Badala ya kupambana gesi ishuke, yeye anataka gesi iwe kama Luku

kimsboy

JF-Expert Member
Oct 17, 2016
9,080
18,172
Hivi ndugu zangu haya mawazo viongozi wetu huwa wanayaokota wapi?

Badala ya kufikiria jinsi wananchi watapata gesi kwa bei nafuu na gesi iwafikie watu wengi zaidi yeye anawaza kuweka tozo na luku kwenye mtungi

Yaani kamtungi kanafungwa luku unanunua gesi ya elfu 10 hela ikikata hiyo siku hupiki.

Sijawahi kusikia akija na mawazo ya kushusha Gharama ya gesi ili watu huko vijijini waachane na mikaa na kuni, sijawahi kumskia.

Tuna rais anayefikiria kuwakamua wananchi wake tu, tuna rais asiye na uchungu na nchi hii kabisa...Au ni kwasababu Rostam na Abdul wana miradi ya gesi?

Eti alipewa tuzo ya kinara wa nishati safi Tanzania?Kwa lipi?Kafanya lipi?Kaingia kakuta mtungi wa kilo 6 ni 17000 kujaza mwaka 2021 leo mtungi ni elfu 25 kujaza halafu anapewa tuzo

Takwimu za wanaopikia na gesi ni wachache sana bado 95 ya tz wanatumia kuni na mikaa misitu inakwisha,uoto unakwisha, watu wanazidi kuumizwa na kupikia na makuni tu halafu rais anasimama kuongea mambo ya luku kwenye gesi, means ataweka na tozo huko??

Tuna rais asiyejali kabisa!!!Tuna rais anayejifikiria yeye tu?Ni lipi amewahi kulifanya kama mkuu wa nchi watu wa chini wakanufaika?Toka ameingia watz wanazidi kuumizwa, yeye hajali wala nini?Tuna bahati mbaya kama taifa kuwa na rais kama huyu mtu asiyejali wala kuwa na huruma!!

Mimi binafsi sioni anachofanya!!Mfumuko wa bei unatisha mafuta ndo usiseme nauli ndo usiseme!!Halafu hajali wala nini walaa hashtuki ndo kwanza safari za kwenda nje zinaongezeka!!Huwa najiuliza kwani hana washauri?Hawamuambii?Hivi katika hali ya kawaida unaweza kurun nchi hivi? Sijawahi kuona ndugu zangu,yaani nchi imekua haina tofauti na kuwa haina rais kabisa maana hamna anachofanya kinaonekana watu wanaumia,watu wanateseka halafu viongozi wametia pamba masikioni!!Niseme tu hapa hapa kuwa hatoshi, hatufai, na ana uwezo mdogo sana!!

Sitaki kuamini kuna watu wanasema anaupiga mwingi ukiwauliza kwa lipi wanakosa majibu

Shame!!!
 
Hivi ndugu zangu haya mawazo viongozi wetu huwa wanayaokota wapi?

Badala ya kufikiria jinsi wananchi watapata gesi kwa bei nafuu na gesi iwafikie watu wengi zaidi yeye anawaza kuweka tozo na luku kwenye mtungi

Yaani kamtungi kanafungwa luku unanunua gesi ya elfu 10 hela ikikata hiyo siku hupiki.

Sijawahi kusikia akija na mawazo ya kushusha Gharama ya gesi ili watu huko vijijini waachane na mikaa na kuni, sijawahi kumskia.

Tuna rais anayefikiria kuwakamua wananchi wake tu, tuna rais asiye na uchungu na nchi hii kabisa...Au ni kwasababu Rostam na Abdul wana miradi ya gesi?

Eti alipewa tuzo ya kinara wa nishati safi Tanzania?Kwa lipi?Kafanya lipi?Kaingia kakuta mtungi wa kilo 6 ni 17000 kujaza mwaka 2021 leo mtungi ni elfu 25 kujaza halafu anapewa tuzo

Takwimu za wanaopikia na gesi ni wachache sana bado 95 ya tz wanatumia kuni na mikaa misitu inakwisha,uoto unakwisha, watu wanazidi kuumizwa na kupikia na makuni tu halafu rais anasimama kuongea mambo ya luku kwenye gesi, means ataweka na tozo huko??

Tuna rais asiyejali kabisa!!!Tuna rais anayejifikiria yeye tu?Ni lipi amewahi kulifanya kama mkuu wa nchi watu wa chini wakanufaika?Toka ameingia watz wanazidi kuumizwa, yeye hajali wala nini?Tuna bahati mbaya kama taifa kuwa na rais kama huyu mtu asiyejali wala kuwa na huruma!!

Mimi binafsi sioni anachofanya!!Mfumuko wa bei unatisha mafuta ndo usiseme nauli ndo usiseme!!Halafu hajali wala nini walaa hashtuki ndo kwanza safari za kwenda nje zinaongezeka!!Huwa najiuliza kwani hana washauri?Hawamuambii?Hivi katika hali ya kawaida unaweza kurun nchi hivi? Sijawahi kuona ndugu zangu,yaani nchi imekua haina tofauti na kuwa haina rais kabisa maana hamna anachofanya kinaonekana watu wanaumia,watu wanateseka halafu viongozi wametia pamba masikioni!!Niseme tu hapa hapa kuwa hatoshi, hatufai, na ana uwezo mdogo sana!!

Sitaki kuamini kuna watu wanasema anaupiga mwingi ukiwauliza kwa lipi wanakosa majibu

Shame!!!


kimsboy umeeleza vizuri sana.
Kwa kweli Mama yuko out of touch na reality on the ground. Kinachotakiwa ni kuwezesha wananchi wengi wapate gas ya bei nafuu na siyo gas iuzwe kama LUKU kwa bei za juu kama ilivyo sasa.

Maisha ya Watanzania yanazidi kuporomoka maana thamani ya fedha inaporomoka na kipato hakijaongezeka huku mfumuko wa bei kiuhalisia ukipanda., japo kwa takwimu zao wanasema unashuka.

Hii hali inawathiri moja kwa moja wale wanaoishi kwa kubangaiza. Haya ndiyo mambo SSH anapaswa kudeal nayo ili walau wale walioko chini kabisa wawe na unafuu wa maisha
 
Hivi ndugu zangu haya mawazo viongozi wetu huwa wanayaokota wapi?

Badala ya kufikiria jinsi wananchi watapata gesi kwa bei nafuu na gesi iwafikie watu wengi zaidi yeye anawaza kuweka tozo na luku kwenye mtungi

Yaani kamtungi kanafungwa luku unanunua gesi ya elfu 10 hela ikikata hiyo siku hupiki.

Sijawahi kusikia akija na mawazo ya kushusha Gharama ya gesi ili watu huko vijijini waachane na mikaa na kuni, sijawahi kumskia.

Tuna rais anayefikiria kuwakamua wananchi wake tu, tuna rais asiye na uchungu na nchi hii kabisa...Au ni kwasababu Rostam na Abdul wana miradi ya gesi?

Eti alipewa tuzo ya kinara wa nishati safi Tanzania?Kwa lipi?Kafanya lipi?Kaingia kakuta mtungi wa kilo 6 ni 17000 kujaza mwaka 2021 leo mtungi ni elfu 25 kujaza halafu anapewa tuzo

Takwimu za wanaopikia na gesi ni wachache sana bado 95 ya tz wanatumia kuni na mikaa misitu inakwisha,uoto unakwisha, watu wanazidi kuumizwa na kupikia na makuni tu halafu rais anasimama kuongea mambo ya luku kwenye gesi, means ataweka na tozo huko??

Tuna rais asiyejali kabisa!!!Tuna rais anayejifikiria yeye tu?Ni lipi amewahi kulifanya kama mkuu wa nchi watu wa chini wakanufaika?Toka ameingia watz wanazidi kuumizwa, yeye hajali wala nini?Tuna bahati mbaya kama taifa kuwa na rais kama huyu mtu asiyejali wala kuwa na huruma!!

Mimi binafsi sioni anachofanya!!Mfumuko wa bei unatisha mafuta ndo usiseme nauli ndo usiseme!!Halafu hajali wala nini walaa hashtuki ndo kwanza safari za kwenda nje zinaongezeka!!Huwa najiuliza kwani hana washauri?Hawamuambii?Hivi katika hali ya kawaida unaweza kurun nchi hivi? Sijawahi kuona ndugu zangu,yaani nchi imekua haina tofauti na kuwa haina rais kabisa maana hamna anachofanya kinaonekana watu wanaumia,watu wanateseka halafu viongozi wametia pamba masikioni!!Niseme tu hapa hapa kuwa hatoshi, hatufai, na ana uwezo mdogo sana!!

Sitaki kuamini kuna watu wanasema anaupiga mwingi ukiwauliza kwa lipi wanakosa majibu

Shame!!!
Alipewa tuzo ya Mchono na wanamchongo.
 
kimsboy umeeleza vizuri sana.
Kwa kweli Mama yuko out of touch na reality on the ground. Kinachotakiwa ni kuwezesha wananchi wengi wapate gas ya bei nafuu na siyo gas iuzwe kama LUKU kwa bei za juu kama ilivyo sasa.

Maisha ya Watanzania yanazidi kuporomoka maana thamani ya fedha inaporomoka na kipato hakijaongezeka huku mfumuko wa bei kiuhalisia ukipanda., japo kwa takwimu zao wanasema unashuka.

Hii hali inawathiri moja kwa moja wale wanaoishi kwa kubangaiza. Haya ndiyo mambo SSH anapaswa kudeal nayo ili walau wale walioko chini kabisa wawe na unafuu wa maisha
No body care
 
Mimi binafsi sioni anachofanya!!Mfumuko wa bei unatisha mafuta ndo usiseme nauli ndo usiseme!!Halafu hajali wala nini walaa hashtuki ndo kwanza safari za kwenda nje zinaongezeka!!Huwa najiuliza kwani hana washauri?Hawamuambii?Hivi katika hali ya kawaida unaweza kurun nchi hivi? Sijawahi kuona ndugu zangu,yaani nchi imekua haina tofauti na kuwa haina rais kabisa maana hamna anachofanya kinaonekana watu wanaumia,watu wanateseka halafu viongozi wametia pamba masikioni!!Niseme tu hapa hapa kuwa hatoshi, hatufai, na ana uwezo mdogo sana!!
Mkuu unajichosha bure.....hao washauri hizo shida unazosema hakuna hata mmoja anapata hata moja.

Watoto wao wanasoma nje, Gari Shangingi la serikali, mafuta kodi za watz, Chakula na anakolala iwe nyumbani au Hotel ni kodi za Watz, Nguo na starehe zingine ni kodi za watz hata hiyo bei ya Gesi saa nyingine hajui .
 
Back
Top Bottom