Natumai mko sawa kiafya
Lengo la kuanzisha uzi huu ni kupeana mbinu {njia} tofauti za udereva kama kusomea udereva kutafuta leseni kurenew leseni na ajira za ndani na njee ya nchi na kadhalika
Ok nmejaribu kukufata kule pm lakini naona mambo hayajakaa sawa
Tatizo ni kujua nikienda mtaa flani au kwa mtu flani naweza kupata na jana nimesafir nipo unguja mda ingekuwa vizur kama utanielekeza wapi nianzie
Zanzibar maeneo gani sikai mda mrefu naenda mara kwa mara {ni nyumbani}
Nahitaji hizo kwa ajili ya kuwauzia wavuvi wanàochanganya kwenye petrol nina chimbo langu maeneo flani
Natumai muwazima wa afya poleni na harakati za kusaka haki ya tumbo.
Nipo mkoa wa tanga mimezunguka sana kusaka hiyo bidhaa pichani.
Lakini bado sijafanikiwa nahitaji msaada wapi nitapata kwa jumla na kwa bei gani kimsaada zaidi
Natumai nitapata mrejesho wenu mapema sana na asante sana kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.