Matawi ya juu
JF-Expert Member
- Mar 5, 2019
- 2,333
- 4,726
Hao akili zao zimejaa matope matupu, wanafikiri dini yao tuu na wangekuwa Wana uwezo wangefunga watu wote ambao sio dini yao, watu wa hovyo sanaHaya mambo yakulazimishana haya bwana. Sasa kama wewe umefunga kwa nini uchukie mwenzie akila? Kwa kweli ni ngumu sana kuelewa kwani dhumuni la kufunga ni kula juon na usiku? Nadhani ifike mahali tuheshimu uhuru wa watu wengine yaani furaha yako isiwe kiwazo kwa wengine.