Search results

  1. westandtogether

    Mtu wa proposal

    Habari wakuu! Naomba mtu mwenye ujuzi wa kuandika proposal yoyote kwenye nyanja tofauti anichek Kwa namba 0683263330/0711633656
  2. westandtogether

    Nafasi ya kujitolea

    Habari wakuu! Nimesomea electrical engineering Naomba msaada Ni kampuni zipi naweza pata nafasi ya kujitolea kwa technician au engineer?
  3. westandtogether

    Maswali ya interview ya Utumishi huwa yanatungwa kwa namna ipi?

    Habari wakuu, Naomba kufahamu kwa nafasi za kazi ambapo kada tofauti mnaitwa kuomba yaani kama field za ( finance, planning, economic, engineering) mnaomba kazi moja. Maswali ya interview huwa yanatungwa kwa namna ipi?
  4. westandtogether

    Nahitaji bank statement

    Habar wadau, Poleni na majukumu km kichwa Cha habar kisemavyo hapo juu, nahitaji mtu wa kunidhamini bank statement kwaajili ya matumiz ya safari ya nje. Ambapo tutakubaliana atanitoza kiasi gani? Kwa maelezo nicheki 0683263330
  5. westandtogether

    Plot4Rent Eneo linapangishwa

    Habari wakuu, Eneo hili linapangishwa kwa matumizi ya bar(pub), groceries, mgahawa na biashara nyingine kama ulionavyo lipo maeneo ya Tabata(DSM), Kodi kwa mwezi ni laki mbili(200,000/=) Kwa mawasiliano nicheki 0683263330
  6. westandtogether

    Nahitaji mkopo wa haraka

    Habari wakuu? Wadau poleni na ujenz wa kujenga taifa hili, nakuja mbele yenu kuomba msaada kwa yeyote anaefahamu wap ntapata mkopo wa dharula kiasi Cha Tshs. Milioni mbili(2,000,000/=) kwa dhamana ya kiwanja changu chenye ukubwa was ekari moja kipo maeneo ya Mwasonga (Kigamboni). Kama...
  7. westandtogether

    Microfinance matapeli

    Habari wanajf? Kama kichwa kinavyosomeka hapo juu, Kuna kikampuni fulan jina ***** microfinance kinajihusisha na kutoa mikopo midogo mtaani Tena kwa dhamana ya vitu vya ndani kama vifaa vya electronics simu, Tv, Pc nk. Hivi karibuni nilienda kuazima pesa kama laki 2 wakasema wanatoa riba ya...
  8. westandtogether

    Naomba ushauri kuhusu GPA hii

    Habari wakuu, Naomba ushauri kwa mdogo wangu ana diploma ya electrical engineering GPA 2.9 anahitaji kuendelea na degree afanyaje kupata chuo kwa kozi hiyo?
  9. westandtogether

    Nahitaji mtu wa kusajili kampuni

    Habari wanaJF? Polen na kazi ya kujenga taifa letu, lengo kuja kwenu ni kuomba msaada kwa mtu au kampuni ambayo wanajihusisha na shughuli za usajili kampuni brela, nahitaji mtu ambae atanifanyia process za usajili wa kampuni kuanzia company name registration untill taratibu ya kufanya malipo...
  10. westandtogether

    Natafuta ajira za viwandani

    Habari wakuu, Naomba msaada kujua viwanda vinavyotoa ajira na kibarua kwa Dar na Pwani Viwanda vyovyote vile kwa anaejua anisaidie data
  11. westandtogether

    Electrical technician natafuta kazi

    Habari wanajf, Mimi ni kijani umri miaka 26 mkazi wa Dar, Nimesomea diploma ktk course ya electrical and electronics engineering Natafuta kazi ya muda au kudumu kwa sehemu yoyote kwa taasisi, kampuni , kiwandani n.k Naomba tusaidiane wakuu.ahsante Kwa mawasiliano; 0711633656/0683263330
  12. westandtogether

    Business proposal

    Habari wanajf, Nahitaji mtaalamu mwenye uelewa na uwezo wa kuandika business proposal kwenda Kwenye kampuni au taasisi binafsi au serikali, Anicheki kuna kazi tufanye kwa makubaliano. Kwa mawasiliano 0711633656/ 0683263330
  13. westandtogether

    Business proposal

    Habari wanajf, Nahitaji mtaalamu mwenye uelewa na uwezo wa kuandika business proposal kwenda kwenye kampuni au taasisi binafsi au serikali. Anicheki kuna kazi nahitaji tufanye kwa makubaliano Kwa mawasiliano 0711633656/0683263330
  14. westandtogether

    Tunatoa huduma ya Tuition kwa wanafunzi wa O Level na A Level

    Habari wanaJF, Tuition kwa wanafunzi wa sekondari O'level na A'level, nafundisha kwa wanafunzi watakaohitaji huduma Majumbani kwao na centre pia. Masomo yanayofundishwa ni: 1. Physics (O'level na a'level) 2. Chemistry (O'level na a'level) 3. Mathematics (O'level na a'level) Masomo haya...
Back
Top Bottom