Leo naungana na tafiti na misemo yote duniani kuwa mwanamke hasomeshwi

sawe4u

JF-Expert Member
Sep 11, 2016
973
572
Leo naungana na wengine dunia walioumizwa na wanawake ambao waliwahudumia lakini mwisho wa siku waliachwa bila ya kuona Tone la huruma kutoka kwa wenza wao wa zamani.

Nasema haya kwa huzuni kubwa kwani imenibidi nimuache mwanamke ambae nimezaa nae kwa bahati mbaya na nikawa nawahudumia kama sehemu yangu ya familia na nikiwapa umuhimu wote ila baada ya kukuta mwanangu anahudumiwa na baba wa kambo akijua kuwa ni mwanae pamoja na hayo nikamuulza mama mtoto na kudai kuwa mtoto ni wangu ila huyo jamaa nae anahudumia akijua mtoto ni wake.

Kibaya zaidi kuongea na mama mtoto alikuwa tayari kunipoteza mimi kuliko huyo mwanaume mwingine mwenye pesa nyingi kuliko mimi. Iliniuma sana na nimeshindwa kutoa huduma na sitotoa huduma tena hadi pale nitalewa mtoto nikae nae mimi (Kisa jamaa alimpa sapoti sana wakati anasoma)

Nimeumia sana kuona mwanamke anaona bora kuvunja mahusiano yetu kuliko kumpoteza huyo jamaa. Nimeamini hakuna anaeweza kumridhisha mwanamke ambae yeye ajaamua kuridhika na hali fulani ya mwanaume ....
 
Mkuu kumbuka huu ni muda wa kazi,huu upumbavu wako peleka jukwaa la mahusiano huko,hapa tunataka mambo ya maana kama kupeana michongo ya kazi
 
Pole
 

Attachments

  • IMG-20151223-WA0005.jpg
    IMG-20151223-WA0005.jpg
    17.7 KB · Views: 57
Ndoa maana mimi napendaga u casanova wala haijalishi mimi nawaza pukuchi basi mengine ni ziada
 
Mi nshatembea kwa mguu kutoka magomeni mpaka kigamboni kusafirisha mzigo wa demu wangu na wiki ilio fuata nikatoswa bila huruma na demu akasema anampenda jamaa mwingine so mimi nipite mbalii na hela zangu kala za kutosha na tulidumu kwenye mahusiano kwa miaka mi nne ila nilijikaza kiume tu ni kapata mwingine na yule msaliti akapata wivu akataka kurudi nkamwambia labda tufe alaf tuzaliwe upya ndo ntamrudia ila sio kwa huo mwili wake ulionyonywa na jamaa lina ndevu nyingi kama Osama
 
Mi nshatembea kwa mguu kutoka magomeni mpaka kigamboni kusafirisha mzigo wa demu wangu na wiki ilio fuata nikatoswa bila huruma na demu akasema anampenda jamaa mwingine so mimi nipite mbalii na hela zangu kala za kutosha na tulidumu kwenye mahusiano kwa miaka mi nne ila nilijikaza kiume tu ni kapata mwingine na yule msaliti akapata wivu akataka kurudi nkamwambia labda tufe alaf tuzaliwe upya ndo ntamrudia ila sio kwa huo mwili wake ulionyonywa na jamaa lina ndevu nyingi kama Osama
Hahaha mkuu umenifurahisha kweli hy ndio maamuzi ya kiume
 
Leo naungana na wengine dunia walioumizwa na wanawake ambao waliwahudumia lakini mwisho wa siku waliachwa bila ya kuona Tone la huruma kutoka kwa wenza wao wa zamani.

Nasema haya kwa huzuni kubwa kwani imenibidi nimuache mwanamke ambae nimezaa nae kwa bahati mbaya na nikawa nawahudumia kama sehemu yangu ya familia na nikiwapa umuhimu wote ila baada ya kukuta mwanangu anahudumiwa na baba wa kambo akijua kuwa ni mwanae pamoja na hayo nikamuulza mama mtoto na kudai kuwa mtoto ni wangu ila huyo jamaa nae anahudumia akijua mtoto ni wake.

Kibaya zaidi kuongea na mama mtoto alikuwa tayari kunipoteza mimi kuliko huyo mwanaume mwingine mwenye pesa nyingi kuliko mimi. Iliniuma sana na nimeshindwa kutoa huduma na sitotoa huduma tena hadi pale nitalewa mtoto nikae nae mimi (Kisa jamaa alimpa sapoti sana wakati anasoma)

Nimeumia sana kuona mwanamke anaona bora kuvunja mahusiano yetu kuliko kumpoteza huyo jamaa. Nimeamini hakuna anaeweza kumridhisha mwanamke ambae yeye ajaamua kuridhika na hali fulani ya mwanaume ....
Usijali ndio unakuwa hivyo kiakili usiwe mnyonge haya mambo yanawakuta watu wengi ulimwengu huu kikubwa usiwaze kuhusu msaada wako uliokuwa unautoa fanya kama ulikuwa unatoa sadaka vile au kama unamsaidia dada yako na kama mtu hakupendi hakupendi tu huwezi mfosi ww mwanaume bn be stong simama tn na kwaushauri ili uwe na amani zaidi toa takataka zote kichwani ambazo zitazikufanya mara kwa mara umkumbuke
 
Usijali ndio unakuwa hivyo kiakili usiwe mnyonge haya mambo yanawakuta watu wengi ulimwengu huu kikubwa usiwaze kuhusu msaada wako uliokuwa unautoa fanya kama ulikuwa unatoa sadaka vile au kama unamsaidia dada yako na kama mtu hakupendi hakupendi tu huwezi mfosi ww mwanaume bn be stong simama tn na kwaushauri ili uwe na amani zaidi toa takataka zote kichwani ambazo zitazikufanya mara kwa mara umkumbuke
Nashukuru sana mkuu umenipa nguvu
ya kuanza upya kwani c ujinga .
Shukran
 
Mi nshatembea kwa mguu kutoka magomeni mpaka kigamboni kusafirisha mzigo wa demu wangu na wiki ilio fuata nikatoswa bila huruma na demu akasema anampenda jamaa mwingine so mimi nipite mbalii na hela zangu kala za kutosha na tulidumu kwenye mahusiano kwa miaka mi nne ila nilijikaza kiume tu ni kapata mwingine na yule msaliti akapata wivu akataka kurudi nkamwambia labda tufe alaf tuzaliwe upya ndo ntamrudia ila sio kwa huo mwili wake ulionyonywa na jamaa lina ndevu nyingi kama Osama
Asee mkuu hawa huwa wanarudi Tatzo kubwa n mToTo ndio nafsi inaponiuma ..
 
Duh?
Mkuu tulia kwanza!!
Jifikirie mwenyewe, hao viumbe wapo kutupa furaha, sio maumivu!!
Tatizo lenu mnapenda kupitiliza!! Upendo haununuliwi, Ila penzi linanunulika, yawezekana yeye anajua ulikuwa unamhudumia kwasababu ya penzi alilokuwa anakupa!!! nothing goes for free my friend!!
Sio hivyo arifu mtu anachezea hadi damu yako (mtoto ndicho kinachoniuma )
 
Ninyi ambao uwa mnjishkiza kwa wadada dawa yenu ndo hiyo. Kwao hawakujui, posa hujapelekA.,mahari wala huna mpango? dawa yeenu ndo hiyo tu.
 
Ninyi ambao uwa mnjishkiza kwa wadada dawa yenu ndo hiyo. Kwao hawakujui, posa hujapelekA.,mahari wala huna mpango? dawa yeenu ndo hiyo tu.
Tatzo likukute mkuuu sio usimuliwe

Kwao nlifka na wananitambua .
 
Back
Top Bottom