Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Habari za asubuhi wanajukwaa. Mimi nimpenzi wa kusoma story,Naombeni msaada kwenu natafuta story ya kusoma humu JF weekend hii. kiufupi sina appointment yoyote na nilitegemea waandishi wangu...
7 Reactions
101 Replies
4K Views
Umri wangu ni miaka 45, Hali yangu ya kindoa ni mtalaka, watoto wanne, Kila mmoja na mama yake, na watoto wote wako kwa mama zao. Kazi nafanya, Hela napata, pombe nakunywa. Mambo ya mabebzi labda...
37 Reactions
109 Replies
2K Views
Uzi huu ni maalum kwa wale wapendao kupeana likes. Hapa comment chochote kasoro lugha chafu utapata like yako saaafii! Karibuni wadau.
927 Reactions
1M Replies
40M Views
Ndugu zangu , Naitwa BOAZ SIMON BIGARAGU Niko iringa kwa sasa naomba kushare ujuzi wangu kwenu juu ya biashara ninayoifanya ya kuuza mifumo simamizi ya uendeshaji wa shule. Nina mifumo ya...
1 Reactions
1 Replies
25 Views
Kama unatumia sana youtube utakuwa umekutana na matangazo ya mikopo mtandao. Mimi sikuwa nayazingatia mpaka yakaanza kuwa ya ajabu ajabu kama hivi; Basi nikaamua kufuatilia kidogo, nikatafuta...
8 Reactions
20 Replies
491 Views
Mimi ni kijana nina miaka 37, nimeoa ndoa yangu ina miaka 12 sasa, kuna kipindi nilipata mwanamke mwingine, niliondoka na kwenda kuishi naye, kweli nilimuacha mke wangu na watoto wawili na sikuwa...
13 Reactions
61 Replies
747 Views
Being an enemy of the United States can be dangerous, but being a friend is fatal(Henry Kissinger) May 6, 2024 In the case of today’s European economies the fatality, the “Kissinger factor,”...
2 Reactions
9 Replies
291 Views
Hivi ndugu zangu haya mawazo viongozi wetu huwa wanayaokota wapi? Badala ya kufikiria jinsi wananchi watapata gesi kwa bei nafuu na gesi iwafikie watu wengi zaidi yeye anawaza kuweka tozo na luku...
11 Reactions
27 Replies
658 Views
Naomba kujua sample ya maswali ya written ya afisa Ustawi wa jamii daraja la pili Nimeitwa interview trh 12 mwezi huu na usaili Ni wa online
1 Reactions
3 Replies
111 Views
Habarini, Katika harakati za kutafuta mkate wa kila siku, unaweza jikuta unafanya kazi ofisi moja na mdada mrembo, she is young, hana mtoto, hajaolewa, unafanya nae kazi ofisi moja, unarusha...
17 Reactions
104 Replies
2K Views

FORUM STATS

Threads
1,852,431
Posts
49,604,042
Back
Top Bottom