hivi wadada wenzangu(baadhi) mbona mko desperate sana,wengine mara watongoze mabwana wa mitandaoni,wewe nawe umepata bwana badala utulie japo yeye ndo akutambulishe(kwa wazazi wake) eti wee ndo unataka kumtambulisha.(mtandaoni)
Halafu muda wote namsuiri huyo shemu ajitokeze/atoe ruhusa ya...
kweli tamaa mbele mauti nyuma lkn bado mtoto anaweza kusaidiwa,si kuna DNA tu wapime itaonesha mtoto si wa hilo fataki la kitaliano.Ingekua ni mim siku tu nimegundua kamfanyia hivyo mwanangu ndo angejuuta kupenda ngozi nyeusi ningepelekesha mpaka angekoma.Kamuacha mumewe hakujua anakuja ulaya...
umeonaeeee ndo hapo sasa inabidi alie kistaili
superstar wa bongomovie
waheshimiwa nimefurahishwa jinsi mlivyo wataalamu wa kuchunguza kila detail ktk picha,hamdanganyiki kirahisi,kweli nyie ni magreat thinker wa kuchambua picha hahhaaaa LOL,ni kweli hapo sio msibani kwa maana ya msibani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.