Bob Manson
JF-Expert Member
- May 16, 2021
- 577
- 1,005
- Thread starter
- #21
Alafu kuna pale kigamboni napo ni kelele mwanzo mwisho ππMbezi mwisho kule kila kitu ni balaaa
Alafu kuna pale kigamboni napo ni kelele mwanzo mwisho ππMbezi mwisho kule kila kitu ni balaaa
HIzo speaker ziko maeneo ya wanaaouza matunda/magazeti, hao ndiyo wamepewa kazi ya kuzi-charge, kuziweka mapema asubuhi na kuzitoa jua linapozama. Wanakula commission kwa siku.Alafu wanayatosa barabarani asubuhi mpaka jioni na hayazimi, yani ni fujo mwanzo mwisho π
Kumbe speaker zenyewe zimekuwa dili kwa wauza nyanya ππHIzo speaker ziko maeneo ya wanaaouza matunda/magazeti, hao ndiyo wamepewa kazi ya kuzi-charge, kuziweka mapema asubuhi na kuzitoa jua linapozama. Wanakula commission kwa siku.
Usiwasahau na wale wanao sajili lain za simu, nao wana midundo yao ya maanaHuku viwanja, pale simu za mikopo.....mara paap chiiinga wa dunia.
Tutafute hela tuhame uswazi
Ni bora anunue kwa wakazi wa huko harafu akipime baadae apate hati, haya makampuni yamemuumiza sana jamaa yanguHapo umenisanua, kuna ndugu yangu yupo mbioni kununua hivyo viwanja vya matangazo, itabidi nimuelekeze awe makini asije akapigwa.
Umepita lini Mbezi Mwisho bageshi? ππππΏββοΈππΏββοΈππΏββοΈKuna pale mbezi mwisho arooooo ni balaa
kwamba ana gubu LA wivu na hela hana?!Ukishanunua kimoja kila tangazo litakuvutia ili uongeze kingine
Sijasema hivyo mimikwamba ana gubu LA wivu na hela hana?!
Halafu hakuna kusikilizana....kwenye vispika wamezidi wamevuka lengo la kutangaza ni kelele
π€£π€£π€£ we jamaa ni kichwa, mpaka nukta emeimezaUmepita lini Mbezi Mwisho bageshi? ππππΏββοΈππΏββοΈππΏββοΈ
Yeah! Viwanja Kibaha na Kiluvya. Bei kuanzia laki tano mpaka 1.5 million. Unalipa pole pole. Huhitaji wadhamini wala nini. Bei sawa na bure! Yanakera hatari!
Pia nilikuwa sijui kwamba hao wauza viwanja wengine ni matapeli. Nimefahamu humu. Ni vyema kuwa makini maana utapeli umeshika kasi hapa bongoHuu uzi kuna watu umewaokoa kwenye utaperi,, big up mkuu
Maisha magumu sana sijuagi hata wanauza nini sababu ya kelele hata wateja hawasogeagi mitaa hiyoHalafu hakuna kusikilizana....
Huyu anatangaza hiki mwingine anatangaza kile...Ni vurugu
Ndo njia yangu hiyo, kuna sehemu wamejazana wa kusajili line, viwanja nk kule njia ya kutokea kwenda kinyerezi zinakopaki daladala za gongo la mbotoUmepita lini Mbezi Mwisho bageshi? ππππΏββοΈππΏββοΈππΏββοΈ
Yeah! Viwanja Kibaha na Kiluvya. Bei kuanzia laki tano mpaka 1.5 million. Unalipa pole pole. Huhitaji wadhamini wala nini. Bei sawa na bure! Yanakera hatari!
ππ Hizo speaker sijui chaji wanaweka sangapi maana mda wote sauti ipo juu"Viwanja Viwanja Viwanja ππππ
Kampuni ya Mbezi Kiluvya Company Ltd inawatangazia...."
hao wapo Ubungo External mvua ikinyesha speaker wanavalisha mfuko.
Kuna waliopitia mtaa mmoja na gari wanatangaza kampuni ya mchungaji gani sijui itauza viwanja. Wanaongea kiswahili sana, wanasema mlete mwenzio upate hela ya soda. Wanadai ukinunua viwanja viwili unapewa kimoja bure (vilaza kweli hawa). Wanasema unapelekwa na coaster ina full AC. Alafu wanadai mnaandikishana kwa serikali za mitaa (sheria ya ardhi haiutambui huu utaratibu wa kienyeji).
Matangazo ya haya makampuni uchwara background music maneno ni Huu ni mwaka wangu, Nashusha nyavu wa Christina Shusho, Bora Niinjoy tilintintinti...
Sijapita mitaa hiyo nina kama mwaka na zaidi, ila hii nchi tunateseka sana! π€£Kuna pale mbezi mwisho arooooo ni balaa
Ntintintinti πππ"Viwanja Viwanja Viwanja ππππ
Kampuni ya Mbezi Kiluvya Company Ltd inawatangazia...."
hao wapo Ubungo External mvua ikinyesha speaker wanavalisha mfuko.
Kuna waliopitia mtaa mmoja na gari wanatangaza kampuni ya mchungaji gani sijui itauza viwanja. Wanaongea kiswahili sana, wanasema mlete mwenzio upate hela ya soda. Wanadai ukinunua viwanja viwili unapewa kimoja bure (vilaza kweli hawa). Wanasema unapelekwa na coaster ina full AC. Alafu wanadai mnaandikishana kwa serikali za mitaa (sheria ya ardhi haiutambui huu utaratibu wa kienyeji).
Matangazo ya haya makampuni uchwara background music maneno ni Huu ni mwaka wangu, Nashusha nyavu wa Christina Shusho, Bora Niinjoy tilintintinti...