Nakuunga mkono hapa, mwenye akili kawaid ku-twist details mimi sijawahi kuandika location yangu ya ukweli, chuo nilichosoma kwa stori ya kawaida tu kwafaida gani upoteze anonymous yako.
Hii mbon kawaida tu unapoandika mada inayohusu maisha yako ku-twist baadhi ya details ili usiharibu Anonymous ya ID yako labda uwe hujui nini maana ya JF.
Sioni tatizo lolote hapa.
Yaani wewe ndio unajipa jukumu la ku-Care ndoa munayoiendea na si yeye....Jitathmini mzee.
Mimi nahisi nilipofikia naweza nisioe kabisa au kuwa na mwanamke muda mrefu maana ujinga siufagirr kabisa kabisa
Inategemea na utendaji gani au aina gani ya kazi unaimba, wewe uombi udakatari hapa au Engineering ni Manager, katika utendaji wa Manager anandaa documents nyingi Proposal, Plan, Strategies, Report nk hizo inakuwa ni moja ya utendaji wako maananhizi proposal ndio unawapa watching wako...
Hoja nzuri, hakika tukiwekeza kwenye soko la uhakika itakuwa chachu ya watu kujiajiri maana soko nalo ni moja ya changamoto kubwa.
Wakulima wanalima mazao yao na hakuna soko la uhakika kabisa inakatisha Tamaaa, wakipeleka madam sokoni wanakutana na bei za kiranguzi na rumbles.
Natumai kupitia...
Umeongea vizuri ila dela bila chupi haupo sahihi, hao wasaizi wapo mtaani na wapo na tabia nzuri tu kabisa wife materials.
Mimi nanae huyu mwezi wa pili huu ajaniomba hata Shilingi 10 ila vipesa nampa tu nikiwa na 1000, 2000 kubwa kumpa ni 3000 Week hii nikipata mshiko ndio nategemea kupa...
Salaam Wanajamvi
Kuelekea ujenzi wa Tanzania ile tunayotaka, Mimi napenda kuchangia mawazo yangu na kufungua mjadala katika suala zima la utatuzi wa ajira hapa nchini. kati ya changamoto kubwa tuliyonayo kwa wakati huu ni tatizo sugu la ajira ambalo ndio chachu ya kukuza uchumi binafsi na taifa...
Tanzania is famous than Zanzibar, na sisi ni Tanzania ukizungumzi Tanzania ni Bara hata muungano ukivunjika bado sisi ni Tanzania unataka tufahamikaje.
Huyu nilienae sasahivi anyone ya kweli na mimi nimejupana hasa kushilia nganganga yaani hapa sikubali penzi life kizembe tu walahi target yangu ya kwanza nijaze upepo kwanza soko la mahusiano gumu hata sitaki kusumbuka tena
Seems like someone put too much English in one place I love it, you guy is very loved.
Here we go buddy, for such kind of incident your the one who SIMP to that women telling us she engage in multiple relationships it is enough for you to step aside before putting all these English lines here...
Hapa kasome Reverse Psychology mara nyingi inawahusu wanaume ila kwa situation hii inabidi uoneshe na kumzoesha kumjari jamaa kwa muda fulani then ondo hizo Care na kuwa kama huna interest nae tena hapo kama kweli njia zako ulifanya vizuri ataanza kukufuatilia wewe na kukuweka kipaumbere kama...
Sasa kama ushauri huu unaona mgumu kwako then haupo serious na uzi wako huu kuna ushauri gani mwengine utapewa zaidi ya kuambiwa kiwa Submissive kwa huyo mwanaume.
Uzi unahusu mapinduzi na hizo ndio mbinu
Hivi tatizo huna macho au Common sense, unasema mwenzie anamkimbia wapi wakati kwenye video mwanajeshi aliyepona anaonekana kukimbia mlipuko less than second mlipuko umetokea na mtu kukimbia unasema anakimkimbia mwenzie
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.