Acha kuwaza vitu vya ajabu ambavyo havikwepeki kwenye maisha ya mwanadamu. Timiza wajibu wako
1. Mkalishe chini, mpe elimu ya kutosha kuhusu maisha ya huko, atakacho kutana nacho, madhara yake na faida zake kama itakulazimu kuzieleza.
2. Jitahidi sana mdogo wako apate kila kitu kwa wakati hata...
Kama unataka facts na logic basi jifunze kuwa smart.
Kwenye maelezo yako umeandika Tanzania na hata duniani kwa ujumla kitu ambacho sio kweli.
Ungespecify Tanzania ungeeleweka ila sio duniani.
HADITHI: JIJI LA KAMARI (GAMBLING CITY)
MTUNZI: FEBIANI BABUYA
EMAIL: thomasibabuya@gmail.com
WHATSAPP: 0621567672
AGE: 18+
Episode 39
“Max na Bilali wanakutana lini na mpango unatakiwa kuanza lini mheshimiwa” waziri mkuu aliuliza akionekana kabisa kuwa na hamu kubwa sana ya kuweza kulijua...
HADITHI: JIJI LA KAMARI (GAMBLING CITY)
MTUNZI: FEBIANI BABUYA
EMAIL: thomasibabuya@gmail.com
WHATSAPP: 0621567672
AGE: 18+
Episode 38
“Sijaja kukuomba, hilo ndilo jambo la msingi ambalo unatakiwa kulizingatia”
“Hata mimi najua kwamba wewe huwa sio mtu wa kuweza kumuomba mtu kwa lolote”
“Na...
HADITHI: JIJI LA KAMARI (GAMBLING CITY)
MTUNZI: FEBIANI BABUYA
EMAIL: thomasibabuya@gmail.com
WHATSAPP: 0621567672
AGE: 18+
Episode 37
“Mheshimiwa imekuwa ni ghafla sana, sikutegemea kwamba mtu kama mimi naweza kutembelewa na wewe”
“Ushakuwa waziri mkuu wa nchi sasa kwanini haujiamini?”...
HADITHI: JIJI LA KAMARI (GAMBLING CITY)
MTUNZI: FEBIANI BABUYA
EMAIL: thomasibabuya@gmail.com
WHATSAPP: 0621567672
AGE: 18+
Episode 36
“Sawa mheshimiwa, wapi?”
“Kariakoo. Nenda saa saba na nusu usiku na kuna location ambayo nitakutumia, utaifuata hiyo mpaka itakapokupeleka basi ndipo hapo...
HADITHI: JIJI LA KAMARI (GAMBLING CITY)
MTUNZI: FEBIANI BABUYA
EMAIL: thomasibabuya@gmail.com
WHATSAPP: 0621567672
AGE: 18+
Episode 35
“Ndiyo maana mimi nimekwambia kila ambacho nakijua kwa sababu nakuamini kama isingekuwa hivyo nisingekwambia mambo ya hatari sana kwangu kama haya ambayo...
Wanawake wapo sawa na wanaume? Hizo tafiti huwa mnafanyia wapi? Kuweni na aibu basi.
Unajua kwamba kuna makabila hapa duniani akizaliwa mtoto wa kiume familia inajishindia mamilioni?
Wanaume ni wachache hawapo sawa Wala wengi kwa wanawake. Ukishindwa kabisa kufanya tafiti zako andika hata...
Good morning.
Ni muda kidogo tangu niposti simulizi humu. Nimeona wengi wakidhihaki mara unasubiri waandike ndipo ucopy (unajua kabisa hii ni hoja ya mtu ambaye kala ugali kashiba kichwani kinakuja chochote kile naye anakwenda nacho hivyo watu wa namna hii huwa nawapuuza maana sometime sio wao...
Hiyo ni real kiongozi probably mazingira ya Tanzania sio rafiki ila ni bonge la biashara ukifanikiwa kufahamika.
Kwa mfano kuna app inaitwa Couchsurfing huwa naona watu wanatangaza Kazi zao za kupokea forgners na kuwapeleka maeneo mazuri kufanya utalii kwa malipo.
Ukifanikiwa kupata hata...
Ushauri mzuri mkuu.
Hiyo no.5 kwa bongo itaonekana kama Chai ila Kenya wanafanya vijana wengi na wanapiga pesa mno.
Nina mshkaji wangu anafanya hiyo, huwa wanachukua apartment wanapangisha kwa foreigners nadhani kwa Tanzania watu hapa wanashangaa kwa sababu ya mazingira yetu na mazoea.
Huwezi kuwa conscious tumbo likiwa empty, sometime mnatulaumu Bure watanzania.
Wale wana uhakika wa milo mitatu, wana uhakika na insurance kitu ambacho Tz watu wana stress nacho vibaya hususani basic needs.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.