Sijui kwanini mtu yoyote mwenye akili huko chadema lazima agombane na Mbowe hii inachosha Sana watatengeneza propaganda uchwara kumchafua mtu huyo mfano: Kaburu, Prof. Safari, Dr. Slaa, Halima Mdee, ina maana yeye Mbowe ni mungu hakosei this non senseKwani akina Mdee si walitokana na uchaguzi ambao ninyi mlisema ni uchafuzi na kwamba hamuutambui?Sasa mlipokea na kuvuta Billion 2.7 za nini wakati mlikataa kuutambua? Au uchaguzi unakuwa huru tu pale Mbowe akiingia Bungeni?
Sent from my Nokia C10 using JamiiForums mobile app