Recent content by gaintoo broisser

  1. gaintoo broisser

    Mwenye Hard Disc

    Nahitaji Hard Disc Nipo Shy Town mwenye nayo Tufanye Biashara Ukubwa 1Tb 2Tb 3Tb na Kuendelea NOTE: Sihitaji Za Madukani Bei Gali Sana .
  2. gaintoo broisser

    Tetesi: Inadaiwa Clement Mzize analipwa 600k, halafu Guede analipwa Milion 29

    Dogo wa Zanzibar mlimpigia kelele Mkajua anazingua
  3. gaintoo broisser

    Enyi wanawake acheni ligi na wanaume mtaumia

    Alye ua kwa upanga naye atakufa kwa upanga
  4. gaintoo broisser

    Enyi wanawake acheni ligi na wanaume mtaumia

    Dwaswo Ke ni ke tu hawawezi fikia Lever yetu wakae kando na usimlegezee
  5. gaintoo broisser

    FT: Simba 0-1 Al Ahly | CAF CL Robo Fainali | Benjamin Mkapa Stadium | 29/03/2024

    Tanzania 🇹🇿 ni Tanzania Finishing ndo Tatizo Kwa timu zetu Al Ahly tulikuwa tunamudu
  6. gaintoo broisser

    Ama kweli kua uyaone minyanduo haina size chipukizi ndio wamejaa maufundi

    Mtoto mmoja kutoka Kigoma alikuwa Wilaya K. Walikuwa waili wa kike na kiume, Walikuwa wanalala chumba kimoja, mmoja wa kiume alikuwa anamdai ten yule Demu nilimwita nikamwambia shida nini akanambia wanamdai ten . Nikamwambia inaweza akasema ndio duu alinipiga busu la kushutukiza akanambia naomba...
  7. gaintoo broisser

    Halima Mdee ndiye Mtu Pekee aliyekuwa Sahihi kumpokea Uwenyekiti Mbowe

    Ovyooooo Wanajali Midomo yao tu Walihongwa kidogo tu wakasaliti chama alafu Unaongeza Domo lako
  8. gaintoo broisser

    Watu 12 wakamatwa kwa kula hadharani mchana Zanzibar

    Kisiwa cha Zanzibar si cha Waarabu
  9. gaintoo broisser

    Nimempiga mfanyakazi mwenzangu baada ya kula mbele yangu na akijua mie nimefunga

    Kama Jaribu Hilo tu Umelishidwa Je mbunye Nyeeeh mbele yako utafanyaje Acheni Makasiliko,Kufunga si kila Mtu ajue Umefunga,Ukiona Bored 😐 toka eneo la tukio si Fujo
  10. gaintoo broisser

    Kazi ya mke ni ipi nyumbani?

    Kazi kuu Ni Minyambuo yani Kunyambuana Mengine Extravaganza ata House Girl atafanya
  11. gaintoo broisser

    Sijaona andiko la Uislamu linalokataza kula mbele ya mtu aliyefunga

    Dini ya Kiislamu Ndo Dini inayoongoza kwa Mauaji Kisa tu Mtu yule kazini au mkristu,Uarabuni ndo Wanaowafanyia Ukatili wa kingono Wafanyakazi wa ndani na Kuficha Passports zao, Mungu wengi Hawamjui Jinsi Wanavyojinadi Wanamjua Ingaawa Hawatimizi Maneno yake na Huruma yake everyone Has God
Back
Top Bottom