Hao jamaa usiwaamini, tena hao waliomtapeli jamaa yangu walikuwa na mahema kabisa wakafungua ofisi za muda kwenye taasisi nyingi tu za serikali hapa Dar, yaani walikuwa smart sana na zile ramani za viwanja ila mwisho wa siku walimpiga jamaa yangu
Alionyeshwa kabisa na ramani walikuwa nazo wakaenda hadi site akakiona akachagua kabisa na kukilipia, kumbe huku nyuma wakakiuza tena, alivyofuatilia wanampa majibu ya hovyo tu
Barabara ya Dar es Salaam-Lindi imekatika eneo la somanga na kukata mawasilino kabisa kati ya Dar na Lindi hivyo hamna gari lolote la kwenda Lindi au Kwenda Dar. Kwasasa abilia na wote wenye magari tupo hapa tumekwama tangu Jana. Tunaomba Tanroads walishughurikie haraka hili.
====
Serikali...
Barabara ya Dar es Salaam-Lindi imekatika eneo la somanga na kukata mawasilino kabisa kati ya Dar na Lindi hivyo hamna gari lolote la kwenda Lindi au Kwenda Dar. Kwasasa abilia na wote wenye magari tupo hapa tumekwama tangu Jana. Tunaomba Tanroads walishughurikie haraka hili.
Yaani dada uko vzr sana unajielewa kwelikweli natamani ungekuwa make wangu aise, sikujua kuwa bado wanawake wenye akili mpo bado ila ni nyie wa zamani kidogo sio hivi vibinti vya 90. Hongera sana my dear
Wandugu mi sielewi. Ni muda Sasa tangu nianze kuona hizi picha yaani saizi hata kufungua mbele za watu Facebook naogopa maana lazima nizikute picha za ngono. Sijui wengine mnaziona pia daaa!
Kuna magonjwa ambayo kwa hapa Tanzania ukiyapata ngumu sana kutibiwa nayo ni:
1. Saratani (Cancer)
2. Vidonda vya tumbo
3. Kisukari
Ongezeeni mengine hapo
wapendwa,
Tafadhali Kama unajua kuhusu mwanamke yeyote anayepambana na SARATANI YA MATITI kwa hatua yoyote tafadhali mshauri awasiliane na Dorothy@africacancerfoundation.org kabla ya tarehe 7 Machi, gharama zote za matibabu ni bure.
Tafadhali usiuweke kwako ujumbe huu, SHARE AU TAMBIE kwenye...
Pole sana mkuu, naijua vzr cancer ya matiti ilivyomteketeza dada yangu aise ni huzuni sana unashuhudia inavyomla Hadi dk ya mwisho kabisa. Mi nashauri kama wazazi wako wapo mpeleke huko kwanza ili machungu yapungue kwako wewe na kwa watoto
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.