Msaada kama naweza kununua dhahabu iliyochomwa

Ngulutu

Member
Apr 11, 2022
14
11
Naomba kuuliza wakuu,

Natamani kuanza biashara ya kununua dhahabu iliyochomwa kutoka kwa wachimbaji wadogo

1. Je, kuna taratibu za kisheria na kama zipo ni zipi
2. Mtaji ni kiasi gani?
3. Faida ni kiasi gani kwa mfano mimi nina milioni moja -kwa mwezi naweza kuongeza mpaka shilingi ngapi?

Kwa sasa napatikana kahama na Geita .
 
Naomba kuuliza wakuu,

Natamani kuanza biashara ya kununua dhahabu iliyochomwa kutoka kwa wachimbaji wadogo

1. Je, kuna taratibu za kisheria na kama zipo ni zipi
2. Mtaji ni kiasi gani?
3. Faida ni kiasi gani kwa mfano mimi nina milioni moja -kwa mwezi naweza kuongeza mpaka shilingi ngapi?

Kwa sasa napatikana kahama na Geita .
Unaijuwa dhahabu Kwanza? Kama huijui unatafuta kilio.

Kwa kifupi biashara ya madiñi inatakiwa uwajuwe mawe Kwanza, lazima uishi kwenye field Kwanza ndio itakuwa salama.

Kuna risk za kufa mtu, kuna kuuziwa mzigo famfa au kleki.
 
Mkuu faida kwa gram Moja ni kama elf 5.... Unaweza kwenda soko la madini wakaichoma vizuri ikakukata hata mtaji, so Inabidi kua makini kuichoma wakati unanunua ikiwezekana ichome tena kama unayajua mawe vizuri.... Kwa mtaji wa milion Moja naona bado mdogo kidogo maana hapo utanunua gram kama 9 tu...

Biashara ya madini imejaa ukiritimba Kuna watu Wana mtaji wa mpaka milioni 500 wameweka oda kwenye mwalo karibia zote Kila mzigo ukipatikana wanauziwa wao( mara nyingi Hawa matajiri wanawakopa pesa wenye mwalo so sharti ni kwamba Kila akipata mzigo lazima amuuzie yeye)

Kwa io unaweza kwenda na hio milioni yako na ukakosa mzigo kabisa


Kwa milioni achana na mambo ya madini kabisa mkuu Kule unaweza pigwa changa la macho baada ya mwezi ukawa huna hata mia
 
Inafaa niwe na kiasi gani mkuu, na je nikipeleka gramu chache jikon zinakataliwa?
Mkuu faida kwa gram Moja ni kama elf 5.... Unaweza kwenda soko la madini wakaichoma vizuri ikakukata hata mtaji, so Inabidi kua makini kuichoma wakati unanunua ikiwezekana ichome tena kama unayajua mawe vizuri.... Kwa mtaji wa milion Moja naona bado mdogo kidogo maana hapo utanunua gram kama 9 tu...

Biashara ya madini imejaa ukiritimba Kuna watu Wana mtaji wa mpaka milioni 500 wameweka oda kwenye mwalo karibia zote Kila mzigo ukipatikana wanauziwa wao( mara nyingi Hawa matajiri wanawakopa pesa wenye mwalo so sharti ni kwamba Kila akipata mzigo lazima amuuzie yeye)

Kwa io unaweza kwenda na hio milioni yako na ukakosa mzigo kabisa


Kwa milioni achana na mambo ya madini kabisa mkuu Kule unaweza pigwa changa la macho baada ya mwezi ukawa huna hata mia
 
Unaijuwa dhahabu Kwanza? Kama huijui unatafuta kilio.

Kwa kifupi biashara ya madiñi inatakiwa uwajuwe mawe Kwanza, lazima uishi kwenye field Kwanza ndio itakuwa salama.

Kuna risk za kufa mtu, kuna kuuziwa mzigo famfa au kleki.
Duuh
 
Lakini mimi nanunua dhahabu iliyochomwa tu sio mawe mkuu
Unaijuwa dhahabu Kwanza? Kama huijui unatafuta kilio.

Kwa kifupi biashara ya madiñi inatakiwa uwajuwe mawe Kwanza, lazima uishi kwenye field Kwanza ndio itakuwa salama.

Kuna risk za kufa mtu, kuna kuuziwa mzigo famfa au kleki.
 
Ninaamini kwenye kujaribu sana, Iko hivi kwanza lazima tujue uko maeneo gani lakini pia lazima uwe na lesseni ya u broker ili usipate usumbufu kwenye kazi yako, kingine lazima uwe na maneo au sehemu ambapo unaweza kupata hiyo dhahabu variation ya bei huwa inabadilika pia kikubwa lazima uwe field uone kulivyo changamoto zipo ila pia faida ipo ushauri wa mwisho million moja ni ndogo sana kuizungusha kama madini yanapatikana kwa wingi, Karibu kama Kuna mengine unataka kujifunza pia
 
Ninaamini kwenye kujaribu sana, Iko hivi kwanza lazima tujue uko maeneo gani lakini pia lazima uwe na lesseni ya u broker ili usipate usumbufu kwenye kazi yako, kingine lazima uwe na maneo au sehemu ambapo unaweza kupata hiyo dhahabu variation ya bei huwa inabadilika pia kikubwa lazima uwe field uone kulivyo changamoto zipo ila pia faida ipo ushauri wa mwisho million moja ni ndogo sana kuizungusha kama madini yanapatikana kwa wingi, Karibu kama Kuna mengine unataka kujifunza pia
Asante ningependa kujua pia ununuzi wa mawe hasa fero(ile ya dhahabu kidogo) ni machimbo ya wapi kunaweza kuwa na faida angalu? Maana migodi ya mda mrefu watu husema sio salama kwa ununuzi wa mawe

Mimi nipo kahama sasa
 
Asante ningependa kujua pia ununuzi wa mawe hasa fero(ile ya dhahabu kidogo) ni machimbo ya wapi kunaweza kuwa na faida angalu? Maana migodi ya mda mrefu watu husema sio salama kwa ununuzi wa mawe

Mimi nipo kahama sasa
Mkuu kwenye fero ukweli ni kwamba inakuwa ni kama unabeti vile na uhakika wa kupoteza ela yako ni mkubwa maana wachimbaji nao Wana mambo yao mengi sana, ni mpaka uwe na uzoefu na wachimbaji wa muda na mliozoeana saana ndo unaweza kuipata fero mali, pia hizo fero kama zinasoma vizuri kweny udongo hasa ppm watu wananunua sana kwa ajili ya lundo, ko uhakika wa kutoboa hapo ni ngumu sana na kwa sasa ivi mvua ni nyingi hivyo duara nyingi uzalishaji wake kwa sasa ivi umepungua mkuu
 
Mkuu kwenye fero ukweli ni kwamba inakuwa ni kama unabeti vile na uhakika wa kupoteza ela yako ni mkubwa maana wachimbaji nao Wana mambo yao mengi sana, ni mpaka uwe na uzoefu na wachimbaji wa muda na mliozoeana saana ndo unaweza kuipata fero mali, pia hizo fero kama zinasoma vizuri kweny udongo hasa ppm watu wananunua sana kwa ajili ya lundo, ko uhakika wa kutoboa hapo ni ngumu sana na kwa sasa ivi mvua ni nyingi hivyo duara nyingi uzalishaji wake kwa sasa ivi umepungua mkuu
Sawa mkuu ngoja nione
 
Back
Top Bottom