Mimi ni kijana wa makamo umri miaka 32, elimu yangu std 7, kazi mjasiriamali, natafuta mchumba ambae hatiaye awe mke wangu.
Umri 22~27, elimu itapendeza asivuke form 4, dini/kabila lolote, hata akiwa na mtoto ni sawa.
Mwenye yupo tayari karibu PM tuianze safari.
Nauliza hvyo kwa sababu mim ni muuza ugoro maarufu ila ule wa kuagiza sitengenezi mwenyewe.
Kuna mshindani mwenzangu na yeye tunachukulia sehem moja (mkoani) ila ugoro wake unakuwa mkali sana mim wa kawaida ilihali tunachukulia sehem moja, sasa imechangiza mim kupoteza wateja wangu.
Swali ni...
Nataka niingie poli kupigisha kazi. Bajeti yangu ni mil 1.5. Msaada wenu wa mawazo wakuu. Nichukue chain saw aina gan ambayo ni strong kwa bajet yangu hiyo?
Ni kampuni ya LG. Kuna maandishi yanasomeka lhd657 january 2023. Nimeifunga ndani kwangu cha ajabu inazidiwa mkito na hizi sabufa za kichina spiano
Nimeinunua 700k. Pesa yangu inaniuma sana kwa hiki nilichokutana nacho
Nimeagiza mwanza sijafata mwenyewe. Je, hii sio fake kweli wakuu?
Nilikiwa nashare mfululizo taarifa kwenye magroups ndio likatokea tatizo Hilo,
Nimejaribu kufuata process zote kwa kureniew password lakini imegoma kabisa,
Nifanuyeje wakuu, ama ndio tayari sitofunguliwa Tena?
Pia nimejaribu kifungua açount nyngine mpya nayo wamelock vile vile
Mfano anakitabia cha kupika na kula kivyake, nikirudi toka mihangaikoni yeye anapakua na kubwaga mezani na kudai hali ameshiba yani nile mwenyewe.
Ukimwambia sogea japo unisindikize kidogo msimamo wake unakuwa ule ule 'sili sijisikii'
Wakuu nifanyeje? Nimeshasema sana kuhusu tabia hii lakini...
Hedhi anakaa siku 3 hadi 4,
Mara nyingi kwenye siku anaingia kati ya tarehe 26, 27 na 28 kila mwezi.
Je, kwenye mzunguko huu hapana tatizo?,
je mzunguko huu ni wa siku ngapi?
Je, kwenye mzunguko huu siku zake za hatari ni zipi?
Mfano nimedepost usd 50 kwenye crypto wallet nikanunua ethereum coins za thaman hiyo nikazi-hold,.. baadae ethereum coin zikashuka sana thaman sokoni zile usd 50 zikapukutika. Je, wallet yangu itasoma negative (- 50) ili soko ilikipanda zipande tena ama wallet itasoma zero kabisa yani hamna...
Wakuu tafadhali mwenye kujua ABC about shiba coin namna ya kuji-regist; kununua...nimevutiwa na aina hii ya uwekezaji wa pesa ya kidigtal
Mwenye kujua steps by steps tafathali anielekeze, niko tayari hata nimpoze ya voucher kwa usumbufu na muda atakaokuwa amepoteza.
Nawasilisha.
Kama heading inavyosomeka hapo juu wadau naombeni msaada , deck inasoma "no disk" CD zote nimejaribu nimachemka Ila kwa jirani zinafanyakazi kama kawaida.
Kwakweli nyumba zina mengi!
Kuna jirani hapa analalamika mumewe ana wiki mbili hali nyumbani na hata akitengewa chakula hali! Hiyo ni baada ya mke kuwa anahemea mwenyewe (anabangaiza vihela gengeni) sababu mbishe za msela hazizai matunda haachi matumizi!
Hivyo mwanaume anaona kuliko kulishwa...
mangekimambi=> Naomba nichukue nafasi hii kuwashukuru watanzania woooote mliojitokeza ku-Protest nchini Marekani, Germany, Sweden, South Africa and United Kingdom. Kwa huo huo uchache wenu mmeleta bonge la impact. .
Nawashukuru sana. .
.
Nilikwenda D.C bila kujua kama atatokea mtu hata mmoja...
Nimechungulia page ya marehem IvanDon, cha kushangaza kuna mtu anaitumia amepost picha ....wabongo wavamia page wamwaga mapovu!
Swali; je, ni kweli yawezekana ule uvumi kuwa hajafa ikawa ni kweli sasa imeanza kujidhihilisha?
!!) Kama ameamua kuitumia ndg au moja ya wana familia, kwanini...
Jana kwa Mara ya kwanza bill gate amefungua ukurasa wa instagram akiwa tz,
Atupia picha ya wali maharage akijumuika chakula na wanafunzi wa shule ya msingi muheza.
Watu wengi maarufu duniani, mtandao wa Instagram, wa'comment ktk ukurasa wake kumkaribisha...
Kwakweli nampa hongera...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.