Recent content by Kamundu

  1. K

    Mzee Kinana abadilishwe kwa manufaa ya umma

    P, Sikulaumu kwa kutomjua kinana. Bahati nzuri Kinana alikuwa jirani yetu Arusha kabla hata hajawa mbunge. Nakumbuka tulipelekwa kwenye harusi ya kinana nikiwa darasa la pili kula pilau pale kwenye mitaa yetu karibu na sanawari. Najua kwa uhakika vijana ndugu zake kinana ambao walikuwa wanakaa...
  2. K

    Mzee Kinana abadilishwe kwa manufaa ya umma

    https://youtu.be/1Ho1Z994oyc?si=BIeev-UhyyWvRoIz
  3. K

    Maajabu: Maraisi wastaafu wa USA wanafungua maktaba wetu wataka kujengewa maikulu binafsi!

    Maraisi wastaafu wa USA wanafungua maktaba tena kwa kuchangiwa wa watu. Wapendwa wetu maraisi wazalendo eti wanataka kujengewa nyumba kama Ikulu na wenza wao kulipwa. Hawajali hali ya wananchi, mabadiliko waliyofanya na historia wanayoacha zaidi ya matumbo yao. Sijasikia wazo la maktaba...
  4. K

    Mzee Kinana abadilishwe kwa manufaa ya umma

    Mzee Kinana muda wake umepita. Raisi anatakiwa atafute makamu ambaye anaweza kufanya vitu kwa manufaa ya umma kwa ujumla wake na sio kwa CCM pekee. Kwa mwenendo wa sasa watu wasio elewa wataona ni powa lakini tukiendelea hivi katiba itakuja kwa ulazima na uchungu sana. Kuna uwezekano kabisa...
  5. K

    Rais Samia afanikisha kupatikana Kwa TSHS.Trilioni 6 za Nishati ya Kupikia. Rais wa Benki ya AfDB Asema ni Kiongozi wa Mfano

    Warioba na Prof Shivji nao ni Chadema?. Kama kweli CCM ina nia nzuri kwa nchi ni kwanini wakatae katiba ambayo inasaidia nchi nzima kwa ujumla wake. Kwa sasa hivi ni kama watanzania ni watumwa hakuna maendeleo ya maana kwasababu ya sheria mbovu za katiba.
  6. K

    Bila Uwepo wa CCM Madarakani Nchi ingekuwa Imesambaratika na Kugawanyika vipande vipande

    Ndogo zako tu kwa uchunguzi upi. Je tungekuwa masikini hivi. Kenya nako na ukabila wao wote nchi bado ipo Msumbiji na vita nchi bado ipo!!! tuache pumba tumia muda wako kuandika vitu vya maana. Uchawa hausomewi
  7. K

    Rais Samia afanikisha kupatikana Kwa TSHS.Trilioni 6 za Nishati ya Kupikia. Rais wa Benki ya AfDB Asema ni Kiongozi wa Mfano

    Yaani katiba ya nchi ya Tanzania iendane na Ilani ya chama. 🤣 tumekuwa na misukule siku hizi. Kuna mambo ya kitaifa na mambo ya kichama na sera za kichama. Katiba ni swala ya kitaifa kama Raisi wa wote sio swala la chama bali la wananchi. Raisi ameshidwa hili na mimi sina chama ni mdau tu na...
  8. K

    Rais Samia afanikisha kupatikana Kwa TSHS.Trilioni 6 za Nishati ya Kupikia. Rais wa Benki ya AfDB Asema ni Kiongozi wa Mfano

    Hapa nyumbani sheria za tume huru na chaguzi huru na vilevile katiba mpya imemshinda. wow
  9. K

    Tetesi: Kuna Mwekezaji KIA? Je, ni siri siri tena?

    Kumekuwa na usiri siri wa ajabu sana. Kwanza waziri alikuwa anachenga changa mpaka akabanwa na wabunge kuhusu mikataba ya KIA na kuhakikisha kiwanja kinarudi serikalini. Sasa tunasikia kuna mwekezaji kutoka Uarabuni ?. Kama ilivyokuwa bandari Nasikia kabla ya uwekezaji wanawekwa wanzanzibari...
  10. K

    Mauritius wana nini Zanzibar tushindwe?

    Sio utani lakini kuna ubaguzi wa uwekezaji mfano kuna wawekezaji wazawa wengi pale Arusha lakini wakiraka kuwekeza Zanzibar wanaonekana kama wageni?
  11. K

    Mwalimu Mushi wa Ilboru apewe maua yake “Nishani ya kitaifa”

    Kwa mawazo yangu kati ya walimu wakuu ambao wanahitaji nishani za kitaifa ni Mwalimu mkuu wa zamani wa Ilboru. Huyu ndiyo alifanya Ilboru kuwa shule ambayo kwa miaka yote ni ya kipekee kwa kutoa madaktari wengi, wanasheria wengi na vipaji vya juu sana hapa nchini kwetu. Kila nchi nilienda watoto...
  12. K

    Uchaguzi 2025 Ushauri wa Serikali: Uchaguzi wa serikali za mitaa usogezwe mpaka mwaka kesho

    Vipanga wa Bino aka Mwl Mushi wa Ilboru tuna maono sawa
  13. K

    Uchaguzi 2025 Ushauri wa Serikali: Uchaguzi wa serikali za mitaa usogezwe mpaka mwaka kesho

    Mimi nashauri uchaguzi wa serikali za mitaa usogezwe mpaka mwaka kesho na sheria ziwekwe vizuri. Wataalamu wengi wanasingizia muda wakati huo huo wanasema sheria zinahitaji kubadilishwa. Hivyo hakuna sababu ya kwenda kwenye uchaguzi ambao kwa ulivyo sasa utashusha na kupunguza uaminifu wa hata...
  14. K

    Fatma Karume amjibu Jaji Warioba; asema Bunge lina Wabunge 50 wa Zanzibar na zaidi ya 250 wa Tanganyika ambao Maamuzi yao huiathiri Zanzibar pia!

    Sasa idadi ya watu wote zanzibar in 2% lakini wabunge ni 20% hapo ndipo kuna tatizo sio swala la uwakilishi. Huu ndio ukweli
  15. K

    Mapungufu Lissu anayosema hajawezi kupigwa kwasababu ni ukweli

    Utanzania ni nini hasa. Utanzania wako ni uhalisia wako au kibali! Kwanini Diaspora ambao wana passport za nje bado wanaitwa Watanzania? Utanzania sio vibali hata ukichukuwa passport yeyote kwenye ile passport watasema huyu ni Mtanzania aliyechukuwa uraia. Mimi binafsi kwasababu nimekaa miaka 25...
Back
Top Bottom