Nimempiga mfanyakazi mwenzangu baada ya kula mbele yangu na akijua mie nimefunga

Wewe ni Chizi (Victim) Unampiga mwenzio kazini sababu ya Vitu ambavyo havikusaidii kitu.! Umemzidi nini kimaendeleo uliempiga? utakuta mpo sawa au amekupita!😆 Unawezaje kuthibitisha kuwa huo upumbavu wako Umekupa maendeleo au kitu kikubwa kumshinda uliyempiga! Waafrika kweli ni mitambo.
 
Wagalatia mmeanza lini kufunga ?nyie si mnachagua chakula kimoja cha kupumzika kula? unaweza kuchagua kufunga makande tu ndo usile siku 40 vingine vyote ukafakamia

Hizo bites we kula tu maana hujafunga kula bites
 
Ujinga mie sitaki hata kidogo yaani mie nimefunga swaumu kwenye mwezi huu mtukufu wa ramadhani halafu kuna lijinga limoja likakaa mbele yangu na kuanza kula bytes zake na sharubati lakini nikamdhalisha oyaa mie nimefunga sihitaji kero hata kidogo lakini nafikiri kwa ujeuri wake akaanza kuniongelea majibu ya kijinga

Akawa ananipa kashfa juu ya kashifa kwamba kufunga utafunga wewe? Aisee nilichukia bwana nikampiga kofi mbili na ngumi akaanguka chini na kuzimia pale pale aisee nimechanganyikiwa hapa na ukizingatia mtu mwenyewe niliyempiga ni mwanamke daaah najuta sana aisee😩😩😩😩
Hii ndo JF ya kizazi cha sasa!! Una ugonjwa wa akili. Pathetic fool!
 
Wewe sio mvumilivu,ukiwa huna hela Huwezi pita bank Au kumuona mtu anahesabu hela. Chakula ni chake why umpige,ukiweza kusogea wewe na kuepuka Shari.

Ona sasa umeharibu funga yako na kesi juu.
 
Utapelekwa sehemu nyapara ndio atakuwa baba wa watoto wako utakaojifungua ukiwa huko we endelea tu japo hii ni chai
 
Ujinga mie sitaki hata kidogo yaani mie nimefunga swaumu kwenye mwezi huu mtukufu wa ramadhani halafu kuna lijinga limoja likakaa mbele yangu na kuanza kula bytes zake na sharubati lakini nikamdhalisha oyaa mie nimefunga sihitaji kero hata kidogo lakini nafikiri kwa ujeuri wake akaanza kuniongelea majibu ya kijinga

Akawa ananipa kashfa juu ya kashifa kwamba kufunga utafunga wewe? Aisee nilichukia bwana nikampiga kofi mbili na ngumi akaanguka chini na kuzimia pale pale aisee nimechanganyikiwa hapa na ukizingatia mtu mwenyewe niliyempiga ni mwanamke daaah najuta sana aisee😩😩😩😩
Kama Jaribu Hilo tu Umelishidwa Je mbunye Nyeeeh mbele yako utafanyaje Acheni Makasiliko,Kufunga si kila Mtu ajue Umefunga,Ukiona Bored 😐 toka eneo la tukio si Fujo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom