Search results

  1. Wilhelm Johnny

    Suala la dollar limekuaje?

    Wakuu mmeshagundua kwamba Equity bank wamesitisha manunuzi online
  2. Wilhelm Johnny

    Jiji la Tanga msaada

    Wakuu niko Tanga hapa nataka kufungua biashara hapa maeneo nayopendekeza ni barabara ya 9, 10, 11, 12, na 13 yawe jirani sana na stand nilikua naomba kujuzwa bei au pengine msaada wa kupata frame yenyewe wakuu
  3. Wilhelm Johnny

    Ndugu zangu tusalini sana kama ni kuloga mjizindike sana

    Ninapatikana dodoma hapa katika pitapita zangu nikakutana na hichi kisa kuna bwana mmoja anafanya kazi Wizara ya ujenzi. Huyu bwana sijapata jina lake ila nitapeleleza nililete hapa kama Wana ndugu wamsaidie huyu mshikaji jamaa anajenga nyuma uzunguni wanaita mlima wa usalama. Huyu bwana...
  4. Wilhelm Johnny

    Haya maisha yana mambo mengi

    Niko Dodoma hapa mshikaji kaniita kwa kibar fulani kipo kina guest eeeh bhna eeh nikamwona mwigizaji wa bongo movie hapa ila ni wale wa kale kidogo kapauka hapa anakata viuno nikamtia beer 2 akaanza kuropoka alikua na kina AY. Ngwea na kina Mr Blue Yaani na utelezi alitaka kunipa mshikaji...
  5. Wilhelm Johnny

    Msaada wa kisheria, nataka kusajili jina la Biashara

    Wakuu Mimi binafsi ndio kwanza najitafuta na kila anayefanya kazi ana ndoto za kuwa mtu mkubwa mbeleni huko ndivyo ilivyo na kwangu. Mimi nataka nisajili jina la biashara mbeleni kuwa hata kampuni Mungu akijalia ila nataka nitumie TIN number ya Mama yangu mimi nisimame kama mrithi. Je, kuna...
  6. Wilhelm Johnny

    IOS 17 USIJARIBU BETA HII YA KWANZA

    iOS 17 beta ina tatizo UPANDE wa sms sms hazitoki
  7. Wilhelm Johnny

    Hii risiti, kodi ni kuanzia bei gani?

    Wakuu hii risit ya machine kodi ni kuanzia bei gani maana mimi nadai risit kila uchao ila hii ya leo naona sifuri kwenye kodi Hii ni laki imeonyesha kodi chini ya 10000 serikali haikati asilimia 18
  8. Wilhelm Johnny

    Asali inatumikaje kwenye mapenzi?

    Wakazi wa Dar es Salaam mnapilika pilika kweli. Embu tujuzeni hiyo asali inatumika vipi kwenye kunyanduana maana manzi anaeza kuja na asali gheto nikaishia kulamba na mkate nikaaibika.
  9. Wilhelm Johnny

    Hiki kiti kina nini?

    Naona hiki kiti huko TikTok wamekifanyia mjadala na kukihusisha na ufunuo kwa Biblia, kina maana gani?
  10. Wilhelm Johnny

    Tanzania donor country huku wanafunzi Dodoma wakichota maji taka!

    Wakuu mimi sio mtaalamu sana wa mambo ya siasa ila nilichokiona asubuhi wakati naelekea kwenye mihangaiko yangu hapa jijini Dodoma mitaa ya Chang’ombe B, wanafunzi niliowaona ni wa Shule ya Msingi Chang’ombe B wakiwa wanachota maji ya mvua yaliyotuama barabarani yanatakribani wiki moja au mbili...
  11. Wilhelm Johnny

    Polisi Dodoma kuvaa kiraia, kuendesha pikipiki za kiraia na kuvizia bodaboda ni njaa au?

    Wakuu ni njaa kali sana au ni nini nimeshuhudia polisi Dodoma wamevaa kiraia wanaendesha pikipiki za kiraia wanavizia bodaboda na kuchukua rushwa nimewaona leo hapa Area C nikashangaa ndio utaratibu wa kazi ulivyo sasa hivi!
  12. Wilhelm Johnny

    Mafundi simu upande wa software

    Wakuu mimi natumia Boksi ya UFI kwa kweli pamoja na sifa mbovu za hili boksi nimefanikiwa kufufua simu kadhaa na kuua simu 2 nikijaribu kutoa MDM nikiwa najifunza na kuamsha simu zilizokufa animefanikiwa chache tena zile brand kubwa kwa kuwa sina wateja wengi tatizo ni kwa hizi simu zetu tecno...
  13. Wilhelm Johnny

    Nawezaje kupata banner za makampuni ya kutengeneza simu?

    Wakuu nitapataje zile banner zinatolewa na makampuni ya simu kama tecno Samsung na Infinix.
  14. Wilhelm Johnny

    Ufi box network error

    [INTERNET] Network Error: A connection attempt failed because the connected party did not properly respond after a period of time, or established connection failed because connected host has failed to respond. Wakuu nani akikutana na hilo tatizo na alitatuaj Wakuu maana nishapata presha hapa
  15. Wilhelm Johnny

    Msaada juu ya Jbox

    Wakuu msaada kuna aliyewahi kutumia j box ku bypass iCloud vipi ufanisi wake kabla sijanunua wakuu
  16. Wilhelm Johnny

    Ndugu zangu wa Dodoma naomba mualiko Christmas hii

    Ndugu zangu kulingana na huu ukata wa maisha nimeshindwa kuambatana na ndugu zangu kuelekea mgombani kula sikukuu naombeni nyinyi mlioko Dodoma mnialike nije kula ubwabwa.
  17. Wilhelm Johnny

    Vipuri feki upande wa simu ni vingi nchini

    Wakuu mimi ni fundi simu, changamoto niliyoona kwa spear za simu bongo feki ni nyingi sana na hiyo nimegundua baada ya kuanza kuagiza baadhi ya spears AliExpress. Nikagundua bongo feki nyingi, inafanya wateja wapoteze uaminifu na sisi maana anaona kama umefanya kusudi kumbe la hasha ni soko...
  18. Wilhelm Johnny

    Vioo vya OEM vya iPhone

    Wakuu katika kutafuta kioo cha iPhone xr online nikakutana na hii Aina mpya ya kioo inaitwa OEM Na bei yake imechangamka kidogo kuliko OLED. Naombeni msaada wa aina ya hicho kioo kabla sijanunua.
  19. Wilhelm Johnny

    Window gani nzuri kwa ajili ya fundi simu upande wa software?

    Wakuu naomba kujuzwa kati ya window 7 na 10 ipi ni nzuri kwa ufundi simu upande wa software ninazo box na sio crack
Back
Top Bottom