Nakuunga mkono hapa, mwenye akili kawaid ku-twist details mimi sijawahi kuandika location yangu ya ukweli, chuo nilichosoma kwa stori ya kawaida tu kwafaida gani upoteze anonymous yako.
Hii mbon kawaida tu unapoandika mada inayohusu maisha yako ku-twist baadhi ya details ili usiharibu Anonymous ya ID yako labda uwe hujui nini maana ya JF.
Sioni tatizo lolote hapa.
Yaani wewe ndio unajipa jukumu la ku-Care ndoa munayoiendea na si yeye....Jitathmini mzee.
Mimi nahisi nilipofikia naweza nisioe kabisa au kuwa na mwanamke muda mrefu maana ujinga siufagirr kabisa kabisa
Inategemea na utendaji gani au aina gani ya kazi unaimba, wewe uombi udakatari hapa au Engineering ni Manager, katika utendaji wa Manager anandaa documents nyingi Proposal, Plan, Strategies, Report nk hizo inakuwa ni moja ya utendaji wako maananhizi proposal ndio unawapa watching wako...
Hoja nzuri, hakika tukiwekeza kwenye soko la uhakika itakuwa chachu ya watu kujiajiri maana soko nalo ni moja ya changamoto kubwa.
Wakulima wanalima mazao yao na hakuna soko la uhakika kabisa inakatisha Tamaaa, wakipeleka madam sokoni wanakutana na bei za kiranguzi na rumbles.
Natumai kupitia...
Umeongea vizuri ila dela bila chupi haupo sahihi, hao wasaizi wapo mtaani na wapo na tabia nzuri tu kabisa wife materials.
Mimi nanae huyu mwezi wa pili huu ajaniomba hata Shilingi 10 ila vipesa nampa tu nikiwa na 1000, 2000 kubwa kumpa ni 3000 Week hii nikipata mshiko ndio nategemea kupa...
Salaam Wanajamvi
Kuelekea ujenzi wa Tanzania ile tunayotaka, Mimi napenda kuchangia mawazo yangu na kufungua mjadala katika suala zima la utatuzi wa ajira hapa nchini. kati ya changamoto kubwa tuliyonayo kwa wakati huu ni tatizo sugu la ajira ambalo ndio chachu ya kukuza uchumi binafsi na taifa...
Tanzania is famous than Zanzibar, na sisi ni Tanzania ukizungumzi Tanzania ni Bara hata muungano ukivunjika bado sisi ni Tanzania unataka tufahamikaje.
Huyu nilienae sasahivi anyone ya kweli na mimi nimejupana hasa kushilia nganganga yaani hapa sikubali penzi life kizembe tu walahi target yangu ya kwanza nijaze upepo kwanza soko la mahusiano gumu hata sitaki kusumbuka tena
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.