Unaijua historia ya Pep mpaka kuingia Barca?
Alikuwa coach wa Barca B... Walitaka kuleta coach mkubwa lakini Johan Cruyff aligoma, alisema yeye anamtaka Pep na ndiye coach ambaye alikuwa tayari kumpa support.... Barca hawakuwa na option zaidi ya kuamua kumpatia team japo hawakumuamini.
Kilicho...
Matusi ya nini mkuu?
Coach akipigwa kwa game inamaanisha ni kibonde? Mpira ni mchezo wa matokeo matatu na lolote linawezekana ila sio kigezo cha kutumia game 1, 2 ama 3 kuconclude kuhusu ubora wa coach Fulani.
Liverpool alitoka kuwin league Akala 7 mbele ya Astonvilla kwamba Clop alikuwa...
Halafu nakukumbusha tu, kama pesa ndizo zinaleta champions league, miaka mitano iliyopita Arsenal na Man u wametumia pesa nyingi za usajili kuliko City.
Utanikumbusha, wana UEFA ngapi?
Unajua kwamba Fergie ana UCL 2 tu kwa miaka zaidi ya 25 akiwa na Manchester ambayo inaimbwa kwamba ilikuwa ni hatari zaidi?
Naye ni overated? Na kipimo cha coach bora ni UEFA ngapi?
Amagine pep angekuwa coach wetu Manchester United tunavyopenda makelele!
Pep alikuwa Barca akaaminiwa na Johan...
HADITHI: JIJI LA KAMARI (GAMBLING CITY)
MTUNZI: FEBIANI BABUYA
EMAIL: thomasibabuya@gmail.com
WHATSAPP: 0621567672
AGE: 18+
Episode 48
“Ulikuwa sahihi kusema kwamba wamekushtukia na muda wowote huenda wamekuweka kwenye mtego na wanaweza kukukamata kuanzia sasa kwa sababu tayari wameshakuwa na...
HADITHI: JIJI LA KAMARI (GAMBLING CITY)
MTUNZI: FEBIANI BABUYA
EMAIL: thomasibabuya@gmail.com
WHATSAPP: 0621567672
AGE: 18+
Episode 47
“Sipo kwenye mood ya kufanya haya ndugu yangu unaweza ukasema mapema tu” Max alimwelekeza mtu huyo lakini aliishia kumtemea mate tu kwa jeuri ambayo alikuwa...
HADITHI: JIJI LA KAMARI (GAMBLING CITY)
MTUNZI: FEBIANI BABUYA
EMAIL: thomasibabuya@gmail.com
WHATSAPP: 0621567672
AGE: 18+
Episode 46
Wanaume hao walikuwa na silaha kali sana, wakiwa wamefunika sura zao. Walikagua kila eneo kwenye jumba hilo lakini hawakuona chochote kile mwisho wa siku...
Moja kati ya siku chache za Mimi kuangalia show za redio nimeweka clouds hapa ndo namkuta huyu kijana wa kuitwa TOXIC FUVU muda huu alikuwa anafanya yake.
Anajitahidi kwenye freestyle (naona kamchana Lunya kwenye freestyle).
Kwani wana tatizo au wanachangamsha game?
Mwisho kabisa ni 88.
Ukitaka vyote kwa pamoja, unachangia 1500 tu.
0621567672 (HALOPESA)..... WhatsApp
0745982347 (M-PESA)
0714581046 (TIGO-PESA)
FEBIANI BABUYA
See you [emoji102]
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.