Job Category 1
Foreign, Commonwealth and Development Office (Programme Roles)
Job Subcategory 1
Foreign, Commonwealth and Development Office (Programme Roles)
Job Description (Roles and Responsibilities) 1
Main purpose of job:
BHC Tanzania is looking for a programme manager to work within the...
Wakuu, Heri ya Mwaka Mpya 2022.
Naamini mmeanza Mwaka salama.
Ebwana eeh, nawapongeza sana wale Wanaume walioweza kuishi bila kuchepuka kabisa.
Mimi niliweza kwa kipindi flani hivi, ila mwanzoni mwa Mwaka Juzi 2020 nikajikuta nazoeana na aliyezaliwa 1995, dah msinicheke wadau huo mwaka tayari...
Mheshiwa mkuu wa Nchi, umemtumbua Mrisho Gambo kimakosa sana.
Na hapa ninaona kama ameonewa sana.
Gambo alikuwa mkuu wa mkoa. Mkuu wa mkoa ndio top say ya mkoa wa Arusha, iweje Mkurugenzi na DC wasimheshimu?
Tofauti zao kubwa ni za kimadaraka. CED na DC ndio walistahili kumsikiliza Mkuu wao wa...
Wakuu, juzi kati tulitoka kiofisi kwenda Mkoa mmoja hivi, kufanya project moja iliyodhaminiwa na Watu wa nje.
Ofisini tulitoka watu kama Watatu, na hiyo kazi ilikuwa inahitaji watu wengi kidogo na ilichukua wiki 4 na zaidi kidogo.
So kuna NGO kwenye huo mkoa ilikuwa imeshaandaa watu ambao...
Wakuu, hili sakata la kuwasomesha wachumba naona linafukuta kwa sasa.
Ninaamini tuko wengi tuliowahi kuwasomesha wachumba/girl friend na bado hatujawaoa sisi.
Tukutane hapa!!
Nitaanza na mimi binafsi.
Nilipokuwa chuo mwaka wa nne - 2006!
Nilikuwa na demu wangu yeye alikuwa anasoma kozi ya...
Nawasalimu sana Wakuu. Straight to the point.
Nimeoa takribani miaka 9 imepita sasa. Nikiri sijawahi kuwa na mgogoro mkuubwa kivile kwenye ndoa yangu. Zaidi ya zile confusion za hapa na pale.
Mke wangu anafanya kazi kwenye moja ya taasisi ya Afya, ya Serikali. Sehemu ambayo alianza kazi, miezi...
Wakuu, hebu tujadiliane kidogo kwenye hili! Kuna mahusiano yasiyokufa kabisa, hata mtu akiingia kwenye ndoa.
Kuna past zisizosahaulika kabisa?
Let Share our Experience.
Nimenotice hichi kitu, kuanzia maofisini hadi mtaani.Kuna mabadiliko makubwa sana kwa wanawake wa kipindi hiki. Regardless ni wazuri sana compared na wakipindi cha nyuma kidogo, ni rahisi sana kunasa.
Mapenzi yamekuwa kitu chepesi sana. Huwa namcheki wife sana dah na yeye ni mwanamke, sijui...
Wakuu, nimetafakari kwa muda kidogo! Sijapata majibu ya moja kwa moja juu ya hili la sisi wakristo kwenye baadhi ya Sala zetu tunatamka "Mungu Mwenye Enzi Yote"... Ikimaanisha Mungu mwenye Mamlaka yote...
Hivi ni kweli Mungu ndio mwenye Mamlaka yote hapa Duniani? Je, shetani hana enzi yoyote...
Wakuu heshima kwenu.
Maisha yetu ya kazi yamejaa visa na mambo mengi sana...
Sikuwahi kudhani kama ningekuja kumwadhibu mwanamke kwa kumpiga in my life, lakini imetokea na mbaya zaidi huyu dada anatake advantage kwenye hili kwasababu tu nimeamua kumwomba msamaha.
Kuna dada kahamishiwa kitengo...
Talking from experience...
Kabla sijaoa nilipata uzoefu kidogo juu ya wanawake ambao miguu yao ni miembamba.
Most of them wako harsh sana haswa kwenye swala la mapenzi, they are very fast to run into conclusion na bado unaweza usimfurahie sana kwenye hayo mapenzi.
Sio wote ila ni ukweli wadada...
Nazungumzia
1. Mji wa Moshi.
2. Mji wa Arusha...
I'm telling you! Hii miji miwili ndiyo yenye baraka zaidi mpaka hiyo milima inaishuhudia.
Type Amen.
Kuibariki zaidi nawe utabarikiwa.
Wakuu,
Naandika hapa kama sehemu ya kuomba ushauri pia.
I have my wife, over recently tumekuwa na mikwaruzano ya hapa na pale chanzo kikiwa ni yeye kwenda kinyume na utaratibu tuliojiwekea, hakuonyesha hata dalili zakuomba msamaha, ilinibidi nitumie nafasi kama Baba kujitenga kidogo nae...
Ha ha ha ha.
Ngoja niseme kitu hapa, nimepitia pitia hapa na nimegundua machache haswaa kuhusu sisi ma underground!
Nimeona hata tupige makelel kiasi gani hatuwezi kuwa maarufu kama walivyo wao.
Mkuu Bitoz na team yako, ujue kelele sana ni fujo.
haya mnatufanyia promotion sisi wageni lengo ni...
Wakuu haya mambo ya DNA najua yatakuwa yamewagusa wanaume wengi!
Nina mwanangu mdogo ndiyo atauanza mwaka wa nne hapa duniani muda sio mrefu ni wakike.
Nina uhakika ni wakwangu kwasababu tunafanana kwa kiasi kikubwa.
Sikuwepo nyumbani kwa takribani siku 6. Nilitoka kikazi kidogo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.