Recent content by Ngulutu

  1. N

    Msaada kama naweza kununua dhahabu iliyochomwa

    Asante ningependa kujua pia ununuzi wa mawe hasa fero(ile ya dhahabu kidogo) ni machimbo ya wapi kunaweza kuwa na faida angalu? Maana migodi ya mda mrefu watu husema sio salama kwa ununuzi wa mawe Mimi nipo kahama sasa
  2. N

    Msaada wa Ushauri

    Ni kweli napenda mambo yaende haraka haraka, ngoja niwe na subira sema hivi vitu wakati mwingine vinanichanganya kuvumilia na kupoteza muda VINAFANA MNO😥
  3. N

    Msaada wa Ushauri

    Asanteni, sometimes nahisi labda nina matatizo
  4. N

    Msaada wa Ushauri

    Habari zenu wakuu, mimi nimemaliza chuo hivi karibuni nikaingia katika field niliyosomea, ukemia , nikajikita kwenye ukemia wa plant kwa muda wa miezi kadhaa nikawa nime master vitu kwa kiasi kikubwa lakini changamoto sipati kazi na wala sijui cha kufanya. Sehem niliyo anza kufanya kazi kama...
  5. N

    Msaada kama naweza kununua dhahabu iliyochomwa

    Lakini mimi nanunua dhahabu iliyochomwa tu sio mawe mkuu
  6. N

    Msaada kama naweza kununua dhahabu iliyochomwa

    Inafaa niwe na kiasi gani mkuu, na je nikipeleka gramu chache jikon zinakataliwa?
  7. N

    Msaada kama naweza kununua dhahabu iliyochomwa

    Naomba kuuliza wakuu, Natamani kuanza biashara ya kununua dhahabu iliyochomwa kutoka kwa wachimbaji wadogo 1. Je, kuna taratibu za kisheria na kama zipo ni zipi 2. Mtaji ni kiasi gani? 3. Faida ni kiasi gani kwa mfano mimi nina milioni moja -kwa mwezi naweza kuongeza mpaka shilingi ngapi? Kwa...
  8. N

    Ushauri kuhusu biashara ya viatu Dodoma

    Habari zenu wakuu, Naomba kupata ushauri kuhusu biashara ya viatu Dodoma, mimi kwa kweli nina laki 4 tu. Kwa mawazo yangu nilitaka nipate mtu mwenye uelewa mzuri na hii biashara hasa anaefanya hiyo biashara Dodoma nifanye Naye kazi hata kwa kujitolea tu Ili nipate uzoefu wa kuanza kazi. Naomba...
Back
Top Bottom