American nigga
JF-Expert Member
- Aug 8, 2014
- 669
- 948
Wewe ni Chizi (Victim) Unampiga mwenzio kazini sababu ya Vitu ambavyo havikusaidii kitu.! Umemzidi nini kimaendeleo uliempiga? utakuta mpo sawa au amekupita!😆 Unawezaje kuthibitisha kuwa huo upumbavu wako Umekupa maendeleo au kitu kikubwa kumshinda uliyempiga! Waafrika kweli ni mitambo.