Recent content by Candela

  1. Candela

    Leo nimeamua kuwachezesha Traffic.

    Wala hajamkomesha ni yeye ndio hajui kama ana deni au lah, leseni 4,002,005,308 haidaiwi kwenye mfumo wa polisi.
  2. Candela

    Simu za 5G ni utapeli tu hazina tofauti na 4G

    Ambacho unahisi sielewi ni nini? au wewe ndio hujaelewa nilichoandika.
  3. Candela

    Simu za 5G ni utapeli tu hazina tofauti na 4G

    5g ni hardware, so kuipata ni mpaka waje wafunge vifaa vya 5g kwenye mnara wako wa karibu au eneo lako. So kwa kuwa 5G husoma LTE kwa simu nyingi, wasa na inavyosoma 4g, ni ngumu kuitofautisha 5g na 4G kama eneo lako halina 5g. Ila ikiwepo tofauti utaiona.
  4. Candela

    Mama mkwe anamhimiza mke wangu anichune; naomba ushauri

    Mpe nafasi moja ya kukuchuna, then itumie ajue unajua anatekeleza maagizo ya mama yake.
  5. Candela

    Huyu mwanamke ana tatizo gani?

    acha roho mbaya ufanikiwe.
  6. Candela

    KERO Mkurugenzi Manispaa ya Moshi awalazimisha watumishi kufyeka na kusafisha makaburi ya Karanga siku za mapumziko

    Shule niliyosoma A level ipo kando ya barabara kuu ya TANROADS, sasa kuna siku mwalimu wa mazingira akavuta bangi akasema waliokawia kuripoti(wazee wa kuvuta) watapewa adhabu ya kufyeka majani. Katika kugawa maeneo akataka tufyete mpaka barabarani kabisa, nilipofikia zile nguzo za TANROADS tu...
  7. Candela

    Ushauri kwa Waziri Nape: Mitandao ya ngono ifunguliwe mkazo uwekwe kwenye sheria ya faragha

    Ndio maana nikasema linabaki suala la malezi kila familia.
  8. Candela

    Serikali kujenga daraja la Pili Kigamboni (Magogoni-Kivukoni)

    Ndio watu wote wanaishi pale ferry
  9. Candela

    Ushauri wenu wataalam wa Smartphone kati ya hizi simu

    Shida ni uelewa, wewe umeinunua ikiwa used lakini bei yake ilipokuwa mpya ungepasua kioo usingeona kina gharama kuliko simu. Simu inashuka bei kadri unavyoitumia lakini spare inabaki dukani ikiwa mpya so bei yake haishuki.
  10. Candela

    Ulijisikiaje siku ya kwanza umehamia kwenye nyumba yako?

    Unaanza unalala master bedroom, unaamka saa 6 unahamia kids room unalala kidogo, then saa 7 unakuwa umelala guest room, saa 8 unakuwa dinning umelala juu ya meza, ikifika saa 9 upo kwakochi seating room umejikunja, saa 11 unastuka upo stoo halafu pakikucha unaamkia jikoni unaendelea na breakfast.
  11. Candela

    Serikali kujenga daraja la Pili Kigamboni (Magogoni-Kivukoni)

    La magogoni halina tija kwa sababu la kurasini lipo. Pili pale ni njia ya meli italazimu liwe la kufunga na kufungua kitu ambacho hatuna umeme wa kuchezea hivyo. Pia italeta foleni mjini maana kila mtu atataka apite magogoni kulingana na ukaribu kufika kigamboni.
  12. Candela

    IELTS na TOEFL NI UPUUZI KWA BAADHI YA NCHI

    Hawa wazungu wakija Afrika hatuwaombi cheti cha lugha ya nchi husika, lakini wao ukitaka kwenda kwenda kusoma kwao watataka hivyo vyeti hapo juu. Kuna nchi kama Tanzania na zingine tunatumia kiingereza kama lugha ya kujifunzia lakini bado ukitaka kwenda kwao wanataka hicho cheti, Huu bado ni...
  13. Candela

    Ushauri kwa Waziri Nape: Mitandao ya ngono ifunguliwe mkazo uwekwe kwenye sheria ya faragha

    Kwa mujibu wa sheria watoto ni under 18 na kwa umri huo hawawezi kusajili laini, sasa linabaki suala la malezi la familia kwa familia.
  14. Candela

    Ushauri kwa Waziri Nape: Mitandao ya ngono ifunguliwe mkazo uwekwe kwenye sheria ya faragha

    Sio hapo nyuma, kuna sehemu wanaita pilau, movie ikiisha watoto wanatoka wanabaki watu wazima. kiingilio ni 2x regular, wanaangalia dakika 15 to 20 inazimwa.
Back
Top Bottom