Ushauri
Umeandika vyema, ila ushauri wako ni kama nguvu za giza. Kwamba masuala ya Mungu weka kando. Pili ulitaka kutuhabarisha kwa hao jamaa wanashiriki
Halafu kumbe ni Mtibeli? Mzee wa mada nyeti. Huwa siangalii mleta mada. Mara nyingi nashambulia tu hoja. Wewe yani ningejua nisingekujibu hivyo 😅
Ila kiukweli yapo mambo hayahitaji flexibility unayotaka kuihubiri. Mathalan mimi kuzaliwa mkatoliki sioni cha kunitoa hapo. Naweza kuwasikiliza...
LITANIA YA USHINDI
Ee Mungu Baba kwa namna ya pekee utuvushie mtu huyu kwa salama ili naye atuvushe kutokea sasa na hata baadae ili akiingia kuwa kiongozi wa nchi, basi aiweke misingi ya kiutawala kwa namna ambayo hata akija kiongozi mwingine isiwe tabu kwake kuongoza. Baba ujue tunahitaji...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.