Search results

  1. Gily Gru

    Afrika Tuamke -Remmy Ongala

    Remmy Ongala Wimbo Wema👇👇 https://youtu.be/Cb1zTXHT324?si=HY9qWMpUL0M7wpMm Nimekaa nasikiliza nyimbo ya Remmy Ongala huku nikitafakari mienendo ya Siasa za Africa. Tuna safari ndefu sana naamini kabisa adui wa Afrika ni waafrika wenyewe. Nakulilia Afrika
  2. Gily Gru

    Nimeibiwa ID identity

    samtz1 analeta ukakasi wa kufanya tuonekane ID moja aache kuiga iga. Anatumia picha zangu kutafuta ma kuniibiia mademu zangu. Moderator Active mnaruhusuje watu kuiga picha zangu. Why? why? why? My name is Gily. The only super villain and master of Minions..
  3. Gily Gru

    Naota navamiwa na majambazi au wachawi

    Wasalaam Usiku wa kuamkia leo niliota nimevamiwa na majambazi, nikaamka kuangalia saa ni saa tisa na dakika nne usiku. Nikatoka sebuleni nikaona mtu ananifanyia ssssssssssssshhhh kuashiria nikae kimya nisitoe sauti cha ajabu ila huyu mtu anafanana na Steven Seagal (sura yake) ghafla ile sura...
  4. Gily Gru

    Kuolewa tena na mwenza uliyemtaliki

    Wasalaam wana JF Unakuta mwanaume alikuwa na mke na wanaishi pamoja pika pakua. Ikatokea kuhitilafiana na wakachukua maamuzi ya kutalikiana kila mtu aende kumi zake. Baada ya kila mmoja kusukuma gurudumu la mahusiano na watu wengine huko waliko mwisho mahusiano yakatika kikomo pia. Unakuta...
  5. Gily Gru

    Kuvumiliana JF

    Za usiku wapendwa Nimegundua humu ndani watu hawana uvumilivu kabisa hususani na hizi ban zinazoendelea😄 Antonnia kapigwa ban hata sijategemea
  6. Gily Gru

    Maombi yenu tafadhali

    Habari za asubuhi ndugu zangu wa JF, Leo asubuhi tarehe 29/03 ni siku ya furaha kwangu kwa sababu kuu mbili. Kwanza kabisa ni siku ya kuzaliwa mke wangu mpendwa, ametimiza miaka 29🙂. Namtakia kheri ya kuzaliwa na ningependa kusheherekea nanyi ndugu zangu. Pili, Leo hii tuko hospital magomeni...
  7. Gily Gru

    Hili jani lina kazi gani?

    Habari za mchana wandugu, Nyumbani kwangu kumeota mmea flani hivi. Kuna mshikaji alikuja home kunisabahai akaniambia linaitwa Kongwa huko Zanzibar. Akasema huko kwao Tanga linaitwa msharifu. Anadai kuwa huu mmea unatumika kuua nguvu za uchawi na waganga wengi sana. Sikutaka kumuliza maswali...
  8. Gily Gru

    Inauzwa : Kifaa cha guiter aka guiter tuner

    Nauza kifaa cha guitar kwa shilling elfu 30, kwa watumiaji wa guiter mtakuwa mnajua kinatumikaje. .
  9. Gily Gru

    Inauzwa: Camera cover ndani ya maji

    Nauza camera cover kwa ajili ya kuzuia mvua au camera kuingia maji. unaweza shoot hata ukiwa ndani ya maji, mazingira ya maji au mvua ikiwa inanyesha. . Bei elfu 50 sawa na bure. .
  10. Gily Gru

    Nauza Bata Bukini wenye miezi 8 wakiwa wamepatiwa chanjo zote

    Nauza bata maji wako 8 kwa bei ya laki moja ya kitanzania (Tsh 100,000/-). Bata wana miezi mitano, mmoja ana miezi nane hivi. . Bei nauza kama bure haipungui hata senti moja.
  11. Gily Gru

    INAUZWA Nauza Mastervolt

    Nauza Mastervolt Part no: 77031500 Type AC 1X6A Bei: 450,000/- Kwa kweli sijui Ina kazi gani sema imekuja na mzigo wa mtumba. Nim jaribu kucheki mtandaoni nijue Ina kazi gani ila bado sijajua.
  12. Gily Gru

    Mingurumo au milipuko usiku huu Dar es Salaam

    Niko Manzese nasikia milipuko muda mrefu mnaisikia au masikio yangu tu? mwanzo nilijua radi ila bado inaendelea kuna nini?
  13. Gily Gru

    Maana ya maneno niliyoambiwa Mzee Afande

    Kuna kipindi wakati niko Rombo nakumbuka nilienda kumuoji mzee mmoja anaitwa mzee Afande kuhusu maswala ya zamani. Yule mzee alinambia kuwa kat ka maisha yake amemwona babu yangu (nami namfahamu), baba yake babu yangu (alifariki 1983 simfahamu) na babu yake baba yake babu yangu (simfahamu). Na...
  14. Gily Gru

    Panya Road achomwa moto Manzese

    Habari za Jioni, Kuna jambo la kusikitisha sana ambalo limenifanya niwaze sana mda huu. Jioni hii saa moja kuna kijana ambaye ni panya road amechomwa moto barabara ya kutokea sweet corner kuelekea Manzese darajani (karibu na machine za kusaga). Kijana huyo ambaye alimpora mtu kwa kutumia silaha...
  15. Gily Gru

    INAUZWA Nauza Player ina tumia santuri zote aina tatu

    Nauza player ya santuri bei laki moja tasilimu Ina bluetooth Ina play 45, 33 na 78 Portable and easy to carry
  16. Gily Gru

    SOLD: Nauza casterboard, sio skateboard

    Nauza Caster Board, kwa shilling elfu 50. Ni used ya mtumba napatikana Dar. Kwa mawasiliano piga 0714829688. .
  17. Gily Gru

    Nauza : Canon Pixma MX410

    Nauza kwa matumizi ya kiofisi Canon Pixma MX410 Sifa zake someni online na kama una maswali wajuzi watayajibu hapa Inauzwa 200,000/- kama unahitaji mawasiliano ni 0714829688. .
  18. Gily Gru

    Ufugaji wa Vunjajungu (pamoja na wadudu wengine) na masoko yake

    Jumapili njema. Huu uzi umelenga kutoa fursa kwa wafugaji kuhusu ufugaji wa vunjajungu (PRAYING MANTIS) na masoko yake. Pia unajumuisha ufugaji wa wadudu wengine ambao pia hutumika kulisha wanyama. Sasa kupitia uzi huu tutahabarishana kuhusu masoko yake duniani ila mie nitaambatanisha soko la...
  19. Gily Gru

    Mbagala Vs Gongo la Mboto

    Habari za jioni Kuna kaubishani kametokea site, sasa vijana wameshiba wanabishana kati ya Mbagala na Gongo la Mboto ipi kubwa zaidi? Kwa anayejua ningependa kufahamu Thank you
  20. Gily Gru

    Plot4Sale Shamba linauzwa Kibaha Mnemela Kibaoni

    Habari wadau, Kuna mama mmoja anauza eneo kibaha mnemela umbali kilometer saba kutoka hospital ya tumbi. Eneo nimeenda kuliangalia leo huko, maeneo ya kibaoni, mbele ya Boko Mnemela. Eneo ni tambarare na lina ekari mbili kasoro kidogo kutokana na kuweka njia kidogo pembeni ukingoni mwa eneo...
Back
Top Bottom