Mauritius wana nini Zanzibar tushindwe?

Nawasalimu katika jina la Muungano. Hivi Mauritius wana maajabu gani ambayo Zanzibar hatuna? Fikiria Emirates A380 linatua mara mobility kwa siku abiria (600x2) pw mojan na mashirika mengine kama Flysafair, Air Mauritius, Kenya, Qatar na mengineyo kumwaga watalii. Kwa wastani Mauritius inapokea karibia watalii milioni 3 kwa mwaka.
wale ni wahindi wanajoelewa ni kina nani!
zanzibar kuna watu wenye majina ya kiarabu dini za kiarabu wameacha mila zao wana mila za kiarabu ! Tangu lini mtu aliyechanganyikiwa akawa superior!!

kama kujitambua kwenyewe kashindwa😂😂😂
 
wale ni wahindi wanajoelewa ni kina nani!
zanzibar kuna watu wenye majina ya kiarabu dini za kiarabu wameacha mila zao wana mila za kiarabu ! Tangu lini mtu aliyechanganyikiwa akawa superior!!
,
kama kujitambua kwenyewe kashindwa😂😂😂
Nyinyi muda wote usiku mchana mnawaza Zanzibar, jinchi lenu linauzwa na CCM mumelala
 
Nawasalimu katika jina la Muungano. Hivi Mauritius wana maajabu gani ambayo Zanzibar hatuna? Fikiria Emirates A380 linatua mara mobility kwa siku abiria (600x2) pw mojan na mashirika mengine kama Flysafair, Air Mauritius, Kenya, Qatar na mengineyo kumwaga watalii. Kwa wastani Mauritius inapokea karibia watalii milioni 3 kwa mwaka.
Mtakuwa kama Comoros . Ninyi na Comoros hamtofautiani humutawxa kubwa developed
 
Nawasalimu katika jina la Muungano. Hivi Mauritius wana maajabu gani ambayo Zanzibar hatuna? Fikiria Emirates A380 linatua mara mobility kwa siku abiria (600x2) pw mojan na mashirika mengine kama Flysafair, Air Mauritius, Kenya, Qatar na mengineyo kumwaga watalii. Kwa wastani Mauritius inapokea karibia watalii milioni 3 kwa mwaka.

Sio utani lakini kuna ubaguzi wa uwekezaji mfano kuna wawekezaji wazawa wengi pale Arusha lakini wakiraka kuwekeza Zanzibar wanaonekana kama wageni?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom