Wakuu!
Nina sarafu za kizamani za watawala mbali mbali...., kabla sijawa nazo niliambiwa ni dili sana. Leo nimezipata (angalia baadhi ya picha), hivi soko lipo wapi? Mwenye idea aje DM tuongee
Ujuaji sitaki
Karibu
Njaa
Wanajamvi naomba msaada:
Nahisi kuna mtu alijaribu ku-login kwenye account mara kwa mara kwa kutumia wrong password.....! Matokeo yake facebook waka-lock account yangu. Sasa ili niweze ku-unlock account hii ni lazima nipokee code kupitia simu ambayo niliiweka kwenye account ya facebook, bahati...
Hello wanajamvi
Naomba ushauri kwenye hili: Nipo kwenye malezi ya mtoto wa miezi 14, kwa bahati mbaya huyu mtoto amekuwa akitumia diapers (pampers) tangu kuzaliwa kwake hadi hivi sasa.
Kwa muda wote huo amekuwa akijisaidia kwenye hizo diapers. Muda ulipofika wa kumfundisha kutumia pot au kukaa...
Hello wanajamvi
Vyuma vimekaza lakini bado tunakomaa na malezi! Natafuta baby car seat, umri ni kuanzia mwaka mmoja.
Najua wengi mmelea na sasa hizo kitu zipo tu stoo zinabwia vumbi. Mwenye nayo anicheki inbox tuongee kama wazazi
Wakuu
Kulikuwa na habari kuwa ukiwa na smart tv unaweza kuangalia channes kadhaa hasa za ndani bure kabisa kwa kutumia antena ya kawaida. Kwa sasa nina smart tv ya sony bravia na hali ipo hivi:-
Nimesearch digital tv na kufanikiwa kuziona channels zote za startime, lakini inayofanya kazi ni ile...
Wanajamvi.....
Nina dharura kidogo, kwa sasa nahitaji gari kwa ajili ya matumizi yangu binafsi...., hela niliyonayo ni milionn 6-7. Gari ninalohitaji liwe mojawapo kati ya haya:- IST, GX110, PREMIO au BREVIS, na VEROSA
Gari iwe na namba C au D...., iwe kwenye ubora! Vyuma vimekaza jamani...
JOB OPPORTUNITY
SUA INCOME GENERATION AND SERVICES COMPANY LTD is a distinct legal entity owned by Sokoine University of Agriculture (SUA). The main objective of the Company is to promote and enhance income generating activities within various production and services units of the University so...
Hello great thinkers
Nilisoma geography siku za nyuma, niliambiwa na mwalimu wangu wa shule ya kata kuwa, kupatwa kwa jua hutokea pale mwezi unapokuwa katikati ya dunia na jua, hii hufanya jua kuzibwa na mwezi kwa kiasi fulani na kutengeneza kitu kama kivuli kwenye uso wa jua. Inapotea hali...
Kuna mtu kaniomba nimsaidie ada, nilipomuomba matokeo yake ya kidato cha nne akanipa namba ya mtihani nikacheki matokeo NECTA. Ila kule hakuna majina, ni namba tu..., je kuna jinsi ya kujua jina la mtahiniwa? ishu ni kuwa simuamini huyu kijana na kwa sasa nipo nje ya nchi.
Msaada please!
JOB OPPORTUNITY FOR MGOLOLE AGRO-PROCESSING COMPANY-LTD
About the Company
Mgolole Agro-processing Company Ltd is an agribusiness company registered in Tanzania for the purpose of farming and food processing. The company owns a number of medium sized farms in the Mgolole area of Morogoro...
Hello wana-jamvi, naombeni mawazo katika hili
Nilinunua kiwanja huko Pugu kinyamwezi, nikajenga kajumba kangu kwa kuunga unga, kwa sababu uwanja wenyewe ni mdogo, shimo la choo (septic tank) nikaamua kujenga kwa mbele ya nyumba (ndani ya uzio). Sasa tatizo ni hili:-
Maeneo yale, water table...
Wakuu, humu JF nilikuwa napata story kuhusu sayari na nyota (solar system). Ilikuwa ngumu kuelewa kuwa jua letu ni mojawapo kati ya mamilion ya nyota (majua) na dunia yetu ni mojawapo ya mabilioni ya sayari (planets).
Kwa kuangalia picha hizi nimepata uelewa mkubwa sana tena kwa urahisi sana...
Alipopewa honorary doctorate basi ikawa initial rasmi Dr. Kikwete mpaka ikawa inaboa......, sasa kapewa honoray professorship huko china. Anzeni kumwita Prof. Kikwete tuone....
Hata maji marefu nae ni Professor, kuna prof. Jay wa mitulinga, kuna Dr. Cheni...., sio mbaya kuwa na Prof. Kikwete...
Hello wanajamvi, google search imeshindwa kunipa jibu ya hii kitu. Nimeanda supermarket leo nimekutana juice ya chungwa ambayo zingine zimeandikwa ''WITH JUICY BITS'' na zingine zimeandikwa ''WITHOUT JUICY BITS'' zote ni note from concentrate and pure (100% orange juice). Naomba kujulishwa...
Wanajamvi....
Nimefanikiwa kufika hapa kwenye mambo ya ujenzi pembezoni mwa jiji...., baada ya kusimama kwa muda sasa nimepata 4.2 milion kwa ajili ya kuezeka. Napenda sana zile bati za rangi zenye migongo midogo ingawa salio ndo hilo bovu. Naomba ushauri kwa haya yafuatayo:-
Je hizo hela...
An insecure shopper who paid $1000 for penis enlarger online thought all of his worries would go away when a well packed parcel arrived. The guy opened it only to find the magnifying glass with just one simple instruction: DO NOT USE IN SUNLIGHT
Hahahah, can you blame the seller? I...
Haya ni baadhi ya majibu ya makonda wa daladala hapa Dar ambayo yamewahi nichekesha sana, weka yako...
Mlokole: "Nyimbo gani mnapiga? Wekeni nyimbo za yesu..
"Konda: "Vunga wewe, Yesu bado hajatoa album..."
Abiria: "Kuna Kiti au unasema panda tu?
"Konda: "We taahira nini,hao wengine...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.