Jaji Mfawidhi
JF-Expert Member
- Feb 20, 2016
- 14,202
- 20,678
Baraza kuu la Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA, limethibitisha uamuzi wa kamati kuu ya chama hicho cha upinzani Tanzania na kuwavua uanachama wabunge 19 wa viti maalumu wanawake.
Je, Mdee baada ya kusemekana kushawishi wenzake wanataka kurudi kuomba Msamaha CHADEMA , tunajiuliza, Wamelipwa mabilioni isivyo halali, je hayo mabilioni yamewaumiza CHADEMA pekee ama sisi wananchi walipa kodi?
Je, Kuomba msamaha inatosha ama wazitapike mishahara haramu waliyopokesa kwa miaka 4 sasa?
Je, watu hawa unaweza kuwaamini na kukaa nao kwenye kamati hata ya "kusafisha chii cha shimo"?
Wabunge hao wanawake walifukuzwa uanachama Novemba 27, 2020 baada ya kwenda kuapishwa bungeni kuchukua nafasi 19 za viti maalumu ambazo zilisusiwa na CHADEMA.
Halima Mdee[ring leader], Gire Tendega, Matiko, ulaya, Lambart, Mke wa Kitenge yaani Nusrat Hanje, Jesca kishoa,Tunza malapo, Asia mohammed, Kaboyoka, Felister njau,Salome makamba. Rwemlaza konjessta,Antropia, Stella fiao
Je, Mdee baada ya kusemekana kushawishi wenzake wanataka kurudi kuomba Msamaha CHADEMA , tunajiuliza, Wamelipwa mabilioni isivyo halali, je hayo mabilioni yamewaumiza CHADEMA pekee ama sisi wananchi walipa kodi?
Je, Kuomba msamaha inatosha ama wazitapike mishahara haramu waliyopokesa kwa miaka 4 sasa?
Je, watu hawa unaweza kuwaamini na kukaa nao kwenye kamati hata ya "kusafisha chii cha shimo"?
Wabunge hao wanawake walifukuzwa uanachama Novemba 27, 2020 baada ya kwenda kuapishwa bungeni kuchukua nafasi 19 za viti maalumu ambazo zilisusiwa na CHADEMA.
Halima Mdee[ring leader], Gire Tendega, Matiko, ulaya, Lambart, Mke wa Kitenge yaani Nusrat Hanje, Jesca kishoa,Tunza malapo, Asia mohammed, Kaboyoka, Felister njau,Salome makamba. Rwemlaza konjessta,Antropia, Stella fiao