Dereva auawa wakati majambazi wakijaribu kumuibia gari

sawe4u

JF-Expert Member
Sep 11, 2016
973
572
Majambazi wamekodi Gari maeneo ya ubungo liwapeleke morogoro,njiani waanza kumchoma visu ili waibe gari,bahati kwa nyuma likatokea Gari kutoa msaada majambazi wakakimbia ila dereva amefarik

(Pcha zmetolewa)
 

Attachments

  • IMG-20181012-WA0045.jpg
    IMG-20181012-WA0045.jpg
    53.7 KB · Views: 58
  • IMG-20181012-WA0044.jpg
    IMG-20181012-WA0044.jpg
    60.9 KB · Views: 59
Hv kulikuwa na ulazima gani wa kuua jamani? Wangeweza kutumia mbinu nyingine tu wakachukua gari na dereva akabaki hai
 
MAISHA haya mtu unajitafutia mkate wako ulishe familia unakuja kufa kifo cha mateso dah
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom