa mkuu khaaa
 
Hakuna cha chuma ulete wala nini.
Ni matumizi na matanuzi yako yasiyo na mpango.
Hizo fedha hebu ziingize benki au mpesa halafu tuambie kama wamezifuata huko huko.
Bank hawezi ibaa ilaa pesa uliyonayo wewe ndo chuma ulete inabeba mkuu.. Usiwe mbishi kabisaa na weni chuma ulete huwa Wanakuja na style ya Kuomba chenjii..
 
Chuma ulete na uchawi in general is a myth
.. kama kuna chuma ulete si aende kwa bank tellers akajichotee mamilioni ya pesa. Aje kwa watu wenye vimitaji vidogo ili iweje??? Narudia tena watanzania acheni kudanganyana. Chuma Ulete haiexist... mleta mada tazama vizuri biashara yako ujue tundu linalotorosha hela liko wapi ila kuhusu chuma ulete sahau. Ni uwongo na ujinga kuamini kuwa kuna chuma ulete
 
Back
Top Bottom