JanguKamaJangu
JF-Expert Member
- Feb 7, 2022
- 2,335
- 5,558
Kamishna Mkuu wa Jeshi la Polisi Zanzibar, CP Hamad Khamis Hamad
CP Hamad ametoa ufafanuzi huo kufuatia operesheni iliofanyika Mkoa wa Mjini na kuwakamata Watu waliodaiwa kula mchana wa Ramadhan “Hakuna sheri inayokataza Watu wasile mchana wa Ramadhani, nilitoa maelekezo baada ya video ya wanaovuta bangi kwamba ifanyike oparesheni wale wavuta bangi kwasababu bangi ni kosa la jinai hakuna sheria inayoruhusu Watu kuvuta bangi ila hatukuwakamata wala mchana”
“Shida iliyojitokeza operesheni hii ilikamata waliomo na wasiokuwemo, wavuta bangi na waliokula hadharani, Mampaka nyingine za Kiserikali huwa zinafanya oparesheni hiyo ya wanaokula mchana na wajibu wetu ni kusimamia ili ili zifanyike kwa salama na amani.”
Pia soma:
- Zanzibar: Serikali yalaani vitendo vya unyanyasaji wa kidini vinavyoendelea visiwani
- Hakuna sheria Zanzibar inayokataza kula mchana wakati wa ramadhani
- Udhaifu katika katazo la kuuza vyakula mchana wa ramadhani
- Uislamu haujakataza asiye muislamu kula mchana wa ramadhani, siungi mkono wasio waislamu kuzuiwa kula mchana
- Watu 12 wakamatwa kwa kula hadharani mchana Zanzibar
- Zanzibar yaweka marufuku ya kuuza vyakula wakati wa Ramadhan
- PEMBA: Achapwa Mikwaju Kula Mchana Mwezi mtukufu wa Ramadhan
- Kwani Zanzibar wanawachukuliaje watu wa Bara?
- Polisi wa Zanzibar kuwakamata watu kisa kuwakuta wakila mchana kipindi cha Ramadhan ni uvunjifu wa sheria za Nchi
Zanzibar yapiga marufuku mambo yafuatayo katika kipindi cha mwezi wa ramadhan