Kwa kusoma title tu inatosha. Sasa ni hivi, vijana wana redio za kutosha. Wana content nyingi, labda tu ziboreshwe kidogo maana burudani kama imeshika %90.
Changamoto ni kwa watu wazima wa kati kuanzia miaka 35 hadi 60 hivi. Hawa hawana wa kuwasemea. Ukiangalia content za redioni wala...
Dah, umeandika wee... Kifupi mimi ni mwanacdm ila sijafuatilia kinachoendelea kuhusu michango na sina mpango wa kuchanga. Wala hakuomba kuchangiwa. Tofautisha kuomba kura na kubitaji kuchangiwa kununua gari
Mbaya zaidi hata ukitaka kuwapigia kupitia customer care huwezi kuwapata. Wankupa maelezo weee hadi unaishia njiani.
Kwa anayejua kuwapigia voda unatumia namba gani?
Too much. Pia waache kupromote mikopo yao kwenye akaunti za watu. Kwa namna wanavyokuambia kuwa kiwango chako cha mkopo ni hiki, waweke na riba yake kwa % wakiambatanisha na jumbe zao. Zaidi ya hapo ni wezi tu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.